Hata ungepewa link usingeipata hadi utumie VPN ambayo CCM mmezuiwa.
Mmeshalegezwa viuno sasa hamuwezi kuchapa kazi mnategemea misaada iliokosa adabu?Mafi yako ewe lumumba
Sisi wanyonge tunafurahia kuongezeka kwa fursa za biashara, na kutokusumbuliwa pale tu tunapokuwa tuna
Ndio maana walikamatwa na kuondolewa kwenye vituo, wakatumia ubinadamu na kuwaachia huru 😀
Sasa kwa taarifa yako jiandae. Wewe na hao mabwana zako. Mtajuta kuiba uchaguzi mwaka huu.
Eti Tanzania haijawai kuwalamba miguu wakati kila siku mbatembeza bakuli kwao kuomba hela za misaaada na mikopo.
Na jiandaeni kula jeuri yenu. Bado ICC sasa
Misaada tena [emoji23][emoji23][emoji23] we kubwata kote kule kumbe unajua nchi bado sana kiuchumi unatukana matajiri,kwa hiyo mabeberu ya kizungu hamyataki mnataka ya ki Asia?[emoji23][emoji23][emoji23]Tuwe wamoja na kukataa udhalimu wao tuwapige vita TUTAPATA MISAADA ATA ASIA
Nikuwekee wewe kama nani hutaki unaondoka simple.Weka hapa hiyo link acha blah blah kwanza kwa kawaida kama ni jambo ambalo EU wanalipa umuhimu lingetangazwa na mainstream media Dunia nzima, wala tusingehitaji kusikia kupitia kwako, hivyo ni hamna kitu hapo, ...
karanga ni biashara halali mataga.Mchambuzi wa karanga.
Walizileta wenyewe kwa masifa yao, kama walishindwa kutoa wakati wa corona iweje watoe wakati corona imeisha?kitu gani kiliwafanya mzitafune hamkuzirudisha ?
Aisee hilo jamaa sijui halina akiliHivi una akili sawa sawa kweli?????
Yani EU wanateseka kwa ajili ya TZ????
Mataga akili zenu mnaziweka kwenye makalio ama?
Status ya budget yake ni zaidi ya 70 percent inategemea bakuliIna maana haujui hata status ya bajet ya Tanzania
Pole
Binti sayuni usiye bikiri ni uongo kama uongo mwingine.Kokote zilikotoka haijalishi, nilichotaka ufahamu kwamba US na Ulaya kuzuia vijimisaada vyao si mwisho wa Tanzania kuendelea. Tanzania ina wadau wengi wa maendeleo. Akifunga mlango mmarekani kuna nchi zitafungua.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Walizi
Walizileta wenyewe kwa masifa yao, kama walishindwa kutoa wakati wa corona iweje watoe wakati corona imeisha?
Walitegemea watutupie ndowano tunase tabia zao ila sisi tumegoma na chambo kimeshaliwa.
Ina maana haujui hata status ya bajet ya Tanzania
Pole
Uongo mtupu mnajitekenya na kucheka wenyeweRecognition can be in a positive or negative way, I recognize you as a thief.
Mafanikio gani??? Ya kupora watu ushindi wao na kuwabambikia makesi??Mafanikio huja na gharama zake....wenye akili tunafahamu ukipiga hatua moja kwenda ya pili vikwazo ni lazima....watoto wa juzi hamjuhi kuwa hata Vita Vya Kagera kuna gharama zake bado tunalipa hadi leo! Kuiondoa nchi yetu kutoka shamba la bibi hadi kufikia raslimali zetu kutunufaisha sisi wenyewe sio jambo la kufurahisha kila mtu.
Nyumbu wa Mbowe endeleeni kukesha mkiomba ili Lissu apewe urais wa BURE na EU!