Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Hata ungepewa link usingeipata hadi utumie VPN ambayo CCM mmezuiwa.
Weka hapa hiyo link acha blah blah kwanza kwa kawaida kama ni jambo ambalo EU wanalipa umuhimu lingetangazwa na mainstream media Dunia nzima, wala tusingehitaji kusikia kupitia kwako, hivyo ni hamna kitu hapo, ...