Naishauri serikali itume team ya wataalamu wa masuala ya fedha & tehama North Korea & Iran kuangalia huko wanaendeshaje nchi wakati wana mamia kama si maelfu ya vikwazo kutoka kwa vilanja wa Dunia
Akili ndogoWAHUNI HAWA JAMAA... HAWATAKI KABISA AFRICAN TUJITEGEMEE, WANAFANYA KILA HILA WATUVURUGE. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Unaishi dunia ya wapi ndugu, fedha hizi zimetengwa kwa ajili ya kusaidia Tanzania lakini bado hazijatolewa. Inasikitisha sana kwa mtu kama wewe ambaye anafurahia sana kuona nchi yako inawekewa vikwazo.Kumbe Serikali yetu ilipokea pesa za msaada wa Covid wakati sisi hatuna Corona, sasa watuambie hizo pesa zilipelekwa wapi? na kwanini tukawadanganya wazungu wakatupa pesa wakati sisi ni donor kantre.
Hali yetu huko nje ni mbaya, sasa hilo halina mjadala, sijui tutaweza vipi kuishi kama kisiwa, wakakataa kuwaacha Chadema waende bungeni, sasa wana msalaba mkubwa zaidi wa kuubeba aheri ya wapinzani wangekuwa bungeni.
Zile calculations walizopiga Ndugai na Magufuli kabla ya uchaguzi mkuu zimefeli miserably.
Kauli za wakosajiSawa, wakatae tuu
Maana ya kutunyima hiyo mikopo ni kwamba target yao imefail... Walikua wanaturushia ndoano ili tunase sasa baada ya kuona tunapita pembeni wamepanick[emoji23][emoji23]
Tunajua kabisa kwamba tungekuwa hatuna haya madini na gas hiyo mikopo wasingekaa wakatupatia
Wewe ndio unapotosha. Mwezi September mwaka huu wametoa hizo fedha. Au huku wa na bundle nini kuangalia mjadala???Unaishi dunia ya wapi ndugu, fedha hizi zimetengwa lkwa ajili ya kusaidia tz lakini bado hazijatolewa. Inasikitisha sana kwa mtu kama ww ambaye anafurahia sana kuona nchi yako inawekewa vikwazo.
Kuna jamaa anatuuziaga mi vitu used huko si atakufa njaaKilicho nifurahisha zaidi ni kwamba , wanasema kama Tanzania ikiendelea kukaidi basi itawekewa vikwazo vya kiuchumi ISIFANYE BIASHARA NA NCHI YEYOTE YA ULAYA. HAPO SASA!!
Huyu anakuja kufunga kazi. Actually it is Magufuli atakae muomba Tundu Lissu na Mbowe waje wakae meza ya mduara wazungumze. Kuanzia January kila mtu atauona ukweli.US anapaka mkongo
Eti unajisifia kujiita negro, ha ha ha.Washa tbc!
Kweli mkuu, viongozi wana uhakika wa kipato maana wanahudumiwa na serikali wanayoitumikia.Kazi ya Maria Sarungi inaleta matunda naona. Ila kama taifa tutaumia wa hali zetu, hao viongozi wala hawataumia.
Daaah umempa za uso hadi nahisi atakuwa amechanganyikiwa hukoZwazwa ni wewe uliyeshindwa kuelewa Mambo basic kama hayo , we Fala We ni taahira kwamba huoni uchafuzi WA Democracy , mauaji , unynyasaji Kwa wananchi raia na wanasiasa WA upinzani , wizi wa Kura , ubambikiaji kesi za uzushi ?
Unataka HAO mabeberu wakae kimya Tu wasiwawajibishe ?
Hizi propaganda zako za kizwazwa peleka Kwa misukule wenzako WA ccm
Mbwa wewe .
Utopolo mtupu. Hebu weka hapa chanzo chako.
Sio Jambo la kufurahia hili hata dakika moja, kuna uonevu uliokithiriHabari za mida wanajamvi!
Naam, kumepambazuka huko Duniani, wazungu wamesikia kilio cha wanao penda demokrasia Tanzania, kwa umoja wao wameazimia kuwa watainyima Tanzania misaada inayo fikia Tshs trilioni 1.64 kwasababu haifuati ustaarabu wa kidunia wa multipartism yaani demokrasia ya vyama vingi.
Kilicho nifurahisha zaidi ni kwamba , wanasema kama Tanzania ikiendelea kukaidi basi itawekewa vikwazo vya kiuchumi ISIFANYE BIASHARA NA NCHI YEYOTE YA ULAYA. HAPO SASA!!
Nini maana yake? Ni kwamba hatuta uza chai kwao, wala kahawa haitauzwa kwao, maua na mbogamboga kamwe hatutauza kwao. Hatutauza dhahabu, hatutauza korosho wala minofu ya samaki. Yaani hatutauza chochote kwao.
Baada ya muda mfupi tu fedha yetu itashuka thamani usipime. Yaani dollar moja yaweza kuwa Tshs 5000/= kisa? Mtu mmoja hataki uchaguzi uwe huru , wa haki, credible na transparent!
Wazungu nimewavulia kofia! Nimetabasamu kwa mara ya kwanza tangu October 28. Ahsanteni wazungu .bye
Hujioni ulivyo Fala sasa , hivi unajua ni asilimia ngapi toka mwaka 61 nchi hii inapata Uhuru mpaka leo nchi hii imepata maji , umeme , afya , elimu , barabara na huduma nyingine muhimu za kijamii ? ,
Ccm , mumiani waliotafuna nchi Kwa miaka zaidi ya 55 leo mnaguts za kuandika upuuzi hapa .
Bloody fool wewe
Hahah rafiki zetu wachina pesa wanayotoa Tanzania kwa mwaka hua ni Tsh. Bil 90 tu mzee baba.Rafiki zetu wachina watanunua.
Yule Biden atapiga combinenga ya Mkongo na Kisongo Power, ni hatariiiiiii.US anapaka mkongo
Wamegawana kimya kimya ndiyo maana akawa anakazania watu wapige nyungu kwa bidiiKumbe Serikali yetu ilipokea pesa za msaada wa Covid wakati sisi hatuna Corona, sasa watuambie hizo pesa zilipelekwa wapi? na kwanini tukawadanganya wazungu wakatupa pesa wakati sisi ni donor kantre.
Hali yetu huko nje ni mbaya, sasa hilo halina mjadala, sijui tutaweza vipi kuishi kama kisiwa, wakakataa kuwaacha Chadema waende bungeni, sasa wana msalaba mkubwa zaidi wa kuubeba aheri ya wapinzani wangekuwa bungeni.
Zile calculations walizopiga Ndugai na Magufuli kabla ya uchaguzi mkuu zimefeli miserably.
Kwa mahali tulipofika ni lazima tufurahie. CCM wamefika hatua mbaya sana ya ulevi wa madaraka ambapo bila kudhibitiwa vilivyo tutaangamia kweli.Kweli mkuu, viongozi wana uhakika wa kipato maana wanahudumiwa na serikali wanayoitumikia.
Ila raia ambao ni wanufaika wa miradi inayoendeshwa na hao wakubwa huenda tukaathirika.
Hili sio la kufurahia hata kidogo, nadhani wanaofurahi hili siasa zimewapofusha hawaoni kuna hatari mbeleni.