Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Mithali : Mlango 28​

16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa nyingi ya walipa kodi zinatumika zinapotelea kwenye kudidimiza demokrasia badala ya maendeleo, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa mengi Duniani hata America German China India UK wangekuwa tegemezi kwa Tanzania lakini chini ya CCM Nchi inazidi kufirisika pesa zote wanakula akina polepole kwa visingizio vya kishamba kuwa wanarejesha mfumo wa chama kimoja.
 
Kuna mawili yatatokea
1. Atakuwa mtu mwema sana na ataokoka na kuacha kabisa uovu wake.
2. Sikio la kufa halisikii dawa, atakuwa muovu kupindukia, yaani ndio mtaisoma namba kiukwelikweli
 
Msalaba huo abebeshwe Ndugai na Magufuli. Wao ndio waliopanga na kutekeleza mambo ya kipuuzi kisha kushangilia upuuzi ule.
 
Hilo azimio liko wapi??
 
Hii habari si imekanushwa na balozi wa Tanzania pande za huko ama!!??
 
Sasa hivi rafiki yetu mkubwa na mdau wetu mkubwa wa maendeleo ni Zimbabwe!vYaani nchi masikini mdau wake mkubwa wa maendeleo na rafiki yake mkubwa wala siyo masikini kama yeye bali ni fukara!
 
hili ni pigo kwa Serikali ya CCM kwamba haiaminiki tena mbele ya macho ya mataifa... hii ni mbaya sana, sana. Sasa hawakawii kuitisha auditng kuona hizo pesa zilitumikaje - hili ni lao waache wapambane!! sisi tunatibu majereha kwa sasa, watuache.
Wanayo Akiba ya chenji pesa za uchaguzi tokea China chenji ya ununuzi Ndege michango kwenye mikataba ya siri ya madini watazikusanya kisha kuwahadaa watanzania kuwa pesa za corona zipo na hazijatumika ili wale watanzania wepesi wa kuamini ujinga wa CCM waamini pesa za corona ipo imetulia haijapigwa na wajanja wa huko CCM
 
Kwa vyovyote itakavyo Kuwa wachumia tumbo na walio mshauri vibaya Rais ndio tutalala nao mbele. Hatuwezi teseka ilihali Tunajuwa Rais anawashauri
Alishasema yeye huwa hashauriwi na wala hapangiwi.
 
Namsikia Balozi wetu nchini Belgium amekanusha vikali mno hoja hii..
 
Msalaba huo abebeshwe Nduhai na Magufuli. Wao ndio waliopanga na kutekeleza mambo ya kipuuzi kisha kuahangilia upuuzi ule.
Watanzania wameiepuka corona kwa kunywa limau tangawizi kupiga nyungu kwa bidii siyo vinginevyo, lakini CCM wanachukua pesa za corona na kuchukuchia kimya kimya mpaka sasa wameanza kuumbuka na nina imani muda huu CCM wapo busy kutengeneza majibu ambayo wajinga watupu ndiyo watayakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…