Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Pesa za COVID zilitolewa bila kufuata taratibu za WHO
Chairman McAllister
@Europarl_EN has called on the European Union and its partners in Tanzania @EUinTZ @UKinTanzania @GermanyTanzania
@SwedeninTZ to ensure that they protect human rights defenders who are committed to fight for justice for other Tanzanians.




No budget support until @EU_Commission sees a fundamental improvement in the political dialogue!



Kwa wale wanaofuatilia. Huu ndio Mkataba kati ya Tanzania na EU kuhusu misaada.Ulisainiwa na aliyekuwa Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum June 2014. Jumla ya Msaada ni Euro Milioni 626 (1.6T Sh). Unaisha Juni 2020 na EU ‘wamesema’ hawatoi tena mpaka waone demokrasia inarudi nchini. HAWATAENDELEA TENA KUTOA MPAKA WAONE DEMOCRASIA IMESIMAMA NCHINI.

View attachment 1630011
View attachment 1630012


Heri kuumia bila misaada kuliko kuumia huku misaada bwerere.

Enyi mnaominya demokrasia badilikeni!
 
Kwa hiyo ulitaka aliyeshindwa uchaguzi awe Rais ? Hizo ni porojo tu Ulaya kwenyewe siku hizi michosho tu
Uongozi ni taaaluma. Dunia ya sasa si kama ya babu zetu, wala si kama ilivyokuwa wakati wa Mwalimu hapa juzi tu. Mtu anayejaribu kurudisha mshale wa saa nyuma hatafanikiwa. Kitajulikana tu! Kwamba huwezi kuishi katika dunia ya sasa kwa kufuata sheria zako mwenyewe.

Kuna wale wenye upeo mdogo, hawakuishi popote isipokuwa kutoka kijjini hadi Dar......watakuambia Tanzania yajitegemea na hata wakifanya hivi na vile haitadhurika! Namkumbuka AhmedNijad wa Iran aliyesema kama hiyo!

Inataka ujanja wa kupita kiasi ku deal na siasa za dunia ya sasa. Elimu nzuri, uzoefu, exposure, kuwa na washauri wazuri na kukubali ushauri…. ni muhimu sana. Dunia hii hakuna serikali yeyote inayoongozwa na 'kichwa kimoja' hata zile zilizoendelea na kujitosheleza. Tusidanganyane!
 
Si zimetokomeza Corona, kwani nyie wakati wa Kampeni mlikuwa mnavaa barakoa au kupaka Sanitizer?


Pesa zimeletwa kuisambaratisha Corona na Corona kasambaratishwa hadi waliokuwa Wanabisha tumeshiri nao uchaguzi bila ya wao kuvaa Barakoa wala kujitenga

Au Misaada ile ilikuwa na sharti la kuisambaza Corona kama Kenya?

Wazungu wamepaniki pamoja na Mawakala wao baada ya propaganda zao kufeli

Kuna wengine wameanza kuwataka Raia wao wasiende Mtwara eti usalama hauridhiki wakati walishawaambia Raia wao wote waondoke Tz kuna Corona tangu May ili washihudie 'maiti 'zetu zikiliwa na mizoga kwa Corona
Mmepeleka wapi pesa za mabeberu?


Au ndo zile zilizotumika kuwalipa wabongofleva kipindi cha fedheha ya kishindo?
 
Kuna Maabara ya COVID Mabibo iko full nondo kila kitu, hivyo sidhani kama ni ngumu kwa Serikali kuelezea jinsi ilivyotumia fedha kama ni kweli ilipokea msaada kwaajili ya kudili na COVID, ...
Walitii mashariti ya fedha hizo ikiwa ni pamoja na kutoa takwimu kila siku za waliopimwa ni wangapi,waliokutwa na Corona ni wangapi na waliokutwa wazima ni wangapi?
 
Kumbe serikali yetu ilipokea pesa za msaada wa Covid wakati sisi hatuna Corona, sasa watuambie hizo pesa zilipelekwa wapi? na kwanini tukawadanganya wazungu wakatupa pesa wakati sisi ni donor kantre.

Hali yetu huko nje ni mbaya, sasa hilo halina mjadala, sijui tutaweza vipi kuishi kama kisiwa, wakakataa kuwaacha Chadema waende bungeni, sasa wana msalaba mkubwa zaidi wa kuubeba aheri ya wapinzani wangekuwa bungeni.

Zile calculation walizopiga Ndugai na Magufuli kabla ya uchaguzi mkuu zimefeli miserably.

Calculations zao za kuongeza term ya uRais?! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
 
Msemaji wa serikali yupo atatoa majibu yatawafurahisha wale tunaowaita mabeberu
 
Wewe mjinga na uzee wako:
America ina independent judiciary
GDP yake ngapi? Super Power, the only world super power, just after God.

wewe- Poorest, infested of all kinds of diseases, ignorant- of everything- GDP? Beggars
Mbona corona inawachakaza hakuna lolote ni utopolo tu
 
Acha utetezi feki pesa imepigwa na CCM hata mje na utetezi gani hakuna wa kuwaelewa
 
Wazungu wanapaswa kuelewa kuwa Tanzania tulipambana na Corona na tukaishinda hivyo msaada tuliopewa na EU ulikuwa ni halali yetu.

Nani asiyejua hatua mbalimbali zilizochukuliwa na serikali kupambana na Corona ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa, kuweka sehemu za jamii kunawa mikono, kufanyia kazi nyumbani, shule na vyuo kufungwa nk nk.

Wazungu watafute sababu nyingine za kutubania misaada lakini hili la Covid 19 wanatuonea bure.

Maendeleo hayana vyama!
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu wa CCM ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
Huenda wakienda ulaya kupitisha bakuli mojawapo ya masharti huwa ni kuvua msuli na kuchutama mbele ya beberu
 
kamwe haitatokea siri ya nchi kumbe huijui unadhani nchi inaendeshwa kwa misaada mpaka uchaguzi urudiwe? waliowaita nyie nyumbu hawakukosea
Haya na iendeshwe kikada tuone kwani hiyo bajeti karibu 70% inategemea misaada
 
Back
Top Bottom