Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Maombolezo yalikuwa siku 5 shughuli nyingine LAZIMA ZIENDELEE mbona Bunge na ziara za Viongozi zinaendeleaKamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono [emoji2][emoji2]
Inasikitisha sana,yaani tulupofikia siyo sahihi vitu vingine vinavyoondoa CHADEMA kwenye mstari wa uzalendo na utu ni pamoja na tukio hili la leo.Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono ππ
Hiyo tu kupata watu 300 toka nje ya Mwanza wanaoweza kwenda mahali kwa kujitegemea nauli ni bonge ya mafanikio. Una lingine kwa msaada zaidi?CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Lowasa,Kamara na MsabahaMisiba mitatu ya akina Nani
Kamara aliyewahi kuwa Waziri wa Afrika Mashariki kama sikosei.Ndiyo hata Mimi najiuliza.
Tunachojua ni kuwa tuna misiba 2 ya Lowasa na Msabaha, huo msiba wa 3 ni wa nani??
Au ndiyo anatabiri kuwa utakuwepo msiba mwingine mkubwa, wakati wowote kuanzia sasa!?
Kati ya maombolezo na maandamano kipi kinapaswa kupewa kipaumbele. Guys get to be serious sometimes....huyo Lowasa aliiweka Sana Chadema Kwenye ramani 2015 just like 8+years ago.....Leo hii mmejisahaulisha....Ndio kuna msiba lkn haina maana shuhuli zote zisimame hawez kuacha mapambano kwasab askari mmoja kafa vitani.
kwani wanachama wangap wanafariki na shughuli zinaendelea kama kawaida.
Kwa mantiki hiyo mpuuzi ni wewe sasa
Uko sahihi.Haki huambatana na wajibu!
Katika ustaarabu tu wa kawaida , hata mtaani huwa unaona majirani husitisha shughuli zao kupisha shughuli za mazishi!
Sasa CHADEMA kimuhe muhe cha nini wakati Lowassa hata hajazikwa.
Ona hata tone ya Mnyika wakati anazunguza juzi pale Karimjee , Utadhani ana rap!
CHADEMA wapuuzi sana!
Kwani wamekulazimisha uache kulia?Wewe endelea kulia kwa juhudi zako zote.Maisha hayakusubiri.Chama kinachojivunia usomi Kwamba kina wasomi kuliko wenzao CCM lakini kina Mambo ya hovyo Sana.
CHADEMA ni wapuuzi na hawajui wanachokipigania.....tuko Kwenye maombolezo wao wanaratibu ujinga wa kuandamana ili iweje?
Ndio tuko kwenye maombolezo siku tano,Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono ππ
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.Wanafiki pambaneni na hali yenu..Mlimtukana Lowassa leo mnasema hakuwa na kosa...haya leo kafa .....kiko wapi
Wanasiasa uchwara wa bongo ni takataka si CCM wala Upinzani wote wapuuzi tu...atakaewasikiliza labda fala tu...
Kwani wamekulazimisha uache kulia?Wewe endelea kulia kwa juhudi zako zote.Maisha hayakusubiri.
Nyumbu hujaenda kuandamana au ndo unaandamana Kwenye smartphone π€£π€£π€£π€£Kwani wamekulazimisha uache kulia?Wewe endelea kulia kwa juhudi zako zote.Maisha hayakusubiri.
Afadhali hao wanaenda kutetea maisha magumu ya watanzania, sisi mnyama tunaenda kushangilia tena ndani ya kambi ya jeshi leo.Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono ππ
Mahusiano yapo maana aliyekufa ni kiongozi wa kitaifa ni muda sahihi kuunganisha wananchi Kwenye shughuli za kitaifa sio siasa na mayowe kila wakati.Kwani maanda na msiba vinamahusiano Gani?
Nipo chumba cha mawasiliano kuchukua taarifa.Roho inakuuma. Ulitamani maandamano yasiwepo uanze kujichekesha kama fisi wa maonesho kwenye mikutano ya CCM!Utaipandeka!Nyumbu hujaenda kuandamana au ndo unaandamana Kwenye smartphone π€£π€£π€£π€£
Mama mwenyewe tangu msiba utokee anapiga kazi/kama sio kuzurura huko ughaibuni kama kawa.Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono ππ
Ukute uko sebuleni unafuatilia msiba wa Lowasa unasubiria taarifa za jioni ujionee makamanda uchwara walivopopolewa.Nipo chumba cha mawasiliano kuchukua taarifa.Roho inakuuma. Ulitamani maandamano yasiwepo uanze kujichekesha kama fisi wa maonesho kwenye mikutano ya CCM!Utaipandeka!
Hisia mbovu zinakuongoza.Fuatilia maandamano.Ukute uko sebuleni unafuatilia msiba wa Lowasa unasubiria taarifa za jioni ujionee makamanda uchwara walivopopolewa.
Hayana tija hayo Achana nayo. Fuatilia msiba mbele Yake nyuma yetu.Hisia mbovu zinakuongoza.Fuatilia maandamano.
Lini uliwahi kujua mambo yenye tija?Hayana tija hayo Achana nayo. Fuatilia msiba mbele Yake nyuma yetu.