Kamati ya masaa 72 yaifuta kadi nyekundu ya Derick Mukombozi

Hawa makolo wanatuharibia mpira wetu kwa tabia za ajabu ajabu
 
Ligi yetu ina ujinga ujinga mwingi sana,afu msimu huu maujinga yanataka kuzidi

Nisingekuwa na kibanda umiza nisingekuwa naangalia huu ujinga
 
Hii milio inatokea pande zipi mbona kama volume inaongezeka? Huyo mwamuzi alikaushia kadi nyekundu zingine walau mbili zaidi dhidi ya wachezaji wa Namungo. Hilo hamtaongelea.

Hii siyo mara ya kwanza kufutwa kwa kadi baada ya mechi. Embu tujikumbushe kadi nyekundu ya Lameck Lawi katika mechi ya Coastal Union vs Yanga.

Ubaya Ubwela.
 
Ilikuwa uchezeshaji wa hovyo sana ila binafsi niliwashangaa kina Mbwaduke na Muro maana walikuwa upande wa refa hata kwenye matukio ya hovyo kabisa
 
Ivi walee wazee wa Simba walisema wataamia Burundi mbona wapo kimya sana siku izi??.
 
Ilikuwa uchezeshaji wa hovyo sana ila binafsi niliwashangaa kina Mbwaduke na Muro maana walikuwa upande wa refa hata kwenye matukio ya hovyo kabisa
Washapewa "kitu kidogo" watasema nn? Wachambuzi wote walimpongeza refa
 
Mwamuzi amepewa adhabu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…