Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NakaziaUtopolo tatizo kamdomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaUtopolo tatizo kamdomo
Hayo ndo maneno Sasa.Tukutane tarehe 8 [emoji28]
Kamati ya masaa 72 aihusiki na adhabu,kuna kamati ya nidhamu ndio itadeal na yule mshenziKadi nyekundu imefutwa ..ila refa hajapewa adhabu! 😀😀
Ligi yetu ina ujinga ujinga mwingi sana,afu msimu huu maujinga yanataka kuzidiMwanzo Mwamuzi huyo Japheth Smarti alidai kua "Alihisi" kua Mkombozi alitoa lugha chafu... Pia alidai "huenda" alimpiga kibao Ateba hivo hakua na namna zaidi ya kumtwanga Kadi nyekundu "umeme" Ili iwe fundisho [emoji23]
Kumbuka pia Mwamuzi huyo Japheth Smarti aliwahi kumalizia mechi kati ya Simba na Coastal Union huku mchezaji wa coastal akiwa kwenye move ya kwenda kufunga goli hali iliyozua taharuki na kupelekea baadhi ya wachezaji kuangua vicheko uwanjani...
Soma hapa... Refa amepiga filimbi ya kumaliza mpira baada ya kuona Simba SC wanataka kufungwa goli nyingine
Niruhusu nitunze hii risitiSimba Bingwa 2025
Safi sana apewe adhabu yule refa ni mpuuzi sanaKamati ya masaa 72 aihusiki na adhabu,kuna kamati ya nidhamu ndio itadeal na yule mshenzi
Mara ya mwisho kumfunga huyo utopolo ni lini?Utopolo tatizo kamdomo
Labda walishafika huko BurundiIvi walee wazee wa Simba walisema wataamia Burundi mbona wapo kimya sana siku izi??.
Mwamuzi amepewa adhabu gani?Ligi inazidi kunoga, Kila mtu ashinde anavojua...
Kamati ya Masaa 72 imefuta kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo, Derick Mukombozi, katika mchezo dhidi ya Simba SC. Uamuzi huu umefikiwa baada ya kamati kupitia kwa kina ripoti ya mwamuzi na kulinganisha na picha za video za tukio husika.
Baada ya uchunguzi, kamati imebaini kuwa maelezo ya mwamuzi hayalingani na kile kilichoonekana kwenye video, hivyo kadi hiyo imeonekana kuwa batili. Kutokana na uamuzi huu, Mukombozi hana hatia yoyote na atakuwa huru kuendelea kuitumikia Namungo kwenye michezo inayofuata.View attachment 3246118
Naomba kutunza posti hii ili nije kukonfimu kweli kuna goli nyingi.Makolo wanapenda sana janja janja sema mpaka tarehe 8 watakula nyingi sana wale wanetu
Tunza na Mimi Nina risiti zako kibao tuNaomba kutunza posti hii ili nije kukonfimu kweli kuna goli nyingi.