Wewe ndio pimbiWewe jamaa hua ni pimbi hivi beki wa kati anaweza kutoa assist kama LB na RB ? na tangu lini beki akapimwa kwa vigezo vya assist?
Kasage sumu unywe.Gongowazi leteni hoja kuntetea tunchi wenu
Kila nikiona comment zako za hovyo natamani nikuite "huna akili" kama njia ya kukukera.Croatia walikua na medali [emoji23][emoji23]
ulioanzisha huu mjadala ndio ulete takwimu zao hapa 😄Category ya tuzo inaangazia eneo la beki, haijakishi ni beki wa kati au beki wa pembeni na hata kwenye kinyangal'anyio waliwekwa wote.
Na hata tukija kwenye hoja yako ya beki wa katia, kwani Enonga sio beki wa kati?
Sasa unaweza ukaleta stats hapa zinazoonesha Dickson Job ni bora kumzidi Enonga?
Saga tu wembe unywe na ufwe kabisa kwa umbumbumbu wako Kungwi la Kolowizards wewe [emoji28]Ujinga mtupu
Kama kigezo cha kufungwa goli kidogo ndio kinakufanya uhisi job,msimu uliopita Yanga ndio timu iliyofungwa goli chache na bado inonga alichaguliwa kuwa beki boraHata nikitumia hoja yako bado inaonesha Dickson Job hakustahili tuzo hiyo.
Kwasababu ukiangalia utaona Simba ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kuliko timu nyingine yeyote.
Hiyo inatosha kuonesha ubora mkubwa wa beki za Simba katika kulinda.
Lakini zimekuja na double profit yani licha ya role yao kuwa ni ulinzi bado wamekuja kuku offer extra thing kwenye eneo la mwisho.
Mabeki wana assist kushinda hata hao viungo wenu.
Mabeki wana magoli kushinda hata hao viungo wenu ambao role zao ni kushambulia.
So unapokuja kupuuza hizi stats na kumteua mtu mwingine ambaye hajafikia vigezo hivi unakuwa unamaana yako binafsi ya beki bora unayoijua wewe na dunia yako.
Msimu uliopita inonga alipochaguliwa beki bora ni timu ipi ilikua na goals chache za kufungwa?Kigezo ni kufungwa mabao machache.
Hilo ni eneo lililosababishwa na ubora wa backlines
WanajikaushaMsimu uliopita yanga alifungwa magoal machache ila beki bora alikua INONGA msimu huu simba amefungwa magoal machache ila beki bora JOB ngoma drawView attachment 2655721
Lakini huko Simba si mna tuzo za Mo lawama za nini sasaNimeweka data zote hapo.
Club ya Simba imefungwa magoli machache kuliko Club yeyote.
Kwa maana ya kwamba defense line ilikuwa bora kuliko timu nyingine
Licha ya kuwa imara kwenye ulinzi bado mabeki hao wamekupa kitu kingine cha ziada.
Wane assist na wame score, sasa kipi ambacho huyo Dickson Job amekifanya kuwazidi hawa.
Msiishie kusema kazi ya beki sio ku assist, leteni hoja zinazoonesha Dickson Job alistahili.
Mwaka mzima una lalamika tu utakufa [emoji23][emoji23] aiseeWewe ndio pimbi
Tuzo za NBC zilikuwa na category ya beki.
Hazikuwa na category ya beki wa eneo gani.
Maana yake beki yeyote ambaye alionesha ubora aliweza kuchukua hii tuzo.
Ubora ni number
Inonga ni Center back, je hana goli?
Sawa sina akili ila najua Croatia walikua na medali ni uongo?Kila nikiona comment zako za hovyo natamani nikuite "huna akili" kama njia ya kukukera.
Lakini nikikumbuka nature ya Gongowazi kwa mujibu wa Manara nabaki kimya kwasababu kukuita "huna akili" haitakuwa kashfa itaonekana kama nakusifia (something to be proud of)
Mbna yupoooMi huwa napata taabu sana kuelewa tuzo zote duniani
Unaweza kukuta beki bora wa msimu labda ni Xhaka lakini kwenye kikosi bora cha msimu hayupo
Nilitegemea Job angekuwepo kwenye kikosi bora cha msimu
Kigezo ni kufungwa mabao machache.
Hilo ni eneo lililosababishwa na ubora wa backlines
mnavyo imba mabao machache utasema anaye wafuatia kwa uchache mmemzidi kweli wakat mmetuzidi bao 1 wananchiKigezo ni kufungwa mabao machache.
Hilo ni eneo lililosababishwa na ubora wa backlines
Kama kigezo cha kufungwa goli kidogo ndio kinakufanya uhisi job,msimu uliopita Yanga ndio timu iliyofungwa goli chache na bado inonga alichaguliwa kuwa beki bora
Goli 1 linatosha kuweka rekodi ya kiaka 100mnavyo imba mabao machache utasema anaye wafuatia kwa uchache mmemzidi kweli wakat mmetuzidi bao 1 wananchi
yawezekana job kawazidi mabek wako kuzui,kuondosha hatari, kufagia mipira inayozagaa langoni hivyo kuwa bora
Saidoo ana kadi nyekundu hivyo hawezi kuwa mvpKama ambavyo Mayele kapewa MVP vigezo ni vipi?? To me Saidooo alistahili...
leta ww unaye lalamika kuonewa mbona za assist umeletaGoli 1 linatosha kuweka rekodi ya kiaka 100
Ndio hapo nimesema leteni hizo stats zake tuone