Kamati ya Tuzo TFF imetumia vigezo gani kuchagua Beki Bora wa Ligi ya NBC?

Kamati ya Tuzo TFF imetumia vigezo gani kuchagua Beki Bora wa Ligi ya NBC?

Wewe jamaa hua ni pimbi hivi beki wa kati anaweza kutoa assist kama LB na RB ? na tangu lini beki akapimwa kwa vigezo vya assist?
Wewe ndio pimbi

Tuzo za NBC zilikuwa na category ya beki.

Hazikuwa na category ya beki wa eneo gani.

Maana yake beki yeyote ambaye alionesha ubora aliweza kuchukua hii tuzo.

Ubora ni number

Inonga ni Center back, je hana goli?
 
Croatia walikua na medali [emoji23][emoji23]
Kila nikiona comment zako za hovyo natamani nikuite "huna akili" kama njia ya kukukera.

Lakini nikikumbuka nature ya Gongowazi kwa mujibu wa Manara nabaki kimya kwasababu kukuita "huna akili" haitakuwa kashfa itaonekana kama nakusifia (something to be proud of)
 
Category ya tuzo inaangazia eneo la beki, haijakishi ni beki wa kati au beki wa pembeni na hata kwenye kinyangal'anyio waliwekwa wote.

Na hata tukija kwenye hoja yako ya beki wa katia, kwani Enonga sio beki wa kati?

Sasa unaweza ukaleta stats hapa zinazoonesha Dickson Job ni bora kumzidi Enonga?
ulioanzisha huu mjadala ndio ulete takwimu zao hapa 😄
 
kumbe kigezo chako ni assist
nilitegemea ulete ka block mipira kiasi gani, takoling ngap unaleta stori za assist
Kigezo ni kufungwa mabao machache.

Hilo ni eneo lililosababishwa na ubora wa backlines
 
Hata nikitumia hoja yako bado inaonesha Dickson Job hakustahili tuzo hiyo.

Kwasababu ukiangalia utaona Simba ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kuliko timu nyingine yeyote.

Hiyo inatosha kuonesha ubora mkubwa wa beki za Simba katika kulinda.

Lakini zimekuja na double profit yani licha ya role yao kuwa ni ulinzi bado wamekuja kuku offer extra thing kwenye eneo la mwisho.

Mabeki wana assist kushinda hata hao viungo wenu.

Mabeki wana magoli kushinda hata hao viungo wenu ambao role zao ni kushambulia.

So unapokuja kupuuza hizi stats na kumteua mtu mwingine ambaye hajafikia vigezo hivi unakuwa unamaana yako binafsi ya beki bora unayoijua wewe na dunia yako.
Kama kigezo cha kufungwa goli kidogo ndio kinakufanya uhisi job,msimu uliopita Yanga ndio timu iliyofungwa goli chache na bado inonga alichaguliwa kuwa beki bora
 
Nimeweka data zote hapo.

Club ya Simba imefungwa magoli machache kuliko Club yeyote.

Kwa maana ya kwamba defense line ilikuwa bora kuliko timu nyingine

Licha ya kuwa imara kwenye ulinzi bado mabeki hao wamekupa kitu kingine cha ziada.

Wane assist na wame score, sasa kipi ambacho huyo Dickson Job amekifanya kuwazidi hawa.

Msiishie kusema kazi ya beki sio ku assist, leteni hoja zinazoonesha Dickson Job alistahili.
Lakini huko Simba si mna tuzo za Mo lawama za nini sasa
 
Wewe ndio pimbi

Tuzo za NBC zilikuwa na category ya beki.

Hazikuwa na category ya beki wa eneo gani.

Maana yake beki yeyote ambaye alionesha ubora aliweza kuchukua hii tuzo.

Ubora ni number

Inonga ni Center back, je hana goli?
Mwaka mzima una lalamika tu utakufa [emoji23][emoji23] aisee
 
Kila nikiona comment zako za hovyo natamani nikuite "huna akili" kama njia ya kukukera.

Lakini nikikumbuka nature ya Gongowazi kwa mujibu wa Manara nabaki kimya kwasababu kukuita "huna akili" haitakuwa kashfa itaonekana kama nakusifia (something to be proud of)
Sawa sina akili ila najua Croatia walikua na medali ni uongo?
 
Mi huwa napata taabu sana kuelewa tuzo zote duniani

Unaweza kukuta beki bora wa msimu labda ni Xhaka lakini kwenye kikosi bora cha msimu hayupo

Nilitegemea Job angekuwepo kwenye kikosi bora cha msimu
Mbna yupooo
 
Kigezo ni kufungwa mabao machache.

Hilo ni eneo lililosababishwa na ubora wa backlines

Kumbe Inonga alipendelewa mwaka jana
Maana Yanga ndio walifungwa magoli machache[emoji23][emoji23]

Japo huwa sikubaliani sana na uchambuzi wa George Ambagile lakini nilimsikia akisema kitu chenye mantiki kwamba kwa bahati mbaya sana dunia ya sasa hivi inadhania takwimu(namba) ndio kipimo pekee cha mpira
Kuanzia takwimu za mchezo kiujumla na takwimu za mchezaji mmoja mmoja

Sasa hivi kila mtu anazungumzia assist kuanzia golikipa mabeki viungo na washambuliaji

Ukitumia kigezo cha assist kwa mabeki basi akina Inonga, Onyango yaani mabeki wa kati utawaonea

Ukitumia kigezo cha assist kwa viungo kuna viungo ni wakabaji zaidi na viungo washambuliaji lakini kwenye category hawa ni VIUNGO

Aina ya uchezaji wa mchezaji na mifumo ya kocha ndio inaamua bakia aka assist au la nk nk

Hata mimi napata ukakasi Job kuwa baki bora lakini vigezo vyako dhidi ya wengine havikutumika dhidi ya inonga

Na bahati mbaya bongo hatuna takwimu za block na tackling kwa mabeki
 
Kigezo ni kufungwa mabao machache.

Hilo ni eneo lililosababishwa na ubora wa backlines
mnavyo imba mabao machache utasema anaye wafuatia kwa uchache mmemzidi kweli wakat mmetuzidi bao 1 wananchi

yawezekana job kawazidi mabek wako kuzui,kuondosha hatari, kufagia mipira inayozagaa langoni hivyo kuwa bora
 
Kama kigezo cha kufungwa goli kidogo ndio kinakufanya uhisi job,msimu uliopita Yanga ndio timu iliyofungwa goli chache na bado inonga alichaguliwa kuwa beki bora

Msimu wa 2021/22

Inonga alistahili kuchukua kwa kigezo cha hizi hapa stats zake.

Touches 84
.
Interceptions 7

Tackles won 5

Dribble 2

Goals 2

Na msimu huu kafanya makubwa zaidi ya hapa
 
mnavyo imba mabao machache utasema anaye wafuatia kwa uchache mmemzidi kweli wakat mmetuzidi bao 1 wananchi

yawezekana job kawazidi mabek wako kuzui,kuondosha hatari, kufagia mipira inayozagaa langoni hivyo kuwa bora
Goli 1 linatosha kuweka rekodi ya kiaka 100

Ndio hapo nimesema leteni hizo stats zake tuone
 
Back
Top Bottom