Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kanywe maji mkuu, assist fcCan't argue with rotted brain
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanywe maji mkuu, assist fcCan't argue with rotted brain
Mayele kafunga magoli ambayo yameisadia timu yake kuchukua ubingwa ,Kama ambavyo Mayele kapewa MVP vigezo ni vipi?? To me Saidooo alistahili...
Kazi ya beki siyo kuassistNitafutieni Dickson Job hapaView attachment 2655537View attachment 2655538
Kasage sumu unyweJamani ebu tufahamishane vizuri hapa wote tujue.
Dickson Job kapewa tuzo ya beki bora kwac Criteria gani?
Haya tuliyaona TMA na tuzo zao za CUBA, leo hii kwenye NBC mambo kama yanajirudia.
Na wewe kasage sumu unyweHata goli bora si sawa kumpa Mayele
Kazi ya beki sio kuassist waache kimbelembeleNitafutieni Dickson Job hapaView attachment 2655537View attachment 2655538
Inonga aje achukue na yeye tuzo yake hapa nyumbani kwangu msasani. Kuna elf 20 hapa na kuku wawiliCategory ya tuzo inaangazia eneo la beki, haijakishi ni beki wa kati au beki wa pembeni na hata kwenye kinyangal'anyio waliwekwa wote.
Na hata tukija kwenye hoja yako ya beki wa katia, kwani Enonga sio beki wa kati?
Sasa unaweza ukaleta stats hapa zinazoonesha Dickson Job ni bora kumzidi Enonga?
Tuzo zote zilipaswa kwenda Simba!! Aisee hongereniHata goli bora si sawa kumpa Mayele
Weka vigezo vyako /hoja YAKO siyo unaleta malalamiko tu.Hata nikitumia hoja yako bado inaonesha Dickson Job hakustahili tuzo hiyo.
Kwasababu ukiangalia utaona Simba ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kuliko timu nyingine yeyote.
Hiyo inatosha kuonesha ubora mkubwa wa beki za Simba katika kulinda.
Lakini zimekuja na double profit yani licha ya role yao kuwa ni ulinzi bado wamekuja kuku offer extra thing kwenye eneo la mwisho.
Mabeki wana assist kushinda hata hao viungo wenu.
Mabeki wana magoli kushinda hata hao viungo wenu ambao role zao ni kushambulia.
So unapokuja kupuuza hizi stats na kumteua mtu mwingine ambaye hajafikia vigezo hivi unakuwa unamaana yako binafsi ya beki bora unayoijua wewe na dunia yako.
Maana yake Yanga imeruhusu magoli mengi kwenye mechi moja ilihali Simba machache kwenye mechi moja.Pamoja na Yanga kuruhusu mabao 18 lakini imeruhusu kwenye Mechi chache ukfananisha na Magoli 16 waliyoruhusu Simba.
Yanga wameruhusu magoli kwenye mechi 11 tu
Simba wamefungwa magoli 16 kwenye mechi 15
Makolo hamchelewi kuzusha Job ni mtu wa kitengo a.k.a asset ya wavaa kaundaJamani ebu tufahamishane vizuri hapa wote tujue.
Dickson Job kapewa tuzo ya Beki Bora kwa Criteria gani?
Haya tuliyaona TMA na tuzo zao za CUBA, leo hii kwenye NBC mambo kama yanajirudia.
Wewe jamaa hua ni pimbi hivi beki wa kati anaweza kutoa assist kama LB na RB ? na tangu lini beki akapimwa kwa vigezo vya assist?Nitafutieni Dickson Job hapaView attachment 2655537View attachment 2655538
Ka anzishe tuzo zako hauja chelewaCategory ya tuzo inaangazia eneo la beki, haijakishi ni beki wa kati au beki wa pembeni na hata kwenye kinyangal'anyio waliwekwa wote.
Na hata tukija kwenye hoja yako ya beki wa katia, kwani Enonga sio beki wa kati?
Sasa unaweza ukaleta stats hapa zinazoonesha Dickson Job ni bora kumzidi Enonga?