Kamati ya Tuzo TFF imetumia vigezo gani kuchagua Beki Bora wa Ligi ya NBC?

Kamati ya Tuzo TFF imetumia vigezo gani kuchagua Beki Bora wa Ligi ya NBC?

Category ya tuzo inaangazia eneo la beki, haijakishi ni beki wa kati au beki wa pembeni na hata kwenye kinyangal'anyio waliwekwa wote.

Na hata tukija kwenye hoja yako ya beki wa katia, kwani Enonga sio beki wa kati?

Sasa unaweza ukaleta stats hapa zinazoonesha Dickson Job ni bora kumzidi Enonga?
Inonga aje achukue na yeye tuzo yake hapa nyumbani kwangu msasani. Kuna elf 20 hapa na kuku wawili
 
Hata nikitumia hoja yako bado inaonesha Dickson Job hakustahili tuzo hiyo.

Kwasababu ukiangalia utaona Simba ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kuliko timu nyingine yeyote.

Hiyo inatosha kuonesha ubora mkubwa wa beki za Simba katika kulinda.

Lakini zimekuja na double profit yani licha ya role yao kuwa ni ulinzi bado wamekuja kuku offer extra thing kwenye eneo la mwisho.

Mabeki wana assist kushinda hata hao viungo wenu.

Mabeki wana magoli kushinda hata hao viungo wenu ambao role zao ni kushambulia.

So unapokuja kupuuza hizi stats na kumteua mtu mwingine ambaye hajafikia vigezo hivi unakuwa unamaana yako binafsi ya beki bora unayoijua wewe na dunia yako.
Weka vigezo vyako /hoja YAKO siyo unaleta malalamiko tu.
 
Pamoja na Yanga kuruhusu mabao 18 lakini imeruhusu kwenye Mechi chache ukfananisha na Magoli 16 waliyoruhusu Simba.

Yanga wameruhusu magoli kwenye mechi 11 tu

Simba wamefungwa magoli 16 kwenye mechi 15
Maana yake Yanga imeruhusu magoli mengi kwenye mechi moja ilihali Simba machache kwenye mechi moja.
Kwa mantiki hiyo beki ya Yanga ilikuwa mbovu
 
Jamani ebu tufahamishane vizuri hapa wote tujue.

Dickson Job kapewa tuzo ya Beki Bora kwa Criteria gani?

Haya tuliyaona TMA na tuzo zao za CUBA, leo hii kwenye NBC mambo kama yanajirudia.
Makolo hamchelewi kuzusha Job ni mtu wa kitengo a.k.a asset ya wavaa kaunda
 
Category ya tuzo inaangazia eneo la beki, haijakishi ni beki wa kati au beki wa pembeni na hata kwenye kinyangal'anyio waliwekwa wote.

Na hata tukija kwenye hoja yako ya beki wa katia, kwani Enonga sio beki wa kati?

Sasa unaweza ukaleta stats hapa zinazoonesha Dickson Job ni bora kumzidi Enonga?
Ka anzishe tuzo zako hauja chelewa
 
Mi huwa napata taabu sana kuelewa tuzo zote duniani

Unaweza kukuta beki bora wa msimu labda ni Xhaka lakini kwenye kikosi bora cha msimu hayupo

Nilitegemea Job angekuwepo kwenye kikosi bora cha msimu
 
Back
Top Bottom