Kamati ya Ujenzi CHADEMA: Jengo la chama Iringa, tunaomba michango yenu

Kamati ya Ujenzi CHADEMA: Jengo la chama Iringa, tunaomba michango yenu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Yaani mjenge ofisi Iringa huku bado mmepanga Ufipa
.👇
Msigwa.jpg
 
Yaani mjenge ofisi Iringa huku bado mmepanga Ufipa
.👇
View attachment 2444484
Ila jamaa weye huwa kajinga sana. Kwa hiyo imekuuma sana wanavyotaka kujenga ofisi? Na ulivyo lofa unadhani michango watamchangia kwenye akaunti yake? Wanataka kujenga ofisi umenuna. Tabularasa kweli kama id yako.😂😂😂😂😂
 
Ila jamaa weye huwa kajinga sana. Kwa hiyo imekuuma sana wanavyotaka kujenga ofisi? Na ulivyo lofa unadhani michango watamchangia kwenye akaunti yake? Wanataka kujenga ofisi umenuna. Tabularasa kweli kama id yako.😂😂😂😂😂
Kweli huyu jamaa ni Tabularasa kabisa
 
Ishu ni kuchangisha watu pesa na kuzitafuna
 
Back
Top Bottom