Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
nenda kahoji matrillion ya wiz mnaofanya huko lumumba ili mzee wenu wa tanga asiye na adabu akunyooshe.Anachukia wizi wa michango kwa kisingizio cha ujenzi. Tukubali ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda kahoji matrillion ya wiz mnaofanya huko lumumba ili mzee wenu wa tanga asiye na adabu akunyooshe.Anachukia wizi wa michango kwa kisingizio cha ujenzi. Tukubali ukweli.
Hata mimi nimetoa ila makamanda wenzangu mtazitafuna kama njugu. Tuache upigajiwameshatoa sasa utafanya nini wewe mpuuz wa lumumba.
Mimi sio mtu wa lumumbanenda kahoji matrillion ya wiz mnaofanya huko lumumba ili mzee wenu wa tanga asiye na adabu akunyooshe.
nimesema pesa tumeshatoa mtafanyaje nyie machawa ya lumumba mliokosa uteuz hadi mvi zimewasogelea.Hata mimi nimetoa ila makamanda wenzangu mtazitafuna kama njugu. Tuache upigaji
Wewe umetoa? Ziko wapi? Mimi nipo ndani ya chama najua kila kitu. Tunatafuta pesa ya matumizinimesema pesa tumeshatoa mtafanyaje machawa nyie machawa ya lumumba mliokosa uteuz hadi mvi zimewasogelea.
na nyie mbona mlikula hela za rambirambi?
Acha kujibu upuuzina nyie mbona mlikula hela za rambirambi?
vp hela za vitambulisho vya machinga?
acha na wao wapige kama inakuuma
Wakijenga maneno Wakipanga Maneno hebu Waacheni Chadema na Mambo yenu Shughulikeni na MABEHEWA USED basi
Unaogopa watakutafuna na weye?😂😂😂😂Ishu ni kuchangisha watu pesa na kuzitafuna
Kwa hiyo weye ndiye umma mwenyewe au upawa wa kigogo?Tatizo pesa za umma zinaliwa.
Huyo mjinga kabisa ela ya tozo mpaka Sasa hatujui ni kiasi gani kinakusanywa watu wanajipigia tu kama hii nchi Haina mwenyewe alafu Kuna mjinga mmoja anatuletea tabia za kipembaKwa hiyo weye ndiye umma mwenyewe au upawa wa kigogo?
Ni wakati gani wa kunyenyekea na wakati gani wa kutonyenyekea na kwanini?
Tuwape moyo wanaweza, hoteli ya sugu ni zaidi ya hii ofisi nini kinashindikana kwa wanachama zaidi ya elfu 10?
Wazungu wamesemaje kuhusu hili?Kwa unyenyekevu tunaomba mchango wako kwa ajili ya Ujenzi wa ofisi ya Chama Iringa’- Peter Msigwa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa.
View attachment 2444564View attachment 2444565