zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
CAG kaona haya au ni wewe tu?Tatizo Chadema nao ni wapigaji tu, hawana tofauti yoyote na wale wengine.
Wamepokea ruzuku za mamilioni lakini hawana hata kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu.