Kamati ya Ujenzi CHADEMA: Jengo la chama Iringa, tunaomba michango yenu

Yaani mjenge ofisi Iringa huku bado mmepanga Ufipa
.πŸ‘‡
View attachment 2444484
Ila jamaa weye huwa kajinga sana. Kwa hiyo imekuuma sana wanavyotaka kujenga ofisi? Na ulivyo lofa unadhani michango watamchangia kwenye akaunti yake? Wanataka kujenga ofisi umenuna. Tabularasa kweli kama id yako.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kweli huyu jamaa ni Tabularasa kabisa
 
Ishu ni kuchangisha watu pesa na kuzitafuna
 
Ahaaaaa. Ahaaaaaaa. Ahaaaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…