Kambi ya Jeshi Gongo la Mboto ihamishwe kijengwe kituo cha basi

Kambi ya Jeshi Gongo la Mboto ihamishwe kijengwe kituo cha basi

Nakushauri nenda pale gongo la mboto halafu omba kuonana na CO wa pale then mueleze haya maneno atakusikiliza maana nawajua wanajeshi ni watu waelewa sana. Tafadhali sana usisahau kuleta mrejesho mzee.
CO hana mamlaka juu ya hiki nilichopendekeza, mwenye mamlaka ni comand inchief.
 
Kiswahili sahihi kwa mwanamke ni Ameri Jeshi Mkuu.

Alisema CDF.

Naunga mkono hoja yako, kambi zimejaa watu wa hovyo wenye akili ndogo za udalali tu..... hata hapa Lugalo kambi imezungukwa na mabanda hata huwezi kuita fremu.

Kukosa vita pia inapelekea wahusika kusahau jukumu lao la msingi.
Kiswahili chakijiweni au
 
Wananchi ndio wanalifuata jeshi, uliza wenyeji kati ya kambi na wao nani alitangulia kuwepo..?

Hoja ya kuweka frame kwenye maeneo ya jeshi sio kosa ila wangekusanya hela waweke miradi mikubwa kama mahoteli, malls
Wewe labda umekuja mjini juzi, Gongo la mboto ilikuwa ipo wilaya ya Kisarawe, Dar ilikuwa na wakazi kama million moja hivi, sasa hivi unajuwa Dar ina wakazi wangapi?
Msasaní beach inamilikiwa na jeshi na hatuna tatizo na jeshi kuwa na miradi kama hiyo nje ya kambi za jeshi.
 
Una maana wanajeshi wa Tanzania wanatandika mafremu ya biashara kwenye maeneo yao au?
 
Nadhani ifike wakati serikali yetu hata kama ina wajinga wengi basi tutumie nafasi yetu kushauri badala ya kukosowa tu.

Mimi si mtaalam wa mambo ya ulinzi lakini naelewa fika nimezaliwa Dar gongo la mboto ilikuwa iko wilaya ya kisarawe ni shamba.

Sasa kuwepo kambi ya JWTZ kwa kipindi kile ilikuwa sahihi, lakini sasa hivi dunia imehama hatuko huko tena kuna vita za kiteknolojia, haya makambi mijini ni useless kabisa.

Nimepita leo kambi ya gongo la mboto nimeshangaa kuona jeshi liko bize na ujasiriamali wa fremu za biashara kwa sababu kambi iko barabarabani hili siyo sahihi hii ni miradi ya watu wakubwa jeshini.

Gongo la mboto ni route ya magari mbalimbali ya safari za jijini lakini hakuna bus terminal, ni kwa nini kambi kama hii ya gongo la mboto isihamishwe na kupisha matumizi ya umma badala ya kugeuza eneo la jeshi kama mgodi wa watu flani?

Najuwa Rais hapendi kulikera jeshi lakini kwa hili hakuna manufaa yoyote kwa jeshi zaidi ya ulaji wa maboss wachache wa jeshi.

Muda wa kufumbia macho maovu na ufisadi kwenye jeshi letu umepita sasa ni lazima tuambiane ukweli, mama mulika makambi ya jeshi Dar, omba ushauri wa kisasa kwa Military analyst achana na wale wenye akili za kijima kwamba Zanzibar ni muhimu kwa Tanganyika kwa sababu za kiusalama, wewe waulize Iran aliporusha drones zake Israel alipitia nchi jirani?
Kati ya Kambi ya Jeshi na Raia katika maeneo hayo ya Gongolamboto nani aliyemsogelea mwenziwe?
 
Nadhani ifike wakati serikali yetu hata kama ina wajinga wengi basi tutumie nafasi yetu kushauri badala ya kukosowa tu.

Mimi si mtaalam wa mambo ya ulinzi lakini naelewa fika nimezaliwa Dar gongo la mboto ilikuwa iko wilaya ya kisarawe ni shamba.

Sasa kuwepo kambi ya JWTZ kwa kipindi kile ilikuwa sahihi, lakini sasa hivi dunia imehama hatuko huko tena kuna vita za kiteknolojia, haya makambi mijini ni useless kabisa.

Nimepita leo kambi ya gongo la mboto nimeshangaa kuona jeshi liko bize na ujasiriamali wa fremu za biashara kwa sababu kambi iko barabarabani hili siyo sahihi hii ni miradi ya watu wakubwa jeshini.

Gongo la mboto ni route ya magari mbalimbali ya safari za jijini lakini hakuna bus terminal, ni kwa nini kambi kama hii ya gongo la mboto isihamishwe na kupisha matumizi ya umma badala ya kugeuza eneo la jeshi kama mgodi wa watu flani?

Najuwa Rais hapendi kulikera jeshi lakini kwa hili hakuna manufaa yoyote kwa jeshi zaidi ya ulaji wa maboss wachache wa jeshi.

Muda wa kufumbia macho maovu na ufisadi kwenye jeshi letu umepita sasa ni lazima tuambiane ukweli, mama mulika makambi ya jeshi Dar, omba ushauri wa kisasa kwa Military analyst achana na wale wenye akili za kijima kwamba Zanzibar ni muhimu kwa Tanganyika kwa sababu za kiusalama, wewe waulize Iran aliporusha drones zake Israel alipitia nchi jirani?

Tunaweza kujikuta kambi zote zimehamishwa. Kuna kambi zipo around Kibamba/Kibaha. Zamani yalikuwa mapori. Siku hizi ni miji mikubwa.
Nao wahame? Ili iweje sasa?
 
Nadhani ifike wakati serikali yetu hata kama ina wajinga wengi basi tutumie nafasi yetu kushauri badala ya kukosowa tu.

Mimi si mtaalam wa mambo ya ulinzi lakini naelewa fika nimezaliwa Dar gongo la mboto ilikuwa iko wilaya ya kisarawe ni shamba.

Sasa kuwepo kambi ya JWTZ kwa kipindi kile ilikuwa sahihi, lakini sasa hivi dunia imehama hatuko huko tena kuna vita za kiteknolojia, haya makambi mijini ni useless kabisa.

Nimepita leo kambi ya gongo la mboto nimeshangaa kuona jeshi liko bize na ujasiriamali wa fremu za biashara kwa sababu kambi iko barabarabani hili siyo sahihi hii ni miradi ya watu wakubwa jeshini.

Gongo la mboto ni route ya magari mbalimbali ya safari za jijini lakini hakuna bus terminal, ni kwa nini kambi kama hii ya gongo la mboto isihamishwe na kupisha matumizi ya umma badala ya kugeuza eneo la jeshi kama mgodi wa watu flani?

Najuwa Rais hapendi kulikera jeshi lakini kwa hili hakuna manufaa yoyote kwa jeshi zaidi ya ulaji wa maboss wachache wa jeshi.

Muda wa kufumbia macho maovu na ufisadi kwenye jeshi letu umepita sasa ni lazima tuambiane ukweli, mama mulika makambi ya jeshi Dar, omba ushauri wa kisasa kwa Military analyst achana na wale wenye akili za kijima kwamba Zanzibar ni muhimu kwa Tanganyika kwa sababu za kiusalama, wewe waulize Iran aliporusha drones zake Israel alipitia nchi jirani?

Kimsingi kambi zote za jeshi zinatakiwa kutoka mjini ziende nje kbs, Twalipo (Mgulani) Lugalo, both hosp na 27Kj, MMJ, Kunduchi zote zitoke, hamna threat yyt ya kuacha wanajeshi mjini, Fikiria Lugalo ikitoka na pakapimwa pale na kuweka infrasturure za kibiashara jiji litafunguka namna gani? Hata Makongo 501Kj itoke Ibaki shule tu pale. Ziliwekwa na wajerumani kwa sababu kulikuwa na need na sasa hamna tena tupo miaka zaidi ya 100 tangu waweke so akili za wabongo zitumike sasa badala ya kubaki na plan za mkoloni ambazo zishapitwa na wakati sana. Tuna Staff and Command College inatakiwa kutoa stategists sasa baada ya miaka mingi kuchallenge za wakoloni na kufanya updating. Povu ruksa
 
Back
Top Bottom