Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

Hata mbowe anafadhiriwa na hao mabwanyenye na nyie machawa unafikiri ashawatafuna kabla ya kwenda mbinguni huko ulaya
ni kupoteza nguvu kazi ya taifa vijana wetu kurubuniwa ati ufirauni ni haki πŸ’
 
Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini,
kuhakikisha ulinzi wa ndani na nje ya ukumbi wa mlimani City unaimarishwa kesho.

Na magenge ya kihalifu chini ya Lema yanadhibitiwa mapema iwezekanavyo na kutiwa nguvu kwa haraka zaidi.

Ilindeni demokrasia changa ya chadema πŸ’
 
Lazima pachimbike kura za mabaraza kote Lisu kashamburuza mbowe harafu mnataka mcheze rafu?
chonde Chonde kubalini matokeo vinginevyo mtatolewa ukumbini na hamtapata faida yoyote,
.Fujo za nini sasa mnapanga ndrugu zango πŸ’
 
Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Hangaika na matapeli Yako yanayokwenda kuanguka yote. Na wewe Anza kujiandaa mwenyezi mungu ameshaanza kuchukua majinga kama wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Your browser is not able to display this video.
 
umesomeshwa ukafaulu kua na mihemko tu gentleman 🀣
 
Funjo wataleta team MBOWE bila shaka

Sanduku la kura litaamua nani awe mwenyekiti nani awe mjumbe wa kamati kuu


Kamuulize SUMAYE anafahamu maana na uhalisia wa kura ya hapana
sasa mbona Lema anagawa viwembe kwa wajumbe kuingia navyo ukumbini, au wanaenda kukatana kucha gentleman πŸ’
 
Maneno Mataamu - Jitahidini kuondoa CCM madalakani

Sufuria, Kijiko, Umma vya habari mpooo


View: https://youtu.be/l7D3vDD2JV4?si=1xVoVigG4tZ6l6qo
 
Maneno Mataamu - Jitahidini

Sufuria, Kijiko, Umma vya habari mpooo


View: https://youtu.be/l7D3vDD2JV4?si=1xVoVigG4tZ6l6qo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…