Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

Nina maoni kwamba mleta uzi ana matatizo ya uelewa na akili
kufikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala asubuhi asubuhi kama hivi ni kitu mbaya,

hata hivyo,
fujo kwenye uchaguzi ni ishara ya kushindwa vibaya mapema 🐒
 
Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,

Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.

Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.

Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.

Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.

Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi

Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kama kawaida yenu na kaka Yako Mwashambwa!
 
Wewe ni moja ya wale wanaoosha magari ya ccm pale Lumumba lakini upumbavu wako ni wa kwako mwenyewe huwezi kuusambaza kwa wengine. Bure kabisa ghasia wewe.
 
Kiongozi we hukualikwa kula mapochopocho Dodoma? Naona upoupo sana jf kutwa kucha
 
Unamaanisha hawa?
Screenshot_20250119-234320.png
 
Hakuna uchaguzi ! Hakuna mshindi!
Mwenyekiti ni yule yule aliyepo!
Chadema tunahitaji amani!
 
Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,

Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.

Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.

Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.

Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.

Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi

Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe mwehu, hebu punguza post za kumchafua Lissu. Tuletee mambo ya maana
 
Wewe mwehu, hebu punguza post za kumchafua Lissu. Tuletee mambo ya maana
muerevu relax na jifunze kupokea ukweli kama ulivyo bila kuchoka. Hakuna kuvhafuana kwenye ukweli 🐒
 
Wewe ni moja ya wale wanaoosha magari ya ccm pale Lumumba lakini upumbavu wako ni wa kwako mwenyewe huwezi kuusambaza kwa wengine. Bure kabisa ghasia wewe.
Relax gentleman,
kwahiyo Lema kuandaa watu, nyembe na silaha za jadi kwajili kuvuruga uchaguzi wa chadema ndiyo ujanja, right?🐒
 
muerevu relax na jifunze kupokea ukweli kama ulivyo bila kuchoka. Hakuna kuvhafuana kwenye ukweli 🐒
Kwa siku unafungua thread lukuki kumchafua mtu mmoja. Mpaka unachefua. Hata watu wasiompenda Lissu wanakuona kinyaaa, maana umezidisha chuki
 
Back
Top Bottom