Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,

Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.

Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.

Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.

Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.

Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi

Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Adui kashalegeaa kakabwa roba ya shingoni, Lissu atashinda aisee Kwa ushndi wa kishindo
 
Adui kashalegeaa kakabwa roba ya shingoni, Lissu atashinda aisee Kwa ushndi wa kishindo
kwa fujo haiwezekani, lakini kwa kura za wajumbe ni vigumu zaidi haiwezekani kabsaa gentleman🐒
 
unaungua halafu unakaa kimya? huenda dada au kakako yumo mule gentleman 🐒
Hawa wapuuzi huwa wanahubiri democracy, mara tume huru ya uchaguzi mara katiba mpya huku kwao hawataki kupractise !! Sisi tunawasubiri October 2025 watakuwa wanatoa mlio na hakuna atakayewahurumia .
 
Hawa wapuuzi huwa wanahubiri democracy, mara tume huru ya uchaguzi mara katiba mpya huku kwao hawataki kupractise !! Sisi tunawasubiri October 2025 watakuwa wanatoa mlio na hakuna atakayewahurumia .
unafiki wao una waumbua mchana kweupe 🐒
 
Asa Lema anaakili gani mpaka asikilizwe? Mtu anataka apewe yenda yakuwachangisha wananchi kisha apewe pande lake huyo si mwizi kama wezi wengine!!
Serikali ipige marufuku wanasiasa kuchangisha hovyo watu hizi nikodi za hovyo... Alafu wanatumia hizo pesa kwamambo ya hovyo kabisa eti join the chain
 
Asa Lema anaakili gani mpaka asikilizwe? Mtu anataka apewe yenda yakuwachangisha wananchi kisha apewe pande lake huyo si mwizi kama wezi wengine!!
Serikali ipige marufuku wanasiasa kuchangisha hovyo watu hizi nikodi za hovyo... Alafu wanatumia hizo pesa kwamambo ya hovyo kabisa eti join the chain
amefanya press conference wiki nzima akiwatambulisha wajumbe feki kwenye vyombo vya habari 🐒
 
unafiki wao una waumbua mchana kweupe 🐒
Kabisa mkuu, na hapa vijana wengi wajifunze , wako wapi waking soka, Ben saanane na wengine wengi?

Vijana waliotegemewa na familia zao waligeuzwa chambo cha kunufaisha mwenyekiti wao bila wao kujua wakajitia kimbelembele et wanapigania maisha bora ya watanzania , kumbe mtanzania anayepiganiwa ni Mbowe na familia yake

Vijana tuweni makini sana
 
Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,

Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.

Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.

Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.

Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.

Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi

Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kama wanataka kung'olewa meno bila ganzi wake watie fujo tutawachukulia kama vibaka
 
Baada ya mahesabu ya mgombea uenyekiti wao kugoma kabisa, na kwamba kura za wajumbe wa mkutano mkuu haziko upande wao licha ya kufanya press conferences wiki nzima kwa kutambulisha wajumbe, wenyeviti na makatibu wa chadema feki,

Hivi sasa wanajipanga kuingia ukumbini kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi huo haufanyiki kabisa kwa kisingizio cha maandalizi ya udanyanyifu, rushwa kutoka kambi ya mbowe na baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa upande wao kuzuiwa kuingia ukumbini baada ya kutokidhi vigezo vya uthibitisho wa ujumbe wao.

Infact,
Lema na baadhi ya wafuasi wa Lisu mathalani pumbalu, mwaipaya na heche wanaandaa wajumbe feki kutoka maeneo mbalimbali nchini na kujaribu kuwapa uhalali kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ili hatimae wakifika ukumbini wazuiwe kuingia ili iwe kisingizio cha wao kushindwa na kuvuruga uchaguzi huo.

Mbaya zaidi,
inadaiwa wanajiandaa kuingia ukumbini na silaha mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyembe ili kulazimisha mgombea wao ashinde uchaguzi licha ya kutokuungwa mkono na wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa.

Mpaka sasa,
kuna dalili na ishara zote za vurugu na uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi wa chadema Taifa wa Jan 21.2025.

Natoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua tahadhari zote na kuchukua hatua muhimu stahiki za kudhibiti hali hiyo kabla ya uharbifu na hali hiyo ya uvunjifu wa amani inayopangwa haijawa mbaya zaidi

Ndugu mdau,
Una maoni gani kwenye hili?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kama wanataka kung'olewa meno bila ganzi wake watie fujo tutawachukulia kama vibaka
 
Back
Top Bottom