Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Nimejaribu kuangalia latest CCTV cameras price kwa market, nimepata ni maximum 1million, ukiweka installation cost na materials zake na ufundi, let's camera moja inaweza kufungwa kwa 3m kwahio ni 3,000,000 zidisha kwa 40= unapata million 540 hahahahhaahahah
 
nadhani ilifaa kua 1 billion kabisa,
kwasababu usalama wa Taifa na wananchi wake ni muhimu sana na gharama yake haipimwi kwa fedha

ni muhimu ikafahamika kwamba kwa nguvu na gharama yoyote ile usalama wa waTanzania utazingatiwa na serikali sikivu ya CCM gentleman bila mbambamba yoyote:NoGodNo:
Hao bora ya wanawake, kila kitu kulalamika. Atuambie gharama kiasi gani inahitajika. Ndio maana wanaitwa nyumbu
 
Kozi nzuri ni PROCUREMENT AND SUPPLY.Hakika pesa zinapigwa.
 
Ili huu mjadala uwe na maana, hebu tufanye uchambuzi mdogo hapa kwa bei na gharama za soko zilizopo kwa sasa. Hii itasaidia kupima kwa uhakika.

Nitafanya uchambuzi wa shughuli hii kwa ununuzi kamera za kiwango cha juu, tukichukua gharamani za vifaa, installation na huduma za ziada baada ya ufungaji.

Hii itatufanya tuweze kuona kama bei ya Tsh milioni 514 ni halali au ni ya juu kuliko inavyostahili.

1. UFUNGA KAMERA ZA CCTV ZA KIWANGO CHA JUU
Kamera 40 zitafungwa katika soko la Kariakoo kwa madhumuni ya kuimarisha usalama.

Kamera hizi zitahakikisha maeneo yote muhimu ya soko yanachunguzwa na kurekodiwa kwa video, hivyo kusaidia kupambana na wizi, ghasia, na uhalifu mwingine.

Kamera zitahakikisha usalama wa wateja na wafanyabiashara katika soko kubwa na lenye shughuli nyingi.

Aina ya Kamera Zitatumika
Kamera ni lazima ziwe za ubora wa picha wa juu, kuhakikisha kuwa picha zinakuwa wazi hata kwenye giza, zina uwezo wa kupiga picha kwa umbali mrefu, na zina teknolojia ya kutambua harakati.

Nitachambua baadhi ya kamera za kiwango cha juu ambazo zinaweza kutumika kwenye mradi huu.

2. AINA ZA KAMERA ZA KIWANGO CHA JUU NA BEI ZAKE

(A) Axis Communications Q-Series

  • Bei: Tsh 10,000,000 - 20,000,000 kwa kila kamera
  • Sifa:
- 4K resolution (Picha za ubora wa juu)
- Infrared night vision
- AI Motion Detection
- Face Recognition Technology
- IP67-rated (Inafaa kutumika kwenye hali mbaya ya hewa)
- Cloud storage kwa usalama wa data
  • Kiasi cha Kamera: 40 kamera
  • Jumla ya Gharama kwa Kamera 40: 40 × Tsh 15,000,000 = Tsh 600,000,000 (Bei ya wastani kwa kila kamera).

(B) Bosch MIC IP Fusion 9000i
  • Bei: Tsh 8,000,000 - 15,000,000 kwa kila kamera
  • Sifa:
- 40x optical zoom
- Thermal imaging (Mwangaza wa joto kwa ulinzi wa hali ya juu)
- Weather-resistant
- Real-time video streaming
  • Kiasi cha Kamera: 40 kamera
  • Jumla ya Gharama kwa Kamera 40: 40 × Tsh 12,000,000 = Tsh 480,000,000.
(C) Hikvision DarkfighterX Series
  • Bei: Tsh 7,000,000 - 12,000,000 kwa kila kamera
  • Sifa:
- Super low-light performance
- True color night vision
- Smart IR technology
- IP67 rating
  • Kiasi cha Kamera: 40 kamera
  • Jumla ya Gharama kwa Kamera 40: 40 × Tsh 10,000,000 = Tsh 400,000,000.
3. GHARAMA ZA USAKINISHAJI, VIFAA VYA ZIADA, NA HUDUMA ZA BAADA YA USAKINISHAJI

(A) Gharama za Usakinishaji na Wiring

Usakinishaji wa kamera za CCTV unahitaji nyaya za umeme, switches, na vifaa vya kuunganishia ili kuhakikisha kila kamera inafanya kazi ipasavyo.

Hii itajumuisha wiring kutoka kwenye NVR (Network Video Recorder) hadi kwa kamera. Hii inaweza kugharimu Tsh 70,000,000 kwa mradi mkubwa kama huu.

(B) Mfumo wa Kuhifadhi Video (NVR / Server)
Kamera 40 za CCTV zitahitaji server au NVR (Network Video Recorder) ili kuhifadhi video inayoendelea kurekodiwa kutoka kwenye kamera. Mfumo huu utakuwa na uwezo wa kuhifadhi video kwa siku kadhaa ili kurahisisha upatikanaji wa video endapo kutahitajika kwa uchunguzi wa uhalifu.
- Gharama ya NVR/Server: Tsh 50,000,000 (kwa uwezo wa kuhifadhi video kwa muda mrefu, na salama).

(C) Gharama za Monita na Vifaa vya Kuonyesha Video
Kwa ufanisi, itahitaji monita (screens) kwa ajili ya kuangalia video za kamera, ambapo vituo vya kudhibiti usalama vitahitaji kuunganishwa na monita za ubora wa juu.
- Gharama za Monita: Tsh 10,000,000.

(D) Huduma za Matengenezo ya Baada ya Usakinishaji
Baada ya kuanzishwa kwa kamera, itahitajika huduma ya matengenezo na usimamizi wa vifaa, ili kuhakikisha kwamba vifaa vinaendelea kufanya kazi ipasavyo na kuwa na matengenezo ya mara kwa mara.
- Gharama za Huduma ya Matengenezo (kwa mwaka): Tsh 20,000,000.

4. UWEZEKANO WA GHARAMA YA TSH MILIONI 514

Gharama za Vifaa (Kamera)

Tuchukulie tunatumia Hikvision DarkfighterX Series kwa bei ya wastani ya Tsh 10,000,000 kwa kamera.
- Jumla ya Kamera 40: 40 × Tsh 10,000,000 = Tsh 400,000,000

Gharama za Usakinishaji na Vifaa Vya Ziada
  • Usakinishaji & Wiring: Tsh 70,000,000
  • NVR/Server: Tsh 50,000,000
  • Monita: Tsh 10,000,000
  • Huduma ya Matengenezo: Tsh 20,000,000
Jumla ya Gharama:
Tsh 400,000,000 (kamera) + Tsh 70,000,000 (usakinishaji) + Tsh 50,000,000 (NVR/Server) + Tsh 10,000,000 (monita) + Tsh 20,000,000 (huduma) = Tsh 550,000,000.

5. MAJUMUISHO
Kwa kutumia kamera za kiwango cha juu kama Hikvision DarkfighterX Series, gharama halisi ya mradi huu ni karibu Tsh 550,000,000, ambayo ni zaidi ya Tsh milioni 514 zinazozungumziwa.

Hivyo, kazi yetu kwenye hili ni kujua ni aina gani ya kamera na vifaa vingine vitakavyotumika kwa shughuli hii ili kuona gharama iliyotajwa itaendana na bei husika.

Ova
Mkuu kwa mchanganuo na ufafanuzi wa aina hii unaondoa mashaka na sintofahamu kwa wananchi. Hongera sana Mkuu, umeeleweka!!
 
nadhani ilifaa kua 1 billion kabisa,
kwasababu usalama wa Taifa na wananchi wake ni muhimu sana na gharama yake haipimwi kwa fedha

ni muhimu ikafahamika kwamba kwa nguvu na gharama yoyote ile usalama wa waTanzania utazingatiwa na serikali sikivu ya CCM gentleman bila mbambamba yoyote:NoGodNo:
WIZI MZURI NI USEME TUTAFUNGA KAMERA KARIAKOO YOTE KWA THAMANI YA SHS BILIONI MOJA, USITAJE IDADI YA KAMERA, HUU TUNAUITA UIZI MZURI, LAKINI UNAPOTAJA NA IDADI YA KAMERA HAPO NDIPO UNAKOSEA
 
Tuombe iwe hivyo maana
Ya mbele yanaweza kutufurahisha

Ova

Itakuwa vizuri maana kufunga camera bila surveillance/Monitoring zinakuwa hazina maana ,waweke zile ambazo zinachukua hadi Audio/Voice ila kwa K/kooo kufunga camera 40 naona kama chache sana.
 
Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara
Tatizo la hii mifumo ni maintenance... ukarabati!!! Security camera zipo Msamvu pale....nenda kaulize...halafu kakague mifumo na miundombinu ya Stendi Ile ! Kama ni mzalendo wa nchi chozi litadondoka lakini kama ni mamluki utawasifia wahusika!!!
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Kiongozi nadhani ingekuwa vyema ungetuambia model ya hizo camera. Baada ya hapo ndo tungepata pa kuanzia maana system za CCTV zipo kuanzia elfu 50- 30ml.
Screenshot_20250219-062238~2.png
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Kamera moja ni zaidi ya sh. 12,000,000/-
 
Hizi camera zikinunuliwa kwa wingi bei pia inashuka..ila naona ni mwendo wa kuzidisha sifuri,.
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
kariako Kuna uhalifu Gani wa kufunga kamera 40,majitu majizi
 
Z
Ni jambo la uzuri kuweka hapa mchanganuo wote na proposal ilopelekea huyo mzabuni kushinda zabuni.

Pia hata tukifahamu gharama ya kamera moja.

Nani atasimamia hizo CCTV masaa 24?

Ujuzi wao kusimamia CCTV na kadhalika.
Zile za Dodoma kwa Tundu Lissu zilisaidia nini kuwabaini wahalifu ???!!!
 
Kwani mkuu uhalisia camera 40 inatakiwa zifungwe kwa sh. Ngapi?, utaalamu wako
 
This is insane!
It is a bold broad daylight robbery.
Theft of this nature thrives only in a country with a corrupt leadership . Actually, it paints a big picture on the wall: if just the lower ranking government officials could shamelessly manage to pull something like that, then how about the deeds of the top ranking officials?
The average cost to install a CCTV system ranges from $500 to $1,600 for a 4-camera setup, with individual camera installation costs typically between $125 and $450 per camera, including labor, depending on the system features and complexity of installation.
Are these water resistance
cameras

What about the cost of CCTV monitoring room and gadgets
 
Back
Top Bottom