Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

"Eti kwani tukisema milioni 540 nani ataanza kuhoji ,aahaa ok tuseme iyo iyo na sisi tupate ya kifuta jasho au mnasemaje Wana bodi " Ndioooo
 
What rank is Hikvision in the world?


1 in A&S Security 50 for Second Consecutive Year. In its recently released "Security 50 Ranking and Reports" a&s magazine announced that Hikvision took the No.
Hizo pesa ni ndogo sana. Kwa Camera arobaini?

Hivi mnataka waweke camera za aina gani hapo Kariakoo? CutePanda? Ring doorbell camera?
=============

Hivi bakresa ametumia kiasi gani cha pesa kufunga cctv camera azam tv? Acheni utani.
 
Sasa wakisema wafunge kama London au Beijing si ndo itakuwa bajeti ya mwaka mzima
 
wakuu huwa mnasahau hizo tender za serikali huwa zina VAT, kuna labour charge, transport cost, overheads, kucheleweshewa malipo etc, kwa hio msiangalie bei ya kifaa tu, plus na hayo makorokoro.
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Hizo sio kamera kama unazotembea nazo shingoni kwenye ubatizo na kipaimara kupiga picha watoto
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Lazima waweke kamera za kufanya kazi muda wote hata mvua zikinyesha
 
wakuu huwa mnasahau hizo tender za serikali huwa zina VAT, kuna labour charge, transport cost, overheads, kucheleweshewa malipo etc, kwa hio msiangalie bei ya kifaa tu, plus na hayo makorokoro.
Local purchase order inageuka kuwa Late payment order
 
kila kamera moja pamoja na post yake milioni 10 chenji inayobaki milioni 100 na ushee ni kwaajili ya cable, kustore data n.k nazani tumeelewana pesa itakavyotumika.
 
nadhani ilifaa kua 1 billion kabisa,
kwasababu usalama wa Taifa na wananchi wake ni muhimu sana na gharama yake haipimwi kwa fedha

ni muhimu ikafahamika kwamba kwa nguvu na gharama yoyote ile usalama wa waTanzania utazingatiwa na serikali sikivu ya CCM gentleman bila mbambamba yoyote:NoGodNo:
Usalama gani wa raia unao ongelea kenge wewe wakati mnateka raia na kuwaua!? CCM mnacho kiweza ni wizi tu , na mnapo iba mnapenda kusafiria nyota ya wananchi
 
Usalama gani wa raia unao ongelea kenge wewe wakati mnateka raia na kuwaua!? CCM mnacho kiweza ni wizi tu , na mnapo iba mnapenda kusafiria nyota ya wananchi
relax basi nyumbu,
mihemko na ghadhabu za nini sasa kwa mfano?

Umendee mke wa wenyewe kisiri, ufumaniwe na kupigwa ngeu halafu uje kutafuta huruma mitandaoni,

ati ng'we ng'we ng'we metekwa!!!!!

taamaa zako zitakurestisha in peace, lione kwanza 🐒
 
pesa haina maana wala thamani yoyote kwenye kulinda uhai na maisha ya watu hususani kwenye maene ya makazi na biashara za wananchi gentleman,

hakuna mbamabamba kwenye hilo.
halafu ni vizuri wananchi kuepuka na undumilakuwile,

mtu akifa mnlalamika,
usalama wa watu na makazi yao ukiimarishwa mnlalamika,

nini sasa mnataka? :NoGodNo:
Kweli kabisa kwa uwezo wa kamera zilizoonyeshwa hapo uharifu na waharifu wataisha kabisa maana zina uwezo wa kushuka na kumkamata mharifu na kumpelekea mali zake mwathirika wa uhalifu bila kuhusisha askari, kwa kamera moja kununuliwa kwa milioni 12.85 ni bei ndogo sana kulinganisha na ufanyaji kazi wake. Hongera sana watanzania kwa kujaliwa kupata viongozi wanao wapigania kwa kujitoa.


Ila wafanyabiashara wakwepa kodi na wauzia kwa maghala mjiandae japo siamini katika mambo yanayoibuliwa kuelekea uchaguzi, kamera zimeshafungwa sana hapo jijini mabarabarani enzi Jakaya sijawahi ona ufanisi wake mpaka nazeeka
 
zikiwa high tech motion detecter.face recognition,,
Kikubwa zifungwe tu 😄
Maana nnavyowajua jamaa
Wanaweza wakwala hela na kamera zisifungwe....

Ova
😂😂😂 na kweli mkuu ingekuwa lu👊 hiyo ingeenda..
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
This is insane!
It is a bold broad daylight robbery.
Theft of this nature thrives only in a country with a corrupt leadership . Actually, it paints a big picture on the wall: if just the lower ranking government officials could shamelessly manage to pull something like that, then how about the deeds of the top ranking officials?
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Ilitakiwa iwe shilingi ngapi mtaalam wa camera za usalama?
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Ili huu mjadala uwe na maana, hebu tufanye uchambuzi mdogo hapa kwa bei na gharama za soko zilizopo kwa sasa. Hii itasaidia kupima kwa uhakika.

Nitafanya uchambuzi wa shughuli hii kwa ununuzi kamera za kiwango cha juu, tukichukua gharamani za vifaa, installation na huduma za ziada baada ya ufungaji.

Hii itatufanya tuweze kuona kama bei ya Tsh milioni 514 ni halali au ni ya juu kuliko inavyostahili.

1. UFUNGA KAMERA ZA CCTV ZA KIWANGO CHA JUU
Kamera 40 zitafungwa katika soko la Kariakoo kwa madhumuni ya kuimarisha usalama.

Kamera hizi zitahakikisha maeneo yote muhimu ya soko yanachunguzwa na kurekodiwa kwa video, hivyo kusaidia kupambana na wizi, ghasia, na uhalifu mwingine.

Kamera zitahakikisha usalama wa wateja na wafanyabiashara katika soko kubwa na lenye shughuli nyingi.

Aina ya Kamera Zitatumika
Kamera ni lazima ziwe za ubora wa picha wa juu, kuhakikisha kuwa picha zinakuwa wazi hata kwenye giza, zina uwezo wa kupiga picha kwa umbali mrefu, na zina teknolojia ya kutambua harakati.

Nitachambua baadhi ya kamera za kiwango cha juu ambazo zinaweza kutumika kwenye mradi huu.

2. AINA ZA KAMERA ZA KIWANGO CHA JUU NA BEI ZAKE

(A) Axis Communications Q-Series

  • Bei: Tsh 10,000,000 - 20,000,000 kwa kila kamera
  • Sifa:
- 4K resolution (Picha za ubora wa juu)
- Infrared night vision
- AI Motion Detection
- Face Recognition Technology
- IP67-rated (Inafaa kutumika kwenye hali mbaya ya hewa)
- Cloud storage kwa usalama wa data
  • Kiasi cha Kamera: 40 kamera
  • Jumla ya Gharama kwa Kamera 40: 40 × Tsh 15,000,000 = Tsh 600,000,000 (Bei ya wastani kwa kila kamera).

(B) Bosch MIC IP Fusion 9000i
  • Bei: Tsh 8,000,000 - 15,000,000 kwa kila kamera
  • Sifa:
- 40x optical zoom
- Thermal imaging (Mwangaza wa joto kwa ulinzi wa hali ya juu)
- Weather-resistant
- Real-time video streaming
  • Kiasi cha Kamera: 40 kamera
  • Jumla ya Gharama kwa Kamera 40: 40 × Tsh 12,000,000 = Tsh 480,000,000.
(C) Hikvision DarkfighterX Series
  • Bei: Tsh 7,000,000 - 12,000,000 kwa kila kamera
  • Sifa:
- Super low-light performance
- True color night vision
- Smart IR technology
- IP67 rating
  • Kiasi cha Kamera: 40 kamera
  • Jumla ya Gharama kwa Kamera 40: 40 × Tsh 10,000,000 = Tsh 400,000,000.
3. GHARAMA ZA USAKINISHAJI, VIFAA VYA ZIADA, NA HUDUMA ZA BAADA YA USAKINISHAJI

(A) Gharama za Usakinishaji na Wiring

Usakinishaji wa kamera za CCTV unahitaji nyaya za umeme, switches, na vifaa vya kuunganishia ili kuhakikisha kila kamera inafanya kazi ipasavyo.

Hii itajumuisha wiring kutoka kwenye NVR (Network Video Recorder) hadi kwa kamera. Hii inaweza kugharimu Tsh 70,000,000 kwa mradi mkubwa kama huu.

(B) Mfumo wa Kuhifadhi Video (NVR / Server)
Kamera 40 za CCTV zitahitaji server au NVR (Network Video Recorder) ili kuhifadhi video inayoendelea kurekodiwa kutoka kwenye kamera. Mfumo huu utakuwa na uwezo wa kuhifadhi video kwa siku kadhaa ili kurahisisha upatikanaji wa video endapo kutahitajika kwa uchunguzi wa uhalifu.
- Gharama ya NVR/Server: Tsh 50,000,000 (kwa uwezo wa kuhifadhi video kwa muda mrefu, na salama).

(C) Gharama za Monita na Vifaa vya Kuonyesha Video
Kwa ufanisi, itahitaji monita (screens) kwa ajili ya kuangalia video za kamera, ambapo vituo vya kudhibiti usalama vitahitaji kuunganishwa na monita za ubora wa juu.
- Gharama za Monita: Tsh 10,000,000.

(D) Huduma za Matengenezo ya Baada ya Usakinishaji
Baada ya kuanzishwa kwa kamera, itahitajika huduma ya matengenezo na usimamizi wa vifaa, ili kuhakikisha kwamba vifaa vinaendelea kufanya kazi ipasavyo na kuwa na matengenezo ya mara kwa mara.
- Gharama za Huduma ya Matengenezo (kwa mwaka): Tsh 20,000,000.

4. UWEZEKANO WA GHARAMA YA TSH MILIONI 514

Gharama za Vifaa (Kamera)

Tuchukulie tunatumia Hikvision DarkfighterX Series kwa bei ya wastani ya Tsh 10,000,000 kwa kamera.
- Jumla ya Kamera 40: 40 × Tsh 10,000,000 = Tsh 400,000,000

Gharama za Usakinishaji na Vifaa Vya Ziada
  • Usakinishaji & Wiring: Tsh 70,000,000
  • NVR/Server: Tsh 50,000,000
  • Monita: Tsh 10,000,000
  • Huduma ya Matengenezo: Tsh 20,000,000
Jumla ya Gharama:
Tsh 400,000,000 (kamera) + Tsh 70,000,000 (usakinishaji) + Tsh 50,000,000 (NVR/Server) + Tsh 10,000,000 (monita) + Tsh 20,000,000 (huduma) = Tsh 550,000,000.

5. MAJUMUISHO
Kwa kutumia kamera za kiwango cha juu kama Hikvision DarkfighterX Series, gharama halisi ya mradi huu ni karibu Tsh 550,000,000, ambayo ni zaidi ya Tsh milioni 514 zinazozungumziwa.

Hivyo, kazi yetu kwenye hili ni kujua ni aina gani ya kamera na vifaa vingine vitakavyotumika kwa shughuli hii ili kuona gharama iliyotajwa itaendana na bei husika.

Ova
 
The average cost to install a CCTV system ranges from $500 to $1,600 for a 4-camera setup, with individual camera installation costs typically between $125 and $450 per camera, including labor, depending on the system features and complexity of installation.
 
Back
Top Bottom