Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

No gentleman,
Fanya utafiti kidogo tu kwenye makanisa hususan kanisa katoliki jimbo kuu la Dar Es Salamu,
hakuna parokia kubwa kubwa kwa mfano segerea au pale tabata limefungwa vifaa vya ulinzi vya chini ya 1bilion?

ni kwasababu waamini wao wanathamini zaidi zawadi ya uhai na maisha waliopewa na Mungu kuliko fedha, hata wanajichangisha ili kuhakikisha ulinzi na usalama wao kimwili bila mbamba ya waamini wasio thamini jambo hilo. :pedroP:


Camera 40 Kwa milion 500+? Kweli?
Inabidi watupe specs tujue
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Hapo tumepigwa
 
Hivi set Moja ya camera ni shilingi ngapi?Inaonekana kama tumepigwa
 
Kwanza ikiwa Taasisi ya Serikali ndo watu hawawezi kuweka cha juu ili kuiba? Hujui mwaka wa uchaguzi huu? Watu wanaiba kwa ajili ya kuchangia uchaguzi na wengine wanaiba wanadhani baada ya uchaguzi watakuja viongozi wengine hivyo wachukue chao mapema!
CCM wana vyanzo vingi sana vya pesa hizo milioni 514 ni ndogo kwa mfumo wenye ujanja wa kila aina wa kuiba.
 
Kamera 40 kwa milioni 514?

Hiyo kazi inaweza fanywa kwa milioni 60 tu. Hapo inamaanisha zaidi ya Milioni 400 za walipakodi zinaibwa.
Kwanini inaweza kufanywa kwa M60 na si M500?
 
Ukibanwa kende lazima ukimbilie matusi.

Weka hapa breakdown inayoonesha wizi wewe nyumbu
Breakdown gani unayotaka wakati umeshaambiwa gharama ya Camera hata ziwe na twknolojia gani haiwezi kufika hata Mil 50.

Ni mimi napaswa kuleta breakdown au hao wanaosema Mil 514 ndo wanapaswa kuleta breakdown ku justify gharama zao?

Sasa nikisema huna akili nakosea wapi?

Angalia bei za traffic CCTV camera hizo hapo from Alibaba👇

Screenshot_20250218_194832_Chrome.jpg
 
Kwanini inaweza kufanywa kwa M60 na si M500?
Kwa sababu kwa mujibu wa Page maarufu ya Alibaba gharama za Traffic CCTV camera 1 tu haifiki hata laki 7

Sasa ukiweka gharama kila kitu na ufundi kwa Camera 40 hardly hata Mil 50 ni nyingi sana.
Screenshot_20250218_194832_Chrome.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Camera 40 au 400..?
Yaani camera 40 ndio waweke na press na makamera juu..!..mmh.
 
Dunia sasaivi ni kijiji
Tuambie hapa ni Camera zipi zenye telnolojia ipi? Tunaweza hata ku Google hapa na kupata gharama yake.
Upo sahihi, dunia ni kijiji, ila walakini upo kwako.

Ww ndie uliekurupuka na kutuambia 'Kuna Wizi'

Ww ndio ulete ushahidi huo wa kuibiwa.

Ww hizo camera zako za CCTV arobaini zisizofika millioni TShs 500 ni zipi?
 
Kwa sababu kwa mujibu wa Page maarufu ya Alibaba gharama za Traffic CCTV camera 1 tu haifiki hata laki 7

Sasa ukiweka gharama kila kitu na ufundi kwa Camera 40 hardly hata Mil 50 ni nyingi sana.
View attachment 3240996
Mkuu, upo sahihi, harufu ni kali sana ya upigaji, ila sasa hizi bado ni siasa maana serikali haifanyi manunuzi Alibaba, ina taratibu na yule anayeshinda ndo anapewa tenda.

Embu fanya kama vile unaomba Tenda, tutumie quotation mpaka mradi unakamilika ungetumia kiasi gani na kwanini.

Lord denning camera Ltd. (Ldc)
 
Back
Top Bottom