Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

nadhani ilifaa kua 1 billion kabisa,
kwasababu usalama wa Taifa na wananchi wake ni muhimu sana na gharama yake haipimwi kwa fedha

ni muhimu ikafahamika kwamba kwa nguvu na gharama yoyote ile usalama wa waTanzania utazingatiwa na serikali sikivu ya CCM gentleman bila mbambamba yoyote:NoGodNo:
Duuh aiseee
 
Because of their glut and selfishness they over feed on the loot of our taxes and after being constipated they vomit on our shoes. They must go!
 
Gharama ya Internet ni ya kila siku haiwezu kuwepo kwenye gharama za kufunga na hata iweje haiwezi kufanya gharama iwe Milioni 514.

Gharama ya maintenance haiwezi kamwe kuwepo kwenye gharama za kufunga.

Unaonekana wewe ni kilaza sana na nadhani wanaokulip ukitetee chama chako humu wanakulipa posho za bure tu.
Kilaza ni mke wako anaejilaza na kukutagashia watoto. Unasikia ww mzee.

Nakwambia uWeke hizo gharama, hutaki, hujui, unakuja na porojo na kejeli. Sijui umetoa wapi hasira, CHADEMA wamekutosa nn?
 
Shida hamjajua aina gani za camera zitafugwa.watu mnazani hizi dau au hikvision kuna camera za barabrani zinatumia fiber optic connectivity na ni intellegent camera zipo expensive sana
 
Kuna watu humu ndani naona wanatetea huu wizi watanzania inshort tumesoma mkiiba tunajua.
Mnadhani sisi Gen Z mtatudanganya nini.
Mengi yamesema kuwa watu wanaiba For example msalato mtu kaongeza kibunda chake alafu kuna mtu anatokea kusema upuuzi na kutetea wizi.

Tuliosoma Computer science tunaelewa hivyo vitu vinaendaje kula siku tunafanya hivyo vitu.
 
Nimegundua sisi wazalendo na wafia nchi sio kila post lazima uchangie... utaishia kutukana watu usiowajua tu...

All The Best!!
 
Mitaa mingi ya uhindi,kisutu, Libya Street nk wDosi wamefunga wenyewe

Ova
Ni kweli cctv ni muhimu sana kwa ajili ya usalama
Ila hizi 40 kwa hela zote hizo ni kweli?
Au ni Ai zinatabiri yajayo mkuu
 
Tunaposema ni lazima Serikali ya CCM iondolewe madarakani kwa njia zozote zile zinazowezekana tunamaanisha.

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo CCM iondolewe na wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana
View attachment 3240879View attachment 3240880
Mkuu salam kwako.
Mkandarasi : TEMESA (Taasisi ya Serikali)
Scope ya Kazi
Kusimika mfumo au Mifumo ya Kamera za ulinzi +Kununua Kamera +kufunga Kamera za Ulinzi etc
My take
Ijapo TEMESA ni taasisi ya Serikali lakini hawafanyi hiyo kazi bure.Ingekuwa busara kuomba ufafanuzi wa matumizi ya kiasi cha pesa kilichotajwa kuliko kutoa lawama.
Ahsante
 
Inasikitisha mno.

Mtumishi wa uma unapokesha mitandaoni kuisema serikali.
 
Inasikitisha mno.

Mtumishi wa uma unapokesha mitandaoni kuisema serikali.
UMMA ni Serikali au Wenye Nchi (Wananchi) ? And if that the case kusema upuuzi wowote kama una athari ya Kodi ya Mwananchi huoni hapo mtumishi huyu atakuwa anafanya his / her civic duty ?
 
Unavosema wanapiga Hela je Umeona huo mkataba, Unajua specification za izo Camera.
Acheni Ujuaji Vijana mbona kuna simu ya elfu 10 na ipo ya Milioni 6 na hamshangai.
 
Mambo ya kiserikali procurements sjui nini si unajua tena 😄
Kikubwa wazifunge huko

Ova
Labda hilo ni fungu la pamoja kuanzia camera ukarabati, wasimamizi, wa kuzima kwenye dharura
Yaani yote hayo ndio inakuja hiyo hela
 
Tunaposema ni lazima Serikali ya CCM iondolewe madarakani kwa njia zozote zile zinazowezekana tunamaanisha.

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo CCM iondolewe na wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana
View attachment 3240879View attachment 3240880
Mpuuzi wewe, unajua hizo kamera ni za viwango gani?. Milioni 514 unaona ni pesa nyingi sana?. Punguza malalamiko ya kitoto.
 
Back
Top Bottom