Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Mpuuzi wewe, unajua hizo kamera ni za viwango gani?. Milioni 514 unaona ni pesa nyingi sana?. Punguza malalamiko ya kitoto.
Onesha upuuzi wangu kwa kusema ni Camera za namna gani na zina gharama gani?

Acha uzwazwa kutetea wizi wenu.
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Hizo camera zina mbunye hadi ziwe ghali kiasi hicho. Nimeangalia Alibaba camera arubaini hazifiki hata dollars 500. Million 1.5 madaf. Tumepigwa mchana kweupe.
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Tunapigwa mchana kweupe.
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Sawa wewe ulitaka iwe bei gani Ili ihesabiwe hamjapigwa?
 
Mkuu salam kwako.
Mkandarasi : TEMESA (Taasisi ya Serikali)
Scope ya Kazi
Kusimika mfumo au Mifumo ya Kamera za ulinzi +Kununua Kamera +kufunga Kamera za Ulinzi etc
My take
Ijapo TEMESA ni taasisi ya Serikali lakini hawafanyi hiyo kazi bure.Ingekuwa busara kuomba ufafanuzi wa matumizi ya kiasi cha pesa kilichotajwa kuliko kutoa lawama.
Ahsante
Kwanza ikiwa Taasisi ya Serikali ndo watu hawawezi kuweka cha juu ili kuiba? Hujui mwaka wa uchaguzi huu? Watu wanaiba kwa ajili ya kuchangia uchaguzi na wengine wanaiba wanadhani baada ya uchaguzi watakuja viongozi wengine hivyo wachukue chao mapema!
 
Na bado wapo wanaoimba ccm hoyee.mitano tena. Ni mapunguani kabisa.
Gharama za kufunga na kusimamia ni vitu viwili tofauti!

Huwezi kufunga Camera 40 tu kwa milioni 514. Huo ni wizi na dharau kubwa kwa walipa kodi wa Taifa hili.
 
Mapovu ya nn ww mzee? Unalea wajukuu nn?

Kama ni hivyo waahadithie huu upumbavu ulioandika.

Ww umefanya ulinganishi wapi? Tena unaonekana hujui unachokizungumzia, unauliza "tangu lini gharama ya camera 40 ikawa milioni 500..."

Kama hata hujui ni camera zipi, teknolojia-tena ambazo hufahamu thamani yake, unawezaje kusema huo ni Wizi? Unataka ufanyike uasi kwanini?
Dunia sasaivi ni kijiji
Tuambie hapa ni Camera zipi zenye telnolojia ipi? Tunaweza hata ku Google hapa na kupata gharama yake.
 
nadhani ilifaa kua 1 billion kabisa,
kwasababu usalama wa Taifa na wananchi wake ni muhimu sana na gharama yake haipimwi kwa fedha

ni muhimu ikafahamika kwamba kwa nguvu na gharama yoyote ile usalama wa waTanzania utazingatiwa na serikali sikivu ya CCM gentleman bila mbambamba yoyote:NoGodNo:
Sasa hiyo hera si mngewapa vibaka wa kaliako kama mtaji ili waacha kuwaibia wanainchi kuliko nyie tena kuwa vibaka wa wanainchi
 
Haijalishi wataiba ama vip Ila mm nauliza Kwan kuwe na awamu katika kukamilisha Hilo swala Kwan wasimalize kabisa
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972

Jamani jamani jamani yaani kamera moja kwa millioni 12.85!!!!
Nooohhh Noooohhhh Pls Lisu na hata CAG jamani njooni huku. This is too much.
 
Wewe unataka iwe bei gani? Kwa nini usijitokeze Hadharani Kwa Serikali uombe hiyo tenda Kwa mil.50?
Nitapataje hiyo tenda wakati tayari waahapewq hao!

Umeambiwa na watu wameangalia mpaka Alibaba gharama ya camera zote haiwezi kufikia hata Mil 50.
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa

24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana

View attachment 3240972
Huyu Jamaa sindo Asubuhi kaja na Mwijaku ??. Anamsifia mama na mbwembwe za Mwijaku.


Baadae anakuja na Mpango wa kupiga Hela ,hapo anajua Mama hatofocus kwakua Kijana kaanza Kwa kumsifia.
 
pesa haina maana wala thamani yoyote kwenye kulinda uhai na maisha ya watu hususani kwenye maene ya makazi na biashara za wananchi gentleman,

hakuna mbamabamba kwenye hilo.
halafu ni vizuri wananchi kuepuka na undumilakuwile,

mtu akifa mnlalamika,
usalama wa watu na makazi yao ukiimarishwa mnlalamika,

nini sasa mnataka? :NoGodNo:

Siyo kwa wizi huu wa kamera moja kwa sh 12,850,000Tshs
Big NOOOOHHHH mkuu
 
Back
Top Bottom