Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
Acheni ujinga! Hivi mnafikiri mnaongea na vilaza humu?Hizo pesa ni ndogo sana. Kwa Camera arobaini?
Hivi mnataka waweke camera za aina gani hapo Kariakoo? CutePanda? Ring doorbell camera?
=============
Hivi bakresa ametumia kiasi gani cha pesa kufunga cctv camera azam tv? Acheni utani.
Tangu lini gharama ya Camera 40 ikawa milioni 514? Ni Camera zipi hizo zenye twknolojia ipi hiyo ambayo hatuifahamu yenye thamani hiyo?
Hili ni jukwaa la great thinkers. Msifikiri huku ni huko Facebook au Insta walipojaa wajinga
