Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Camera 40 kwa kkoo ni kitu gani?
Halafu hii kampeni ya biashara 24hrs kkoo ni mradi usiowezekana.
Ili biashara iweze kufanyika 24hrs haitegemei tu kkoo bali atmosphere ya jiji zima na Nchi kwa ujumla.Usalama wa hao wateja huko wanakotoka na kurudi huo usiku ukoje?usafiri wakati wa usiku ukoje?
Yani kuna mtu atatoka zake huko Magwepande au Chanika aende zake kkoo kununua ka TV kake inch 32 saa nne usiku arudi kwake saa nane?Au mfanyibiashara atoke njombe aingie zake Kkoo saa tatu usiku na visenti vyake?
Ni mwenye duka gani atafungua duka lake usiku kkoo ambayo umeme mchana tu ni kizungumkuti sembuse usiku.
Nafikiri tunakimbilia kusimama wakati kutambaa bado.Chalamila apambane na kuweka mji safi kwanza maana unanuka hiyo ndio level yetu
 
Kamera 40 kwa milioni 514?

Hiyo kazi inaweza fanywa kwa milioni 60 tu. Hapo inamaanisha zaidi ya Milioni 400 za walipakodi zinaibwa.
Ngoja tulambe asali sisi
Tafuta mzinga wako uwe unalamba asali mzee hizi kelele usingeleta hapa
Otherwise mwambie Elon musk alete DOGE tz
Kaa kwa kutulia
 
Wanao lalamika kuhusu bei je wanajua kwamba ulinzi wa siri kwa kutumia CCTV unaweza kufanyika hata kama kuna Giza Totoro?
Yes,
kuna tatizo la uelewa na ufahamu juu ya mambo haya ya kiusalama na ndio maana mjadala unaweza kua mrefu zaid, na kujikuta mara tunaenda mbele mara nyuma n.k,

hata hivyo,
taratibu taratibu jamii itaelewa tu umuhimu wa usalama na namna ambavyo technologia inavyofanya kazi usiku na mchana 🐒
 
Yani hata camera moja ikiuzwa million maana yake camera 40 itakuwa ni million 40. DVR na Server ya kuhifadhi matukio hata wakinunua million 50 still watakuwa hata million 100 hawajafika🤣🤣🤣! Weka na infrastructure za million 100 kwa maana yale mamilingoti na cables.

Kama watatumia majengo marefu kama watu wa minara it fairs even cheaper. Hardly 200 million does the Job hio 300+ inayobaki watu wanaimeza zao safi tu.
wanafanisha camera za majumba na hizi zinazofungwa kwenye miji kuna mmoja anasema camera moja china inauzwa laki 8 daah 😁😁😁
 
Kulinda umoja na amani kwa kuliibia Taifa? Kweli mpo vizuri. Kamera 40 tu kwa Milioni 514?

Kweli CCM mpo vizuri kuliibia Taifa.
Duuh, TZS 514M yote kwa Kamera 40 tu? Na ukihoji zaidi ma-ccm yanahisi huna akili!
 
Tupige hesabu kidogo.

Tuseme kamera zanunuliwa China kwa gharama ya 1 Kamera ni dola 1500 kwa bei ya chini.

Hivyo Kamera 40 X 1500 ni dola 60,000 sawa na shilingi milioni 155 na ushei.

Ukitaka quality zaidi yaani HDMI na iwe Dome na sio Static tuseme ni dola 2500

2500 X 40 = 100,000 sawa na Tshs 260 milioni.

Hivyo milioni 514 ni upigaji, kwani :

514-155 = 359 milioni.

au 514- 260= 254 ukiondoa gharama za vifaa inobaki ni lazima ipigwe.

Ukitoa gharama za usafirishaji, nyaya, vifaa vingine havizidi milioni 2

Inobaki ni lazima igawiwe.
Mkuu hiyo pesa ndogo tuu watapiga hapo wanapata maji yao ya kunywa
Hiyo ni motisha yao
Acha wivu
Ngoja tulambe asali sisi
 
Yani hata camera moja ikiuzwa million maana yake camera 40 itakuwa ni million 40. DVR na Server ya kuhifadhi matukio hata wakinunua million 50 still watakuwa hata million 100 hawajafika🤣🤣🤣! Weka na infrastructure za million 100 kwa maana yale mamilingoti na cables.

Kama watatumia majengo marefu kama watu wa minara it fairs even cheaper. Hardly 200 million does the Job hio 300+ inayobaki watu wanaimeza zao safi tu.
Acha wivu
Hiyo ni pesa ya maji ya kunywa
 
zipo za hadi 30m gentleman,
yapo makanisa hapo dar yamejengwa kwa 2b, na yamefungwa kamera za usalama za kisasa zenye thamani ya 800m.

usalama wa maisha na uhai wa mwanadamu haulinganishwi na thamani ya kiwango chochote cha fedha gentleman 🐒
Upo kwenye upigaji mkuu, hivi kwanini unatufanya watoto?
 
Upo kwenye upigaji mkuu, hivi kwanini unatufanya watoto?
utoto ni kujitakia tu gentleman,
huna haja ya kubabaika na kushupaza shingo kupinga ukweli gentleman,

ulinzi na usalama wa watu, makazi na biashara zao ni muhimu zaid. Na uhai wa mwanadamu haulinganishwi na kiasi chachote cha fedha.

hivi ninyi wangwana,
Mnafahamu kweli mnachotaka?

Maana akifa mtu mnalalamika, ooh kuna uzembe wa kiusalama umefanyika, ulinzi na usalama ukiimarishwa hao tena vimbelembele mnalalamika,

Mnajielewa kweli ama ni kwa vile mnajua kusoma na kuandika na hako kabando ka jero,

basi ndio kushupaza shingo tu ng'we ng'we ng'we ng'we 🐒
 
Yes,
kuna tatizo la uelewa na ufahamu juu ya mambo haya ya kiusalama na ndio maana mjadala unaweza kua mrefu zaid, na kujikuta mara tunaenda mbele mara nyuma n.k,

hata hivyo,
taratibu taratibu jamii itaelewa tu umuhimu wa usalama na namna ambavyo technologia inavyofanya kazi usiku na mchana 🐒
Wanasahau kwamba lazima kuwe na betri saidizi, (backup batteries),ambao ni mfumo wa jua
 
Wala wasijusumbue, Wabongo sio watu wa kuuza maduka au kununua bidhaa usiku wa manane.
 
utoto ni kujitakia tu gentleman,
huna haja ya kubabaika na kushupaza shingo kupinga ukweli gentleman,

ulinzi na usalama wa watu, makazi na biashara zao ni muhimu zaid. Na uhai wa mwanadamu haulinganishwi na kiasi chachote cha fedha.

hivi ninyi wangwana,
Mnafahamu kweli mnachotaka?

Maana akifa mtu mnalalamika, ooh kuna uzembe wa kiusalama umefanyika, ulinzi na usalama ukiimarishwa hao tena vimbelembele mnalalamika,

Mnajielewa kweli ama ni kwa vile mnajua kusoma na kuandika na hako kabando ka jero,

basi ndio kushupaza shingo tu ng'we ng'we ng'we ng'we 🐒
wen
 
utoto ni kujitakia tu gentleman,
huna haja ya kubabaika na kushupaza shingo kupinga ukweli gentleman,

ulinzi na usalama wa watu, makazi na biashara zao ni muhimu zaid. Na uhai wa mwanadamu haulinganishwi na kiasi chachote cha fedha.

hivi ninyi wangwana,
Mnafahamu kweli mnachotaka?

Maana akifa mtu mnalalamika, ooh kuna uzembe wa kiusalama umefanyika, ulinzi na usalama ukiimarishwa hao tena vimbelembele mnalalamika,

Mnajielewa kweli ama ni kwa vile mnajua kusoma na kuandika na hako kabando ka jero,

basi ndio kushupaza shingo tu ng'we ng'we ng'we ng'we 🐒
wenzio wanajuwa camera zinazozungumziwa ni kama hizi za kwenye flem na nyumba
 
Are these water resistance
cameras

What about the cost of CCTV monitoring room and
Setting up a surveillance system comprising of 4 high definition camers and their supporting components would hardly make one part company with 4000 dollars.
So, if we go by that ratio of 4 camera set up, we will get 10 sets in all 40 cameras about to be installed. ...whiich means the total cost for the entire 40 camera installations would not exceed $40,000.
Now that you have pointed out that we should consider about the cost of monitoring room, I'm eager to learn how much it will actually cost....,but it will be beyond my comprehension if they would say almost ¾ of the funds allocated has been spent for just that purpose.
 
Back
Top Bottom