Huyo uliyemuita msamaria mwema ungemuita shetani mwema Kiruu!!Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πββοΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πββοΈπββοΈπββοΈ
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πββοΈπββοΈπββοΈ
Hatuishi na malaika tegemea chochote kufumania,kuletewa mtoto wa nje,kuachwa ukijiandaa huwezi enda jela kisa mapenzi.Nakuambia mimi hata ukimkuta mke wangu hapo analiwa ukija kuniambia ntakutoa nduki na kipigo juu, unless kama una mke umeniandalia ambae ni malaika. Au unataka nikuoe wewe
Hilo ni tatizo mkuu,Kutoka nje ni tabia
Upanga Kwa upanga,naye mke afunge mwaka na x wake.Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πββοΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πββοΈπββοΈπββοΈ
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πββοΈπββοΈπββοΈ
Yesu arudi tuAkimuacha wenzake wanamdaka.
Ulimwengu huu mchafu sana sometimes bora uwe zoba TU maisha yaende
Mungu hapendiUpanga Kwa upanga,naye mke afunge mwaka na x wake.
mbona unakata tamaa mapema sana?!Ulimwengu wa sasa usipate stress Bora kuwa kama mswahili,mswahili haujui wivu wa mapenzi
Ni nature yao hakuna namna πivi kwanini ukimfumania mwanaume unaambiwa ukubwa
hii wazimu wa kumlinda mwanaume mpaka lini?!
tabia inatibika pia isiwe kisingizioKutoka nje ni tabia
siweziHuyo uliyemuita msamaria mwema ungemuita shetani mwema Kiruu!!
Yaani simwambiii..!! Sitaki kuhusika kwenye kifo au vifo vyao..!!ACHA ROHO MBAYA
Alikuwa haelewi kuwa sikukuu ya krismasi ni ya kishetani?Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πββοΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πββοΈπββοΈπββοΈ
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πββοΈπββοΈπββοΈ
Aisee, umerudi tena aunty wa dini yake!Alikuwa haelewi kuwa sikukuu ya krismasi ni ya kishetani?
sawa bossYaani simwambiii..!! Sitaki kuhusika kwenye kifo au vifo vyao..!!
anarudi na nini?Asijali atarudi tu nyumbani
Unazijuwa bidaa..!!??Alikuwa haelewi kuwa sikukuu ya krismasi ni ya kishetani?
kumekuchaUnazijuwa bidaa..!!??