Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Kuna sheria na kanuni. Achana na mambo ya hisia. Ukienda kihisia uko sahihi kuona Simba kafanya kosa ila ukienda kisheria na kikanuni utajua Simba alikuwa sahihiSwa
Swali je simba na yanga ni wageni kwenye uwanja wa Mkapa?