Kamishina wa mchezo na Meneja wa uwanja hawafahamu kanuni? au walishindwa vipi kuwasiliana ili Simba wafanye mazoezi?? Kuna kitu hakipo sawa.

Kamishina wa mchezo na Meneja wa uwanja hawafahamu kanuni? au walishindwa vipi kuwasiliana ili Simba wafanye mazoezi?? Kuna kitu hakipo sawa.

Kawaida mbona hata CAF hizi vitu vipo hasa Uarabuni ila still watu wanacheza mechi hawasusi.Ila huku watu TFF wanaimudu.
Nipe ushahidi wa timu kuzuiwa wakati wa Mechi za CAF na hakuna hatua iliyochukuliwa
 
Nipe ushahidi wa timu kuzuiwa wakati wa Mechi za CAF na hakuna hatua iliyochukuliwa
Hatua zinachukuliwa baada ya mechi kuchezwa na si kususa kucheza mechi. Uarabuni kuna vituko kibao hufanyiwa timu za ugenini, mpaka wengine hunyimwa uwanja wa kufanya mazoezi ila siku ya mechi wanacheza then CAF wanapatiwa repoti yao ya mechi husika ikiwemo na mazingira kabla ya mechi na ndipo maamuzi hufanyika.

Ndio maana round ya kwanza Yanga waliona kawaida kwani mambo haya CAF yapo sana na watu hawasusi.Ndio maana wakaingiza timu uwanjani.
 
Soma press ya bodi ya ligi utaelewa akili za watu wanaoongoza mpira wetu! Meneja wa uwanja hakupewa taarifa ya ujio wa Simba na bodi ya ligi wamekiri hilo mze😀
Ndio maana tunasema kuna kitu hakipo sawa
 
Ukisema professional unaelewa unachokiongea ?.
professional means fuata protocol kwenye kufanya maamuzi au kushughurikia jambo.

Kama nikweli Yanga kamzuia simba kufanya mazoezi basi walikiuka taratibu.

So what professional action simba had to be done if their opponent deviated from rules?
Pengine leo nijue kama kususia mchezo ni professional action km mpinzani akikiuka utaratibu
This is none sense! I don't think if you even understand how professionism spectrum works out. Simba acted in a professional way they fulfilled their responsibilities as required by TPL rules being in the training ground one day before the match.

What else should they have suppose to do if their legitimacy of training was barely breached which would affect them in the upcoming match??

Tuachane na ujanja ujanja tufuate weledi
 
Kilichotokea 8/5/2021
 

Attachments

  • 20250308_144259.jpg
    20250308_144259.jpg
    88.1 KB · Views: 1
Tatizo ni bodi ya Ligi wamejificha kwenye kivuli cha meneja wa uwanja na kamishina wa mchezo
Kwanini bodi ya Ligi hawakuwepo uwanjani kwasababu Simba SC na Yanga SC Ndiyo club zinazo tengengeza taswira ya Ligi ya Tanzania

Viongozi wa bodi ya Ligi Ndiyo tatizo hawatatuwi migogoro na malalamiko kwa Wakati, (at desired time)
 
Hatua zinachukuliwa baada ya mechi kuchezwa na si kususa kucheza mechi. Uarabuni kuna vituko kibao hufanyiwa timu za ugenini, mpaka wengine hunyimwa uwanja wa kufanya mazoezi ila siku ya mechi wanacheza then CAF wanapatiwa repoti yao ya mechi husika ikiwemo na mazingira kabla ya mechi na ndipo maamuzi hufanyika.

Ndio maana round ya kwanza Yanga waliona kawaida kwani mambo haya CAF yapo sana na watu hawasusi.Ndio maana wakaingiza timu uwanjani.
Master!
We endelea kushusha thread tu.
Lengo letu limetimia. Ni wakati wa kuonyesha ukubwa wetu kimaamuzi na sio kuchukulia Simba wanyonge.
 
Master!
We endelea kushusha thread tu.
Lengo letu limetimia. Ni wakati wa kuonyesha ukubwa wetu kimaamuzi na sio kuchukulia Simba wanyonge.
Mkubwa atajulikana tushaingiza timu uwanjani wewe umechagua kugoma ,Yanga kaingiza timu then mkubwa atajulikana baada ya hapo.
 
Mkubwa atajulikana tushaingiza timu uwanjani wewe umechagua kugoma ,Yanga kaingiza timu then mkubwa atajulikana baada ya hapo.
😁😁 Sawa Master! Jitahidini muwe na refarii wenu. Maana yeye ndio mwenye maamuzi ya kumaliza mechi.
 
😁😁 Sawa Master! Jitahidini muwe na refarii wenu. Maana yeye ndio mwenye maamuzi ya kumaliza mechi.
Sawa sisi tunadocument mechi ya leo, then baada ya hapo kama unavyosema mkubwa atajulika.
 
Jibu ni moja, hakuna wachezaji walioenda kufanya mazoezi. Ni vibabu tu. Na mbuzi, kondoo. Je hao ndio walitakiwa kufanya mazoezi au wachezaji? Msituchoshe, mnajua mlivyovipeleka jana. Leo wakavu eti mmezuiwa kufanya mazoezi. Kumbe wachezaji wa madunduka ni mbuzi na kondoo? Hatukujua
 
Jibu ni moja, hakuna wachezaji walioenda kufanya mazoezi. Ni vibabu tu. Na mbuzi, kondoo. Je hao ndio walitakiwa kufanya mazoezi au wachezaji? Msituchoshe, mnajua mlivyovipeleka jana. Leo wakavu eti mmezuiwa kufanya mazoezi. Kumbe wachezaji wa madunduka ni mbuzi na kondoo? Hatukujua
Huko utopoloni mwenye akili ni mmoja tu. Na huu ndio uthibitisho
 
Kuna mambo hayahitaji elimu ya juu kujua kwamba Kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kwenye mpira wetu. Hivi hata kama Meneja wa uwanja hana taarifa kutoka kwa kamishina wa mchezo kwa uzoefu wake wa uendeshaji wa uwanja anajua kabisa ni lazima timu ngeni itakuja kufanya mazoezi.

Kwa busara tu ya kawaida tu alishindwa vipi kumtafuta kamishina wa mchezo huo na kumuuliza mbona bado yeye kama Meneja wa uwanja hapewi au hajapewa taarifa kuhusu ujio wa timu ambayo itakuwa mgeni kuja kufanya mazoezi??

Lakini pia baada ya hiyo sintofahamu kutokea hapo uwanjani kwanini yeye kama Meneja wa uwanja hakumtafuta kamishina wa mchezo au viongozi wa TFF Ili wampe go ahead ya kuiruhusu Simba kufanya mazoezi?? Hapa Kuna kitu hakipo sawa.

Why always Simba ndio anakuwa (victim) mhanga kwenye haya mambo ya figisu figisu kwenye mechi zake??
Anayetakiwa kumueleza mwenzie kuwa siku fulani timu fulani itafanya mazoezi sehemu fulani, ni nani? Asipofanya hivyo, nani anatakiwa kulaumiwa?

Kanuni inasema, mgeni atafanya mazoezi angalau mara moja kabla ya siku ya mechi. Sasa kabla ya siku ya mechi, inaweza ikawa a week before, two days before, one day before, au five days before etc. Mind you, anayepanga mazoezi afanye lini na akafanyie wapi ni club husika, inayotaka kufanya mazoezi hayo. In this regard, 51mba hakwepi lawama za kutosema lini na siku gani alitaka afanye mazoezi taifa.

Wewe mtu hujamwambia kama unakuja kufanya mazoezi, usipomkuta je...!!;
1. Nani atakufungulia mageti?
2. Nani atakuwashia taa za pitch?
3. Nani atakufanyia maandalizi ya kikanuni?

KWA HILI LALEO, 51MBA MMEZINGUA PAKUBWA. Kumbuka kuna gharama za maandalizi za;
1. Mashabiki (nauli, mahoteli, usafiri ndani ya Dar, etc)
2. Wadhamini (to mention few, mtoa tuzo ya mchezaji bora)
3. Watu wa TV na redio kwenye kurusha matangazo
4. Ball boys
5. Timu (in this regard Yanga)

ETC
 
Huko utopoloni mwenye akili ni mmoja tu. Na huu ndio uthibitisho
Utajijua mwenyewe sema unavyotaka kuifurahisha roho yako. Ila jua nina akili kama mchwa. Wasio na akili huona wenzao wote wako kama wao, so pole sana.
 
Najiulizahvi simba angecheza na Mburahati queins na Mburahati queins wangefanya kama wanavyodai kuwa meneja wauwanjakawazingua natimuhaipeleki uwanjani je ingekuwa Mburahati guein wasingepekeja timu uwanjani?
Sio mburahati queen sasa.
 
Back
Top Bottom