Kamishina wa mchezo na Meneja wa uwanja hawafahamu kanuni? au walishindwa vipi kuwasiliana ili Simba wafanye mazoezi?? Kuna kitu hakipo sawa.

Kamishina wa mchezo na Meneja wa uwanja hawafahamu kanuni? au walishindwa vipi kuwasiliana ili Simba wafanye mazoezi?? Kuna kitu hakipo sawa.

Kuna mambo hayahitaji elimu ya juu kujua kwamba Kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kwenye mpira wetu. Hivi hata kama Meneja wa uwanja hana taarifa kutoka kwa kamishina wa mchezo kwa uzoefu wake wa uendeshaji wa uwanja anajua kabisa ni lazima timu ngeni itakuja kufanya mazoezi.

Kwa busara tu ya kawaida tu alishindwa vipi kumtafuta kamishina wa mchezo huo na kumuuliza mbona bado yeye kama Meneja wa uwanja hapewi au hajapewa taarifa kuhusu ujio wa timu ambayo itakuwa mgeni kuja kufanya mazoezi??

Lakini pia baada ya hiyo sintofahamu kutokea hapo uwanjani kwanini yeye kama Meneja wa uwanja hakumtafuta kamishina wa mchezo au viongozi wa TFF Ili wampe go ahead ya kuiruhusu Simba kufanya mazoezi?? Hapa Kuna kitu hakipo sawa.

Why always Simba ndio anakuwa (victim) mhanga kwenye haya mambo ya figisu figisu kwenye mechi zake??
Tukiacha ushabiki wa Simba na yanga.


Hizi Timu ni km kurwa na doto wanajuana vizur sana..

Kwa ufupi washazidiana nje ya uwanja ndomana ziatafutwa sababu na kila Timu inavutia kwake na kuona wapo sahihi.


Simba na yanga kuloga sio jambo jipya.
Hapo mmoja kaloga Kisha kamzuia mwenzake asiloge ilo ndo tatzo..
 
Hiyo culture uchwara umeitoa wapi, derby iliyopita Yanga walikagua uwanja vzr na mazoezi wakafanya
Itakuwa Yanga ya Nanjilinji
JamiiForums-777753140.jpg
 
Tukiacha ushabiki wa Simba na yanga.


Hizi Timu ni km kurwa na doto wanajuana vizur sana..

Kwa ufupi washazidiana nje ya uwanja ndomana ziatafutwa sababu na kila Timu inavutia kwake na kuona wapo sahihi.


Simba na yanga kuloga sio jambo jipya.
Hapo mmoja kaloga Kisha kamzuia mwenzake asiloge ilo ndo tatzo..
Hahaha una hoja
 
Hiyo culture uchwara umeitoa wapi, derby iliyopita Yanga walikagua uwanja vzr na mazoezi wakafanya
Kwan timu ikinyimwa nafasi ya kufanya mazoezi ndo haipeleki timu uwanjani? Ndo kanuni zinasema hivo au? Nauliza tu kujua
 
Tukiacha ushabiki wa Simba na yanga.


Hizi Timu ni km kurwa na doto wanajuana vizur sana..

Kwa ufupi washazidiana nje ya uwanja ndomana ziatafutwa sababu na kila Timu inavutia kwake na kuona wapo sahihi.


Simba na yanga kuloga sio jambo jipya.
Hapo mmoja kaloga Kisha kamzuia mwenzake asiloge ilo ndo tatzo..
Kabisaaa
 
Kuna mambo hayahitaji elimu ya juu kujua kwamba Kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kwenye mpira wetu. Hivi hata kama Meneja wa uwanja hana taarifa kutoka kwa kamishina wa mchezo kwa uzoefu wake wa uendeshaji wa uwanja anajua kabisa ni lazima timu ngeni itakuja kufanya mazoezi.

Kwa busara tu ya kawaida tu alishindwa vipi kumtafuta kamishina wa mchezo huo na kumuuliza mbona bado yeye kama Meneja wa uwanja hapewi au hajapewa taarifa kuhusu ujio wa timu ambayo itakuwa mgeni kuja kufanya mazoezi??

Lakini pia baada ya hiyo sintofahamu kutokea hapo uwanjani kwanini yeye kama Meneja wa uwanja hakumtafuta kamishina wa mchezo au viongozi wa TFF Ili wampe go ahead ya kuiruhusu Simba kufanya mazoezi?? Hapa Kuna kitu hakipo sawa.

Why always Simba ndio anakuwa (victim) mhanga kwenye haya mambo ya figisu figisu kwenye mechi zake??
Najiulizahvi simba angecheza na Mburahati queins na Mburahati queins wangefanya kama wanavyodai kuwa meneja wauwanjakawazingua natimuhaipeleki uwanjani je ingekuwa Mburahati guein wasingepekeja timu uwanjani?
 
Nimeilewa ndiyo kama kweli juzi walifanya mazoezi katika huo uwanja sioni sababu za wao kugomea mechi
Kwani wangeruhusiwa kufanya kesho kungekuwa na shida gani kabla ya mengine
 
TFF,Kamishna na Meneja mnamlaumu kwa ujinga na mazoea mliyo yaweka kwa miaka kibao na sasa yamekuwa sheria. Miaka yote Derby ya Kko Mgeni huingia uwanjani siku ya mechi akitokea kambini, huku uwanja anapewa mwenyeji.

Sasa kwa mwenye akili sababu hii culture wameiweka wao wenyewe kwa miaka mingi, wangetakiwa kwanza wampe taarifa meneja, kwamba tumebadilisha culture yetu,sasa tumeachana na mazoea tunafuata kanuni. Sasa meneja hamja mwambia na meneja kichwani mwake anajua bado mnaendelea na tamaduni zenu zile zile, hamkumpa taarifa na mmekuja mda ambao sio wa kazi ,sasa ulitegemea meneja afanye nini kama si kuwakataa.

Hata timu kutokupata nafasi ya kucheza kabla ya mechi hakuzuii kuendelea na mechi, CAF ukienda nchi za kiarabu ni kawaida ila still mechi inaendela.

Hapa wakulaumiwa ni Watani wenyewe ambao walichagua mazoea ya mechi zao na kuacha kanuni na kwa kuwa wana nguvu TFF waliwaacha na ikawa sheria na ndio maana meneja hakuwa na taarifa.
Kwahiyo Meneja hafati Kanuni, yeye anaishi na 'Culture' tu sio?
 
Huu ni uongo Derby iliyopita Yanga kama mgeni alipata fursa ya kufanya mazoezi na Deberby ya mzizima Azam kama mgeni alipata fursa ya kufanya mazoezi iweje kwa Simba iwe tofauti??
Wangeruhusiwa kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi usingeona Simon Patrick analalamikia kunyimwa hiyo nafasi.

Pili mngekuwa na uwezo wa kuambatanisha link, video au picha ikionesha Yanga wakifanya mazoezi uwanja wa Mkapa siku moja kabla ya mchezo, ila mnabaki kusema tu walipewa fursa leteni uthibitisho mnashindwa.
JamiiForums-777753140.jpg
 
Wangeruhusiwa kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi usingeona Simon Patrick analalamikia kunyimwa hiyo nafasi.

Pili mngekuwa na uwezo wa kuambatanisha link, video au picha ikionesha Yanga wakifanya mazoezi uwanja wa Mkapa siku moja kabla ya mchezo, ila mnabaki kusema tu walipewa fursa leteni uthibitisho mnashindwa. View attachment 3263340
Na Nyie leteni link kuonesha alinyimwa hio fursa
 
Kuna mambo hayahitaji elimu ya juu kujua kwamba Kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kwenye mpira wetu. Hivi hata kama Meneja wa uwanja hana taarifa kutoka kwa kamishina wa mchezo kwa uzoefu wake wa uendeshaji wa uwanja anajua kabisa ni lazima timu ngeni itakuja kufanya mazoezi.

Kwa busara tu ya kawaida tu alishindwa vipi kumtafuta kamishina wa mchezo huo na kumuuliza mbona bado yeye kama Meneja wa uwanja hapewi au hajapewa taarifa kuhusu ujio wa timu ambayo itakuwa mgeni kuja kufanya mazoezi??

Lakini pia baada ya hiyo sintofahamu kutokea hapo uwanjani kwanini yeye kama Meneja wa uwanja hakumtafuta kamishina wa mchezo au viongozi wa TFF Ili wampe go ahead ya kuiruhusu Simba kufanya mazoezi?? Hapa Kuna kitu hakipo sawa.

Why always Simba ndio anakuwa (victim) mhanga kwenye haya mambo ya figisu figisu kwenye mechi zake??
Mkuu hivi tukiweka ushabiki pembeni, simba ana ugeni gan hapo kwa mkapa?

Ni mgeni wa uwanja au mgeni wa mchezo? Kiuhalisia

Je ni sawa kutopeleka timu uwanjani kisa kunyimwa nafasi ya kufanya mazoezi? Ndo kanuni zinasema hivi
 
Kwani wangeruhusiwa kufanya kesho kungekuwa na shida gani kabla ya mengine
Kosa la kwenu wenyewe Simba je baada ya kufanya mazoezi siku ya Alhamisi, mlitoa taarifa kwa meneja wa uwanja kuwa mtautaka tena uwanja kumalizia mambo yenu? Hamkutoa taarifa na ndio maana meneja wa uwanja kasema hana maelekezo kama kuna watu watakuja kuutumia uwanja muda huo kwavile wahusika walijua mmeshamaliza jambo lenu la kikanuni siku ya Alhamisi baada ya kufanya mazoezi katika uwanja huo wa Mkapa.
 
Na Nyie leteni link kuonesha alinyimwa hio fursa
Simba na Yanga siku zote zinaenda uwanjani siku ya mechi tu wala hakujawahi kuwa na habari za kufanya mazoezi katika uwanja huo. Yanga mazoezi ya mwisho atafanyia huko huko kwake na Simba huko huko kwake pale watakutana siku ya mechi. Simba katafuta choko choko ya kukimbia mechi kaipata. Unapewa uwanja siku ya Alhamisi tofauti na utamaduni wa derby lakini ukapewa halafu ghafla bila taarifa unaibuka na Ijumaa tena.
 
Kuna mambo hayahitaji elimu ya juu kujua kwamba Kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kwenye mpira wetu. Hivi hata kama Meneja wa uwanja hana taarifa kutoka kwa kamishina wa mchezo kwa uzoefu wake wa uendeshaji wa uwanja anajua kabisa ni lazima timu ngeni itakuja kufanya mazoezi.

Kwa busara tu ya kawaida tu alishindwa vipi kumtafuta kamishina wa mchezo huo na kumuuliza mbona bado yeye kama Meneja wa uwanja hapewi au hajapewa taarifa kuhusu ujio wa timu ambayo itakuwa mgeni kuja kufanya mazoezi??

Lakini pia baada ya hiyo sintofahamu kutokea hapo uwanjani kwanini yeye kama Meneja wa uwanja hakumtafuta kamishina wa mchezo au viongozi wa TFF Ili wampe go ahead ya kuiruhusu Simba kufanya mazoezi?? Hapa Kuna kitu hakipo sawa.

Why always Simba ndio anakuwa (victim) mhanga kwenye haya mambo ya figisu figisu kwenye mechi zake??
Sasa si mumshtaki huyo meneja wa uwanja kwa mamlaka husika ili achukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa! Kwa nini msusie mechi? Hivi mnafahamu hasara itakayo patikana?
 
Back
Top Bottom