Kamishina wa mchezo na Meneja wa uwanja hawafahamu kanuni? au walishindwa vipi kuwasiliana ili Simba wafanye mazoezi?? Kuna kitu hakipo sawa.

Kamishina wa mchezo na Meneja wa uwanja hawafahamu kanuni? au walishindwa vipi kuwasiliana ili Simba wafanye mazoezi?? Kuna kitu hakipo sawa.

Mngekuwa mnaread between the line basi Yanga mngempa haki yake ya kufanya mazoezi kabla ya mechi kwani hizo kanuni,hazikutungwa jana?

Halafu mnajitoa nyie si ndiye mliye mnyima au Yanga ........? Au inakuwa ni haki inapo kuminya wewe ila unapo waminya wenzio sio haki?
Nadhani aidha hujanielewa au umeamua kuwa mkaidi kwa makusudi.

Musa aliiba mbuzi wa Masawe lakini hakushitakiwa mwezi mmoja baadae Masawe aliiba mbuzi wa Musa na Musa aliamua kumshitaki Masawe na hatimae alifikishwa mahakamani.

Je,kwa Mtazamo wako Musa alikuwa sahihi au alipendelewa?
 
Ni kweli, hata kama kulitokea changamoto, ilitakiwa ndani saa moja ufumbuzi uwe umepatikana. Kuna shida sana nchi hii katika kufanya maamuzi muhimu
Kuna mawasiliqno so ilikuwa ni suala la dakika 5 tu kusolve hiyo ishu
 
Swa

Swali je simba na yanga ni wageni kwenye uwanja wa Mkapa?
kanuni zinazoendesha ligi kuu tanzania zinazungumziaje ugeni na uenyeji ukielewa hilo litakusaidia kutohangaika kutafuta exceptions ambazo kiuhalisia hazipo.
 
Kwan timu ikinyimwa nafasi ya kufanya mazoezi ndo haipeleki timu uwanjani? Ndo kanuni zinasema hivo au? Nauliza tu kujua
Kwaniini uinyime haki yake. ?

SSC sio tabora jiji….. kuwa na akili, usi reason kama KIAZI MBATATA

hata Yanga ilishawahi kugomea mechi pale ilipoona haki yake imeminywa
 
Nadhani aidha hujanielewa au umeamua kuwa mkaidi kwa makusudi.

Musa aliiba mbuzi wa Masawe lakini hakushitakiwa mwezi mmoja baadae Masawe aliiba mbuzi wa Musa na Musa aliamua kumshitaki Masawe na hatimae alifikishwa mahakamani.

Je,kwa Mtazamo wako Musa alikuwa sahihi au alipendelewa?
Kwenye mpira halijalishi ni kosa gani,hata kama lifanyike miaka kumi ya nyuma likigundulika kuna adhabu yake, kama ndio hivyo hata Juventus wasinge adhibiwa wewe ulikosea na kwa kanuni zilezile ulitakiwa kuadhibiwa.
 
Kuna mambo hayahitaji elimu ya juu kujua kwamba Kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kwenye mpira wetu. Hivi hata kama Meneja wa uwanja hana taarifa kutoka kwa kamishina wa mchezo kwa uzoefu wake wa uendeshaji wa uwanja anajua kabisa ni lazima timu ngeni itakuja kufanya mazoezi.

Kwa busara tu ya kawaida tu alishindwa vipi kumtafuta kamishina wa mchezo huo na kumuuliza mbona bado yeye kama Meneja wa uwanja hapewi au hajapewa taarifa kuhusu ujio wa timu ambayo itakuwa mgeni kuja kufanya mazoezi??

Lakini pia baada ya hiyo sintofahamu kutokea hapo uwanjani kwanini yeye kama Meneja wa uwanja hakumtafuta kamishina wa mchezo au viongozi wa TFF Ili wampe go ahead ya kuiruhusu Simba kufanya mazoezi?? Hapa Kuna kitu hakipo sawa.

Why always Simba ndio anakuwa (victim) mhanga kwenye haya mambo ya figisu figisu kwenye mechi zake??
Watumie viwanja vyao hao wapumbavu wote 2.
 
Kwaniini uinyime haki yake. ?

SSC sio tabora jiji….. kuwa na akili, usi reason kama KIAZI MBATATA

hata Yanga ilishawahi kugomea mechi pale ilipoona haki yake imeminywa
Lione hili libwege, km watu wenyeww km hawa bado wenye akili mnaendelea kushabikia hayo matakataka?
 
Mimi sioni kama sababu ni kubwa sana kiasi cha simba kushindwa kucheza mechi. Wacheze tu mechi halafu wapeleke malalamiko kwenye mamlaka husika ili wahusika wachukuliwe hatua ikibainika walikosea.

Kama tukisema kila timu iwe inatafuta loopholes za kisheria ili isuse kucheza tunaweza kushuhudia msimu mmoja ukachezwa kwa miaka miwili mpaka mitatu.
Shida yenu kubwa hamuelewi SSC na Yanga zinashindana na pride na ego pia…..SSC kunyimwa kuingia na wahuni wa Yanga ni dharau…. There comes the pride and ego

Unakumbuka last time Yanga aligoma kuleta timu kisa minor change ya muda tu iliyofanywa na Bodi? It is all about pride and I think you should learn that

Leo bodi ilikuwa inakwenda kukusanya mpunga wake wa kutosha tu ; SSC na Yanga zinaingiza millions …… kwanini wasiwe na pride ?

So hiyo sio ishu ndogo kwa SSC , and amini ….. hata Yanga ange react the same unless we ni mgeni wa hizo timu
 
Kwenye mpira halijalishi ni kosa gani,hata kama lifanyike miaka kumi ya nyuma likigundulika kuna adhabu yake, kama ndio hivyo hata Juventus wasinge adhibiwa wewe ulikosea na kwa kanuni zilezile ulitakiwa kuadhibiwa.
Rudia tena kwenye mfano wangu.
Je,Musa alikuwa sahihi au alipendelewa?
Hoja yako inazungumzia makosa ambayo anaweza hukumiwa mkosaji no matter time elapsed.

Ila hapa nachokizungumza mm ni kwamba Simba alikuwa sahihi kuutumia uwanja kwa mujibu wa kanuni za soka letu
 
Rudia tena kwenye mfano wangu.
Je,Musa alikuwa sahihi au alipendelewa?
Hoja yako inazungumzia makosa ambayo anaweza hukumiwa mkosaji no matter time elapsed.

Ila hapa nachokizungumza mm ni kwamba Simba alikuwa sahihi kuutumia uwanja kwa mujibu wa kanuni za soka letu
Mfano wako hauapply kwenye mpira,mpira wa miguu haijaishi lini ulifanya kosa ndio maana nikakupa mfano wa Juventus.
 
Shida yenu kubwa hamuelewi SSC na Yanga zinashindana na pride na ego pia…..SSC kunyimwa kuingia na wahuni wa Yanga ni dharau…. There comes the pride and ego

Unakumbuka last time Yanga aligoma kuleta timu kisa minor change ya muda tu iliyofanywa na Bodi? It is all about pride and I think you should learn that

Leo bodi ilikuwa inakwenda kukusanya mpunga wake wa kutosha tu ; SSC na Yanga zinaingiza millions …… kwanini wasiwe na pride ?

So hiyo sio ishu ndogo kwa SSC , and amini ….. hata Yanga ange react the same unless we ni mgeni wa hizo timu
Yanga alileta timu uwanjani na mabadiliko ya muda yakafanywa kinyume na taratibu. Simba kazuiwa kufanya mazoezi kitu ambacho hakiwezi kuleta athari yoyote. Hizi figisu hata uko uarabuni kwenye mechi za CAF huwa zinafanyika sana na game inapigwa kama kawaida
 
Yanga alileta timu uwanjani na mabadiliko ya muda yakafanywa kinyume na taratibu. Simba kazuiwa kufanya mazoezi kitu ambacho hakiwezi kuleta athari yoyote. Hizi figisu hata uko uarabuni kwenye mechi za CAF huwa zinafanyika sana na game inapigwa kama kawaida
Huku TFF wanawamudu ndio maana wanawaendesha.
 
Mfano wako hauapply kwenye mpira,mpira wa miguu haijaishi lini ulifanya kosa ndio maana nikakupa mfano wa Juventus.
Hapa tutakesha lugha gongana.
Uko sahihi kwa hiyo case ya Juve lakini kwa mujibu wa kanuni Simba alikuwa sahihi kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi.

Hivyo kama Yanga alinyimwa haki hiyo na Simba basi siyo kigezo kwa Simba kukubali ukondoo husika.

Nimemaliza.
 
Hapa tutakesha lugha gongana.
Uko sahihi kwa hiyo case ya Juve lakini kwa mujibu wa kanuni Simba alikuwa sahihi kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi.

Hivyo kama Yanga alinyimwa haki hiyo na Simba basi siyo kigezo kwa Simba kukubali ukondoo husika.

Nimemaliza.
Utakesha na nani?
 
Kosa la kwenu wenyewe Simba je baada ya kufanya mazoezi siku ya Alhamisi, mlitoa taarifa kwa meneja wa uwanja kuwa mtautaka tena uwanja kumalizia mambo yenu? Hamkutoa taarifa na ndio maana meneja wa uwanja kasema hana maelekezo kama kuna watu watakuja kuutumia uwanja muda huo kwavile wahusika walijua mmeshamaliza jambo lenu la kikanuni siku ya Alhamisi baada ya kufanya mazoezi katika uwanja huo wa Mkapa.
Kwa maelezo haya,Simba SC kazi wanayo.
 
 
Back
Top Bottom