Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Kuna sheria na kanuni. Achana na mambo ya hisia. Ukienda kihisia uko sahihi kuona Simba kafanya kosa ila ukienda kisheria na kikanuni utajua Simba alikuwa sahihiSwa
Swali je simba na yanga ni wageni kwenye uwanja wa Mkapa?
Zingatia kuwa Utopoloni mwenye akili ni mmoja tu na ninaamini huyo mmoja sio wewe.Mbumbumbu katika ubora wako
Mbona unatumia nguvu kubwa sana.Utajijua mwenyewe sema unavyotaka kuifurahisha roho yako. Ila jua nina akili kama mchwa. Wasio na akili huona wenzao wote wako kama wao, so pole sana.
Swali nani mwenye funguo za uwanja wa MkapaKuna sheria na kanuni. Achana na mambo ya hisia. Ukienda kihisia uko sahihi kuona Simba kafanya kosa ila ukienda kisheria na kikanuni utajua Simba alikuwa sahihi
Umeshahama kutoka kwenye swali la msingi. Rudi ujitetee kutokana na swali lako la msingiSwali nani mwenye funguo za uwanja wa Mkapa
Ninazo hoja zingine je kama Jana mvua kubwa ingeli nyesha jana Simba mazoezi mgefanya jibu ni hapana na leo je mgelikimbia uwanjaniUmeshahama kutoka kwenye swali la msingi. Rudi ujitetee kutokana na swali lako la msingi
Zingatia, huko umakoloni, wote ni mbumbumbu..!!Zingatia kuwa Utopoloni mwenye akili ni mmoja tu na ninaamini huyo mmoja sio wewe.
Sawa topoloZingatia, huko umakoloni, wote ni mbumbumbu..!!