Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Mizoga ya Ukraine ni kiasi gani?Kama sio laki 4 itakua inakaribia 5!Ameshindwa na kukwama licha ya wanajeshi wake karibia laki mbili sasa wamekua mizoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mizoga ya Ukraine ni kiasi gani?Kama sio laki 4 itakua inakaribia 5!Ameshindwa na kukwama licha ya wanajeshi wake karibia laki mbili sasa wamekua mizoga.
Kwahiyo unapingana na boss wa EU aliyetoa data za vifo vya Ukraine mwaka jana mpaka Zele akakasirika kuwa kitendo hicho kinashusha morali ya wanajeshi?Mvamizi ndiye hufa sana maana anaingia kwenye ardhi ya watu na kuwakuta....limsafara lilifyekwa lote tena katikati ya nchi ya watu.
President Vladimir Putin has conceded that Western sanctions designed to starve the Kremlin of funds for its invasion of Ukraine could deal a blow to Russia’s economy.Vikwazo zaidi ya 14000 havikufua dafu!Hata athari za vikwazo zikija Kwa Russia huko mbeleni,Hawa walipoweka vikwazo watakuwa hoi zaidi!
Toka day 1 ya vikwazo,walioweka vikwazo vimewaumiza sana mpaka wengine wamerudi kimya kimya na kukiuka vikwazo walivyoweka!
Umesema Russia Yuko bankrupt,hiyo taarifa umeipata wapi?Au hujui maana ya Hilo neno na umelitumia bila uelewa?
Nimekuomba source ya askari zaidi ya laki 6 uliposema wameuwawa naona unajifanya hujaona!Wakati mwingine sio lazima uandike kufurahisha genge!
Hahaaaaa,SMO inaendelea!Putin anakwambia hajafanya kitu chochote serious hapo Ukraine!
Libya alikuwa mwanachama wa NATO?
Hahahahaaaa,US wenyewe wamesema hawataki vita na Russia ndio maana wanatoa silaha ambazo haziwezi kupiga Moscow!
Hujajibu maswali yangu!Hapo umeenda kuniletea bandiko,mqbandiki kama hayo tumeyaona mwaka Sasa!President Vladimir Putin has conceded that Western sanctions designed to starve the Kremlin of funds for its invasion of Ukraine could deal a blow to Russia’s economy.
“The illegitimate restrictions imposed on the Russian economy may indeed have a negative impact on it in the medium term,” Putin said in televised remarks Wednesday reported by state news agency TASS.
It is a rare admission by the Russian leader, who has repeatedly insisted that Russia’s economy remains resilient and that sanctions have hurt Western countries by driving up inflation and energy prices.
Putin said Russia’s economy had been growing since July, thanks in part to stronger ties with “countries of the East and South,” likely referring to China and some African countries. He also stressed the importance of domestic demand to the economy, saying it was becoming the leading driver of growth.
Russia’s economy has showed surprising resilience to unprecedented sanctions imposed by the West, including an EU ban on most imports of oil products. Preliminary estimates from the Russian government show that economic output shrank by 2.1% last year — a contraction more limited than many economists initially predicted.
Yet while China has thrown the Kremlin an economic lifeline by buying Russian energy and providing an alternative to the US dollar, cracks are starting to appear.
The Russian government’s revenue plunged 35% in January compared with a year ago, while expenditures jumped 59%, leading to a budget deficit of about 1,761 billion rubles ($23.3 billion).
The World Bank and the Organization for Economic Cooperation and Development are forecasting contractions of 3.3% and 5.6%, respectively, in 2023. The International Monetary Fund expects Russia’s growth to remain flat this year, but for the economy to shrink by at least 7% in the medium term.
In response to Russia’s aggression in Ukraine, Western countries have announced more than 11,300 sanctions since the February 2022 invasion, and frozen some $300 billion of Russia’s foreign reserves.
An outspoken Russian oligarch, Oleg Deripaska, said earlier this month that Russia could find itself with no money as soon as next year.
Separately, Austrian bank Raiffeisen Bank International said Thursday it was looking to sell or spin off its Russian business. In a statement, the bank called market conditions in the country “highly complex” and said it was “committing to further reducing business activity” there.
Raiffeisenbank Russia made just over $2 billion in profit last year. But due to strict local rules, Raiffeisen is unable to take any profits from its Russian business out of the country.
Source: https://edition.cnn.com/2023/03/30/economy/putin-russia-sanctions/index.html
Ndio,Kwa hii SMO inavyoendeshwa ni kweli Russia hajafanya jambo kubwa hapo Ukraine!Unamuamini Putin?
Mbona azimio la UN lilipinga US kuivamia Iraq lakini Bado US akaenda na washirika wake?Libya lilipitishwa azimio la umoja wa Mataifa(UN).
Kuna watu wamevujisha plan za UkraineNasubiri spring ifike sisi Ukraine tuanzishe Counteroffensive!! Huyu mrusi lazima akae!!!
Hakika.Wanachofanya ni utu tu ili Ukraine ajilinde tu na ndio maana hajapewa silaha nzito za kufika Kremlin,lakini angekuwa mwanachama wa NATO moto ungewaka haswa na kama anabisha atupe hata jiwe hapo finland aone.
Supa-pawa amekwama...Nikikumbuka lile limsafara la kwenda kuteka Kyev nacheka sana maana shughuli yote imehamia kwenye kujaribu kuteka kamji ka Bakhmut ambapo Urusi imepoteza wanajeshi karibia laki moja kwenye haka kamji.... Na bado kameshindikana.
================
Kiev, April 6, (dpa/GNA) – Ukrainian soldiers fought off a series of Russian attacks in Bakhmut’s industrial zone using artillery and grenade launchers, according to the military leadership in Kiev, while Ukraine’s president insisted his country still controls the city.
Despite being outnumbered, the Russian units failed to make a breakthrough, Kiev’s military leaders said on Wednesday.
Their report came after Ukrainian President Volodymyr Zelensky insisted that his troops would keep fighting for Bakhmut, despite the “very, very difficult” situation there.
“But we are in Bakhmut and the enemy does not control Bakhmut,” he said, during a visit to Warsaw.
Russia has been trying to take Bakhmut, in the Donetsk region, since late summer. Moscow’s troops already control most of the city and parts of the centre, but Ukrainian soldiers are still resisting in the western part of the city, once home to some 70,000 people.
Zelensky said the situation in Bakhmut remains “very, very difficult,” but that Kiev’s forces still control the embattled eastern town, despite claims to the contrary.
“The largest number of different weapons, such as artillery, are being used there,” he said during a visit to Poland on Wednesday.
The amount of available ammunition changes daily and Ukrainian troops are fighting with varying degrees of success, he said. “But we are in Bakhmut and the enemy does not control Bakhmut,” Zelensky underlined.
His comments contradict recent statements from Moscow. The head of the Wagner mercenary force fighting in Bakhmut, Yevgeny Prigozhin, had claimed that his units had “legally” taken Bakhmut by capturing the city’s administration building.
Bakhmut is of strategic importance as it lies on the defensive line established between the towns of Siversk and Bakhmut in the Donetsk region.
If Bakhmut falls, it will open the way for Russian troops to the major cities of Slovyansk and Kramatorsk, which would bring Russia closer to attaining its goal of completely seizing Donetsk.
As fighting continues to rage, further south, Moscow said it was prepared to work with the International Atomic Energy Agency (IAEA) to establish a security zone around the occupied Ukrainian nuclear power plant in Zaporizhzhya, according to Russian nuclear company Rosatom.
Escalations in the fighting in the region has repeatedly put Europe’s largest nuclear power plant at serious risk, triggering concerns throughout around the world.
Rosatom signalled Moscow’s willingness to cooperate with the agency after a meeting of its representatives with IAEA Director General Rafael Mariano Grossi on Wednesday.
The IAEA has been trying to establish a security zone around the plant for months to curb the risk of nuclear disaster.
Meanwhile, Zelensky’s visit to Poland resulted in further pledges of military aid, as Polish President Adrzej Duda said he wanted to inspire other leaders to provide similar levels of support.
But German Vice Chancellor Robert Habeck again underlined the limits of German involvement with regard to support for Ukraine.
“We must not become a party to the war. It is important that this boundary is always maintained,” he told Deutschlandfunk German public radio.
This plays a major role in all considerations of support for Ukraine, Habeck said before returning from his two-day visit to Kiev.
“It is always a consideration where a step might go so far as to actively involve us in the war,” said Habeck. Asked where he personally drew a red line, he said: “Having German troops in Ukraine.”
Further, the issue of alleged child abductions by Russia continues to cause outrage in Ukraine. At her recent press conference, Russian Children’s Rights Commissioner Maria Lvova-Belova admitted to another “kidnapping” of a Ukrainian teenager, according to Kiev.
“This story is the next public confession of war crimes – the abduction of Ukrainian children!” the Ukrainian parliament’s human rights commissioner, Dmytro Lubinets, wrote on Telegram on Tuesday evening.
He said the case involved a 17-year-old boy who was taken from Russian-occupied Mariupol in the Donetsk region to a foster family in Russia. “Yet the child has a sister in Ukraine!” stressed Lubinets. Moreover, the boy had been prevented from returning home to Ukraine on his own. After reaching Belarus, the teenager was arrested and brought back to Russia.
Since shortly after the beginning of the Russian war against Ukraine, Kiev has accused Moscow of “deporting” Ukrainian children. Most recently, Kiev spoke of 19,514 children affected, 4,390 of them orphans. Moscow denies this and speaks instead of evacuations.
Russia launched a full-scale invasion of Ukraine more than 13 months ago and occupies parts of the country’s territory. Many boys and girls have lost their parents as a result of Russia’s war. Thousands are on the run.
MSN
www.msn.com
Urusi imefilisika labda kiingereza kinakupa shida., majajiri wa kirusi wapato na zaidi 15,000 wamelazimika kuikimbia nchi yao na kwenda kuwekeza nchi nyengine kama dubai, uturuk nk.,Hujajibu maswali yangu!Hapo umeenda kuniletea bandiko,mqbandiki kama hayo tumeyaona mwaka Sasa!
Kikubwa vikwazo vinawaumiza waweka vikwazo kuliko muwekewa vikwazo!So hata kama vina athari Kwa Russia,Kwa wawekaji ndio maradufu!
-Nimeomba source ya askari laki 6 wa Urusi kuuwawa Ukraine!
-Nimekuuliza unapisema Russia Yuko bankrupt,unaelewa maana yake au umetamka tu kujifurahisha!Nchi iliyo bankrupt inaendesha vita inayotafuta mabilioni Kwa siku!Usipende kujifurahisha Kwa vitu ambayo ni nonsense!
Kwahiyo unapingana na boss wa EU aliyetoa data za vifo vya Ukraine mwaka jana mpaka Zele akakasirika kuwa kitendo hicho kinashusha morali ya wanajeshi?
Ukraine Hadi vitoto na vizee vinapelekwa front,ndio ujue jeshi limefyekwa sana!
Aisee,umezoea story za kwenye kahawa!Hilo lingine Naona Kwa kushindwa kuleta source maana yake umejitungia tu kichwani mwako!Urusi imefilisika labda kiingereza kinakupa shida., majajiri wa kirusi wapato na zaidi 15,000 wamelazimika kuikimbia nchi yao na kwenda kuwekeza nchi nyengine kama dubai, uturuk nk.,
Hahahahaaa,yeye mara nyingi amemtembele Zelensky so hizo data amezipata kutoka Kwa Zele ndio maana Zele akachukia Kwa kitendo hicho na haraka Saka hicho kipande kikaondolewa kwenye hotuba lakini Ilikuwa too late!Boss wa EU hapigani pale, hata simjui, Urusi wamesababisha msiba hadi Tanzania....
Hahahahaaa,yeye mara nyingi amemtembele Zelensky so hizo data amezipata kutoka Kwa Zele ndio maana Zele akachukia Kwa kitendo hicho na haraka Saka hicho kipande kikaondolewa kwenye hotuba lakini Ilikuwa too late!
Mwaka Jana Ilikuwa zaidi ya laki Kwa mujibu wa President wa EU bi Ursula!
Sasa wewe mkenya Unajua mambo ya Ukraine kuliko Ursula?😀😀
Imepenya hiyo,Russia anatandika Kisha sensa utajifanyia mwenyewe!Hehehe siku zote mko huku mkikatalia mbali data zozote za western ila hizi za huyu naona umeandika hadi insha, masheikh mnachekesha.
Kweli uwezo mdogo,basi nenda urudishw majimbo 5 aliyo yachukua.Russia kajichoresha sana,dunia haikutegemea kama ana uwezo mdogo kiasi hiki,tuliaminishwa miaka na miaka kuwa Russia ni moto wa kuotea mbali,matokeo yake sasa kumbe si chochote si lolote.