Kamji kadogo ka Bakhmut bado kameshindikana, hawa ndio walitaka Ukraine yote

Kamji kadogo ka Bakhmut bado kameshindikana, hawa ndio walitaka Ukraine yote

Urusi hata akipigana kwenye huo mji miaka 10,mwenye hasara ni Ukraine.
 
Kweli uwezo mdogo,basi nenda urudishw majimbo 5 aliyo yachukua.
Tangu achukue kwa hila hayo majimbo hakuna cha maana alichochukua zaidi ya kuendelea kupoteza,maana alisema hawezi kuvamia kisha ghafla akaingia huku Ukraine hajajipanga,baadae ndio Ukraine anaanza kumobilize na kuingia vitani.Kwa nguvu tulizoaminishwa tulidhani ni siku tatu tu Ukraine itakuwa imeanguka,kumbe Russia mwenye tutusa tu,anacheza makida makida mpaka leo hapo bakhmut huku askari wake wanapukutishwa kama kuku.
 
Amepoteza wanajeshi karibia laki mbili...analiwa mbaya mno, kasababisha msiba kote hadi Tanzania
Russia yeye kapeleka misiba nchi nyingi tu kama Poland,UK,US, Australia NK!
 
Kelele nyingi sana US na NATO pelekeni jeshi lenu battle field muone huo udhaifu wa Russia.

Kwani nyie NATO mnapenda kuona wa UKRAINE wanakufa hovyo due to prolonged war basi kama sio mwende mkaimalize kazi mapema.

Eti Russia apoteze manpower 100k Bakhmut [emoji28][emoji28] hao Wagner wenyewe wanawasumbua sisikii tena habari za Azov Battalion sijui waliishia wapi.

Kama kweli Bakhmut ndiko Russia kawekeza nguvu zake kubwa au zote basi mpate na muda wa kwenda kukomboa maeneo yalihokwisha twaliwa na mrusi maana huko naamini hakuna manpower ya kutosha ya mrusi kuwazuia mashoga ya NATO na US.

Russia must WIN Russia is unstoppable [emoji123][emoji123]
DW ,wanasema ukrein imezidiwa sana na huenda huo mji umeshaenda kwa mrusi, kwa mujibu wa uingereza

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
 
Aisee,umezoea story za kwenye kahawa!Hilo lingine Naona Kwa kushindwa kuleta source maana yake umejitungia tu kichwani mwako!

Following on the IMF's latest assessment that the Russian economy shrank by a less-than-expected -2.2% in 2022, many of these commentators point to the IMF's projection of fractionally positive economic growth in Russia of +0.3% in 2023, outstripping Germany and the U.K.
IMF's ya wapi hii au gongolamboto? taarifa zako huna vyanzo nafkiri unajiandikia tu kubembeleza swaumu
 
Russia yeye kapeleka misiba nchi nyingi tu kama Poland,UK,US, Australia NK!

Kajisababishia misiba, na kasababisha misiba Afrika kwa viherehere na pia matakbir wenzako wa Syria...
 
Kajisababishia misiba, na kasababisha misiba Afrika kwa viherehere na pia matakbir wenzako wa Syria...
Kapeleka misiba Ulaya yote na US!ila Kuna ambao waliona mziki mzito wakakimbia!
 
Silaha anazopewa Ukrean impact yake muda mfupi tayari imeonekana, wanajeshi zaidi ya laki 6 wa russia wameenda na maji, hao wafungwa wa Wagner Group siju kamanda aliyekodiwa kutoka Syria wote hawapo tena kwisha, lakini urusi walipovamia tayari walishaiteka Kyiv sasa Ukrean wamepambana kutoma Urusi Kyiv kazi imebakia huko pemben pemben siju bakhmut mpakani, mafanikio ni makubwa mnoo, eneo la nchi ya Newzaland urusi walikuwa tayari washalichukua Ukrean sasa wamtolewa nje wamekimbilia bahari nyeusi ambako wanapiga longrange wakiua raia wawili watatu untaget.

Msafara wa vifaru kutoka russia ulikuwa na ukubwa wa 64km, sasa vile vifaru vimebaki ni maonyesho pale Kyiv watoto na wageni wanaenda kutembelea Kyiv wanapiganavyo picha lakini juzi juzi nchi za ulaya wamesafirisha baadhi kwenda kufanya maonyesho nchini mwao

Putin juzi ametangaza kwamba sas vikwazo vya West rasmi vimeanza kuitafuna nchi yao na kumtaka XI wa China wafanye mazungumza kumaliza vita ya Ukrean lakini wamekuta ukrean bado wana hanger ya kuikomboa nch yao kutoka vamizi russia.
Ila hapa mkuu hasa mwishoni sidhani kama pako sawa sana,

Mfano rahisi;

munapopambana kumtoa mvamizi ukiona hawezekani kutoka mpaka ikifikia hari ya mmoja wenu kumtafuta rafiki wa mvamizi ili mambo yaishe basi ujue huyo mvamizi hawezekani..otherwise ilikuwa nikumpiga na kumtoa. Mzungu hana muda wa kumbembeleza mtu hasa jambo linapokuwa rahisi kwake..hivyo Wagner wangekuwa wwpesi kiasi hicho sidhani kama wangethubutu kuanza kumtumia rafiki mkubwa wa mvamizi ili wakae wayamalize.

Uchina kwasasa ndiyo anaonekana Potential baada ya kudharauliwa mapendekezo yake toka mapema..na kwa bahati mbaya ndiyo rafiki pekee mwenye ushawishi kwa huyo mvamizi. Mambo huenda siyo huenda siyo rahisi mpaka ukiona wakubwa (eg France etc) wakianza kumkabidhi majukumu uchina.
 
Hata Ukraine ni Ulaya pia!😀

Hata Ukraine wanakula burger, tulitegemea huyo 'mtume' wenu na usupapawa wake atafumua ka-Ukraine, leo imekua kaburi la wanajeshi wake....
 
Kenya kama Kenya.
JamiiForums1852287141.jpg
 
Ndio hivyo Russia Bado Yuko sebuleni na anachukua chumba kimoja kimoja!Muondoeni Ukraine ndio tujue ameshindwa!Mtu Hadi anacheza mziki sebuleni kwako halafu unasema yamemshinda,[emoji3][emoji3][emoji3] mnachekesha kweli
Wanajifariji hawa hivi mtu bado yuko ndani mwako alafu wajitapata umemthibiti hawa wana lana

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
 
Mbona azimio la UN lilipinga US kuivamia Iraq lakini Bado US akaenda na washirika wake?
Tena hapo Wana sababu maana Russia kaivamia Ukraine kuliko kule Iraq ambako walimzushia sababu za uongo na kumvamia!
Ngoma ngumu aseee,wangeshaingia miezi ya mwanzo ila sasa wamebaki wanabwekabweka.

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom