Kamji kadogo ka Bakhmut bado kameshindikana, hawa ndio walitaka Ukraine yote

Ka meat grinder ka nato tuende taratibu mpaka mashoga waishie hapo
 
Lugha ya malkia haijawahi kumwacha mbongo salama.

Nilizani unatusimulia unayojua kujuhu Bhakimuti kumbe umekopi na kupesti kama yalivyo[emoji16]
 
Kuna watu wamevujisha plan za Ukraine
Ni marekani haohao kwani mpango huo wa kufanya mashambulizi ya kimkakati ulikuwa unaratibiwa na NATO

Watu wasichokijua ni kwamba Urusi hapigani na Ukrane bali na Nato wanaomsapoti Ukrane.

Mataifa ya Nato yanamsaidia Ukrane kwa tahadhari maana wakiingia kichwakichwa wanafahamu hasara itakayo wakuta.

Mpaka sasa kwa kumsaidia ukrane uchymi wao umeanza kupata mtikisiko.

Wanatamani Rushia ashindwe ndio maana wanajaribu kumshawishi China asitoe msaada kwa Russia.
 

Ndio kitu ambacho mnajiliwaza siku zote ila siku NATO watajihusisha kwenye hivi vita sijui mtasema nini....
 
Mkuu hii ya China umeifahamu vibaya sana au umelishwa visivyo, sababu ya China kuandika proposal ya kutaka suluhu na kutinga Moscow kujadili namna ya urusi kumaliza vita ukraine ni baada ya uchina kupata tishio la kuwekewa vikwazo kutoka magharibi na alipewa sababu kwamba yeye ndio alimshawishi putini kuivamia Ukrean lakini sasa ameonekana waziwazi akitoa msaada wa silaha ammunition weapons kuipa urusi kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya vita Ukrean.

Ndio mana sasa akaona ili akwepe hivyo vikwazo ambavyo vitamuathiri kwa kiwango kikubwa kwa mustakbali wa watu wake akaona sasa aandae hiyo proposal ya suluhu ili ule mpango wa vikwazo unaoandaliwa kwa ajili yake na watu wake aweze kusamehewa, china bila ya US hana mbele wala nyuma
 
Mkuu unaweza prove kuwa "China kaambiwa yeye ndiyo kamshawishi Putin"
 
In summary;

Westerners ikiongozwa na US hupendelea zaidi Russia kutengwa na Ulimwengu..ndiyo maana kila kukicha huwawekea vikwazo.Sasa panapotokea kuwa na rafiki,wao huhisi kama nikikwazo kwao ndiyo maana hufanyiwa propaganda kila kukicha.

Ingawa wao wanamazuria yao pia maana mimi ni mwenyeji kidogo W+US lakini hili la Russia ni propaganda nyingi.
 
Urusi ataondoka Kwa aibu Ukraine kama alivyo surrender Afghanistan,ni suala la muda tuu
 
Mkuu msaada unaotolewa ni mdogo sana na vifaa vya kizamani na vya kisasa kiduchu,kama NATO wangetoa nguvu zao halisi hakuna rangi Russia angeacha kuona.
Silaha zote zinazoenda huko Ukraine kutoka magharibi nyingi ni za miaka ya nyuma kidogo. Ila Russia ameshapeleka nyingi za kisasa hapo, na zingine anahofia kuzipeleka akijua kwamba watu watazipasua mapema.
 
Silaha zote zinazoenda huko Ukraine kutoka magharibi nyingi ni za miaka ya nyuma kidogo. Ila Russia ameshapeleka nyingi za kisasa hapo, na zingine anahofia kuzipeleka akijua kwamba watu watazipasua mapema.
Hakika
 
Yule alikua mwarabu wenu alipaswa kipodo maana alichangia kuhamasisha magaidi...
Gaddafi hafai maana Alimpa amin kila aina ya support ili Tanzania tufe yeye kuuliwa wavaa makobazi wote wanalia
 
Gaddafi hafai maana Alimpa amin kila aina ya support ili Tanzania tufe yeye kuuliwa wavaa makobazi wote wanalia

Hukuona wengi walilia kisa Osama ameuawa licha ya yeye kulipua bomu kwenye ubalozi wa USA nchini Tanzania na Kenya na aliishia kuua wavaa makobaz wengi tu kwenye hayo mabomu.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hii nchi ina watu wanaoyajua mambo yote ya ulaya kuliko hata wazungu wenyewe.

Hiki ulichoandika hapa ndugu yangu unaweza kukithibitisha au source tukuamini wewe.

Tusije kusimulia vijiweni kwetu huku tukaambulia kupigwa na wanakijiwe kwa uongo na kupigwa marufuku kusogelea kijiwe.
 
Huko vijiweni ongea kwa herufi kubwa kabisa, sisi tunakesha kufuatilia haya mambo kwenye vyanzo vikuu vya habari
 
Huko vijiweni ongea kwa herufi kubwa kabisa, sisi tunakesha kufuatilia haya mambo kwenye vyanzo vikuu vya habari
Naomba unipe source kaka ili nikiongea nioneshe na ushahidi.
 
Naomba unipe source kaka ili nikiongea nioneshe na ushahidi.
Uwe unaangalia na kufuatilia television za CNN, Aljazeera, BBC nk ziara za XI wa China kule Russia hivi makaribuni, mpaka XI mwenye alipolalamika live kwamba West wao bado wana ajenda kuendeleza vita Ukrean kwa muda mrefu zaidi na kwamba juhudi ambazo yeye XI anazozifanya na Putin huenda zisizae matunda, US waliwadharau kupita kiasi

Siku iliyofuata Putin hasira zake akaona apeleke silaha za nuclear Belarus labda kuwakomoa Ukrean na US lakini akaangukia pua US wakajibu kwa kuiunganisha Finland kuwa mwanachama wa NATO rasmi. Sasa Putin analalamika yeye kwa kusema amevamiwa na hana cha kufanya akiigusa Finland ni sawa na kumshika simba sharubu wanalizana wao kwa wao tu na kujuta, kwamba kama si Urusi kuivamia Ukrean Finland isingeenda NATO sasa kuna frustration za nguvu.
 
Hii ndio source kumbe.

Sawa asante.
 
Wagner nao wamekaa, sasa wameamua kupeleka special forces!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…