johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mgombea urais wa JMT kupitia CCM, Dr. Magufuli leo anaendelea na mikutano yake ya kampeni katika jimbo la Bahi.
Watu ni wengi sana na mkutano huu utarushwa mubashara na TBC na Channel Ten.
========
3:00 Asubuhi: Maombi ya kufungua mkutano kutoka kwa viongozi wa dini
Sikutegemea kama ningekuta watu wengi hapa Bahi, leo nina mikutano mingi sana, ningependa sana nikae hapa kwa masaa mengi lakini nimeona maendeleo mliyonayo, miaka mitano iliyopita nilipita nikawaomba kura kwa lengo la kuleta mabadiliko ya kweli - JPM
Asante Watu wa Bahi kwa kunikaribisha nafahamu hapa Bahi kuna wakulima wazuri, wafugaji tutatua kero zenu zote, zaidi ya tozo 114 zimefutwa ili wakulima mnufaike, kwa miaka 5 tutaendeleza pale tulipoishia, tutaondoa kabisa tatizo la maji hapa -JPM
Tumejenga Hospitali ya Wilaya hapa Bahi kwa Tsh. Bil 1.8 ambayo ujenzi wake umefikia 95%, tumejenga vituo vya afya 3 kwa Tsh. Bil 1.5, nataka hii Hospitali ya Wilaya ikamilike haraka ili Wananchi waanze kutibiwa hapa, ndio maana nawaomba mnipe kura nikamalizie palipobaki -JPM
Ukiwa na tochi ni lazima uwe na betri zote zinazowaka, ukichanganya na gunzi tochi haitawaka. Naomba mniletee betri, mbunge mtarajiwa ndugu Keneth, hata sura tunafanana.
Naomba niwaahidi tutachapa kazi kubwa isiyo na mfano, hii miaka mitano ilikuwa ni onjaonja, Hiyo yenyewe ndio inakuja.
Watu ni wengi sana na mkutano huu utarushwa mubashara na TBC na Channel Ten.
========
3:00 Asubuhi: Maombi ya kufungua mkutano kutoka kwa viongozi wa dini
Sikutegemea kama ningekuta watu wengi hapa Bahi, leo nina mikutano mingi sana, ningependa sana nikae hapa kwa masaa mengi lakini nimeona maendeleo mliyonayo, miaka mitano iliyopita nilipita nikawaomba kura kwa lengo la kuleta mabadiliko ya kweli - JPM
Asante Watu wa Bahi kwa kunikaribisha nafahamu hapa Bahi kuna wakulima wazuri, wafugaji tutatua kero zenu zote, zaidi ya tozo 114 zimefutwa ili wakulima mnufaike, kwa miaka 5 tutaendeleza pale tulipoishia, tutaondoa kabisa tatizo la maji hapa -JPM
Tumejenga Hospitali ya Wilaya hapa Bahi kwa Tsh. Bil 1.8 ambayo ujenzi wake umefikia 95%, tumejenga vituo vya afya 3 kwa Tsh. Bil 1.5, nataka hii Hospitali ya Wilaya ikamilike haraka ili Wananchi waanze kutibiwa hapa, ndio maana nawaomba mnipe kura nikamalizie palipobaki -JPM
Ukiwa na tochi ni lazima uwe na betri zote zinazowaka, ukichanganya na gunzi tochi haitawaka. Naomba mniletee betri, mbunge mtarajiwa ndugu Keneth, hata sura tunafanana.
Naomba niwaahidi tutachapa kazi kubwa isiyo na mfano, hii miaka mitano ilikuwa ni onjaonja, Hiyo yenyewe ndio inakuja.