Laface77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2008
- 2,117
- 2,845
Ungesema maelfu ya ng'ombe watasombwa kupelekwa viwanjani kumsikiliza!Mgombea urais wa JMT kupitia CCM, Dr. Magufuli leo anaendelea na mikutano yake ya kampeni katika jimbo la Bahi.
Watu ni wengi sana na mkutano huu utarushwa mubashara na TBC na Channel ten...