Uchaguzi 2020 Kampeni Bahi: Dkt. Magufuli asema miaka mitano ilikuwa ni onjaonja, hiyo yenyewe ndio inakuja

Uchaguzi 2020 Kampeni Bahi: Dkt. Magufuli asema miaka mitano ilikuwa ni onjaonja, hiyo yenyewe ndio inakuja

BAHI: maeneo yaliyofanyiwa kazi kwa kasi
1-Hosp
2-Mradi wa Maji
3-Umeme
4-Barabara ya lami
5-Soko
6-Daraja
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa
vibaraka wa mabeberu kwa propaganda hamjambo.
 
Atachaguliwa na Wahutu wenzake, hakuna Mtanzania mzalendo atakaechagua hii dikteta uchwara yenye PhD ya kununua.
 
Tamasha bado linaendelea kawapeni tu burudani manake kuna wengine hawajahi kuwaona hao wasanii live wawashike na mikono
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,
Tena ni maiti za watu ambao hawana wazazi wala ndugu wanaoripoti kupotelewa ndugu au kuomba serikali iwasaidie kutambua maiti za ndugu zao hadi serikali iwazike yenyewe😴😴
 
BAHI: maeneo yaliyofanyiwa kazi kwa kasi
1-Hosp
2-Mradi wa Maji
3-Umeme
4-Barabara ya lami
5-Soko
6-Daraja

Kuna viwanda vingapi huko tupime ajira? Mfuko wa mbolea ni bei gani maeneo hayo? Maana haya uliyotaja ni maendeleo ya vitu.
 
Juzi kondeboy kachoka sana na show ya wananchi sijui Leo ataweza kupiga show?

Anyway wapo kina kiba, Mondi, shetta, Gnako, nanfu, beka, Zuchu nk
 
Mlio karibu na mkulu mjuzeni atupe endorsement yake (Presidential Investment Endorsement) muda huu huu wa siku za campaign;

Mwezi uliopita mara 2 kazungumzia kuongeza thamani kwenye pamba; mwambie tunaweza kuwekeza kwa fedha za ndani walau kuitoa pamba kwenye ughafi na kuiuza kama kitambaa kwa soko la ndani na nje.

Mwakani miezi ya mwanzoa aje kufungua kiwanda cha nguo ambacho kwa uchache kitauza mashuka ya hospitali kupitia MSD.

Watanzania wenye akili ya kuwekeza tupo; tunahitaji access to investment credit to make things happen.

Likewise kuzalisha sukari kwa kutumia viazi mbatata inawezekana kwa kutumia Technology toka moja ya nchi bingwa kwenye agro processing.

Mwambieni AG na vijana wake watakuwa sehemu ya mchakato wote ili kumpa feedback kwenye kila hatua.

Uwekezaji mmoja uwe Dodoma na mwingine kanda ya ziwa kwenye pamba.

Tujenge uchumi wa kati endelevu kwa viwanda vya pamba na kuzalisha sukari.


Screenshot_20200824-205726-1.jpg
 
Hivi pamoja na kufanya kampeni peke yake kwa miaka yote mitano aliyokuwa rais, bado anahitaji kampeni za nini tena?
Angewaachia vyama vingine kwa hii miezi michache nao wafanye, kwani kama hiyo miaka mitano haikumtosha, sidhani kama hii miezi itamtosha.

Vipi wasanii watakuwepo au, maana watu wanajitokeza kuwasikiliza wasanii na siyo sera za ccm.
Ndiyo maana anafanya kampeni bila presha tumezindua kampeni tarehe 29/08/20219 tumepumzika siku 2 na leo ndiyo tunaendelea na kampeni.
 
Back
Top Bottom