Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru kasema hakuna tena cha kutembea na wasanii saa hivi watakuwa na timu yao ile ya T.O.T na mkoa ambao wataenda watagumia wale wasanii wa ngoma za asili tuuVipi Diamond atakuwepo ?
Acha uongo labda waolitia nia kupitia SaccosWatumishi wa umma waliotia Nia kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kupita CCM na kukatwa mishahara Yao yote ya mwezi July na August 2020 hawataruhusiwa kuhudhuria mikutano ya kisiasa. Ila wataruhusiwa kupiga kura tu. TL mungu akupe nguvu
Kasema liniBashiru kasema hakuna tena cha kutembea na wasanii saa hivi watakuwa na timu yao ile ya T.O.T na mkoa ambao wataenda watagumia wale wasanii wa ngoma za asili tuu
BAHI palitapika kabla ya FIESTAFiesta zote huwa zinajaza maana watu hupenda burudani.
Tangu juzi mbona wee uko wapi bwasheeKasema lini
Hayo ni maneno tuTangu juzi mbona wee uko wapi bwashee
Kwenye kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika dodoma wale waliokua wana perfom ni kina nani? Sio wasanii wale? Uliwaona T.O.T Band pale hata mpiga kinanda mmoja?
Safi kabisa. Hana haja ya kufanya kampeni kwa preshaNdiyo maana anafanya kampeni bila presha tumezindua kampeni tarehe 29/08/20219 tumepumzika siku 2 na leo ndiyo tunaendelea na kampeni .
hana jipya zaidi ya kumchukia mtu ambaye hata hana time naye.Hahahaha kwamba miaka mitano zaidi ya mateso, uminywaji wa haki , uhuru wa vyombo, watu kutekwa, makesi yakijinga, n.k??
Ama kweli Tundu Lissu, anatakiwa kuitwa NABII.
Sijui labda tusubirie tuoneHayo ni maneno tu
Mbona mimi sina taarifa ya huu mkutano wa hapa Bahi 😂😂😂
Si mlisema hamna haja ya kufanya kampeni, kwamba mambo makubwa aliyoyafanya ni kampeni tosha kwake!?Hapana;
Atakuwepo LUCKDUBE
Rais Magufuli akiwa Bahi
Umeonjeshwa BombadiaSi mlisema hamna haja ya kufanya kampeni, kwamba mambo makubwa aliyoyafanya ni kampeni tosha kwake!?