Ungesema maelfu ya ng'ombe watasombwa kupelekwa viwanjani kumsikiliza!Mgombea urais wa JMT kupitia CCM, Dr. Magufuli leo anaendelea na mikutano yake ya kampeni katika jimbo la Bahi.
Watu ni wengi sana na mkutano huu utarushwa mubashara na TBC na Channel ten...
Wamejaa wenyewe bila ya weweBasi hstuji kwenye mkutano
Duh, anawafokea tena!!nimeona sasa hivi anawafokea wananchi nikabadili channel.
Mwisho wa haya yote 28/10/2020 matakavyoangukia kisogo.Utatema hirizi safari hii.
Zinafanyiwa editting kwanza?Picha zinakuja mkuu tulia hapo hapo ulipo bwashee!
Hata Beckham alisema atamalizia Mpira manchester lakini akaend Marekani badaeBashiru Ally - "Hatuta tumia wasanii katika uchaguzi mkuu 2020, tutatumia bendi ya T.O.T tu nchi nzima"
CCM uongo upo kwenye DNA yao, ni INHERITED GENES.
Tupiamo basi tuwakate ngebe wale wa upande uleBAHI pametapika
Hivi ndivyo wanavyo ongoza nchi. Wana sema hiki halafu wana fanya tofauti. Ila tuwe wakweli, bila wasanii na wana muziki Ccm wata hutubia hewa. Hakuna anae kwenda kwenye mikutano yao kwa kuwasikilizaBashiru Ally - "Hatuta tumia wasanii katika uchaguzi mkuu 2020, tutatumia bendi ya T.O.T tu nchi nzima"
CCM uongo upo kwenye DNA yao, ni INHERITED GENES.
Duh, anawafokea tena!!
Hata yangekuwa 50, yote hiyo ni pesa unaenda kwa wananchi, sasa pesa yenu wanakula wachache tu Mbowe na genge lakeMalori ya kusomba watu yapo mangapi?
Bashiru Ally - "Hatuta tumia wasanii katika uchaguzi mkuu 2020, tutatumia bendi ya T.O.T tu nchi nzima"
CCM uongo upo kwenye DNA yao, ni INHERITED GENES.
genge lake si ndiyo sisiHata yangekuwa 50, yote hiyo ni pesa unaenda kwa wananchi, sasa pesa yenu wanakula wachache tu Mbowe na genge lake
πππDada usiendelee kuniquote quote nnamke na watoto sihitaji kuchepuka
Kwenye kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika dodoma wale waliokua wana perfom ni kina nani? Sio wasanii wale? Uliwaona T.O.T Band pale hata mpiga kinanda mmoja?Wewe hukumuelewa Bashiru katika utendaji kazi wa ccm kwenye miaka 5 kabla ya kuanza mchakato wa uchaguzi mkuu 2020, wapi walitumia wasanii zaidi ya TOT?
Kipindi hiki cha uchaguzi acha wasanii nao wapate fursa maana ni Watanzania.
Weka picha za push-upPicha zinakuja mkuu tulia hapo hapo ulipo bwashee!
Acha uongo weka pichaBAHI pametapika
Amepiga push up kutuonyesha kuwa bado ana afya njema kama 2015!!?