Uchaguzi 2020 Kampeni Bahi: Dkt. Magufuli asema miaka mitano ilikuwa ni onjaonja, hiyo yenyewe ndio inakuja

yani anamaanisha jinsi wafanyakazi hawajapandishiwa mishahara kwa miaka 5 hiyo ilikua ni trailer round ya pili watapunguziwa kabisa hiyo mishahara hadi wakome kuichagua CCM.
 
Watumishi halmashauri hiyo ya Bahi wameshurutishwa kuhudhuria mkutano huo wa mgombea urais wa ccm kwa kusaini karatasi za mahudhurio ili kuongeza wingi wa wahudhuriaji.
 
kiboko ya mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…