Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Jamani jamaa ameshaaga maisha...ndungai sheria ifuate mkondo wake.
 


pumbavu kabisa ...
 
Hizi bado ni kura za maoni ndani ya vyama. Ukifika wakati wa vyama kwa vyama sijui itakuwaje. Watanzania tutambue kuwa ule muda wa kupita bila kupingwa hata ndani ya vyama umeshapita na tukubali kuwa nchi hii ni yetu sote kila mmoja ana haki ya kuomba kuongoza tuvumiliane. Mungu atusaidie.
 
Hapo nasikia jamaa wanamsihi kwa lugha ya kwetu dodoma.nanukuu.tagalekaje gago makani.gamalikaaa!!!!!.maana yake.achana na hayo mambo yameisha.ndugai anasema nhaule kanza nhowa?????.kwanini ameanza kunipiga???
 
Tutashuhudia mengi mwaka huu,kikubwa CCM wamepanic usiwaanze usijejitengenezea kifo ambacho hukupangiwa bure
 
Kiongozi ni kioo ktk jamii wana jf wenzangu jioneeni tukio hili, muda mwingine tukubali ukweli ndg zangu ndugai kwa status aliyejiwekea hakupaswa kufanya hvyoo nimemshusha thamani kabsaaaa.... Msishangae akipeperusha Bender's ya kongwa, yelewuuuu
 
UNCOMFIMED
nasikia jamaa kafariki,pia kuna mtu katoa taarifa humu kuhusu tukio lenyewe kwa mujibu wa daktari
 
UNCOMFIMED
nasikia jamaa kafariki,pia kuna mtu katoa taarifa humu kuhusu tukio lenyewe kwa mujibu wa daktari
Hata mi naona taarifa sehemu tofauti tofauti sasa sijui ka ni kweli au uzushi
 
Taarifa za kufariki kwa mgombea huyo hazina ukweli wowote!!! Mgombea aliyepigwa anaendelea vizuri na atakuwa discharged muda wowote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…