Kashi
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 897
- 745
Watu waongo sana, hv ukipigwa na gogo usitoke ngeu...? Acheni kuwa kama mabinti .. sema alimtishia labda, ktk kuamua ndio mkutano ukavunjika...!!! Midume mingine kama mijike tu...!!!
Yaani upigwe na gogo..? Unajua gogo ww..? Yaani hawa wagogo ni shida, watu waongo waongo sana.... gogo unajua ukubwa wake..?
Mkuu ni kama vile ulikuwepo eneo la tukio, hebu tupe ukweli wa kilichojiri.