Watu waongo sana, hv ukipigwa na gogo usitoke ngeu...? Acheni kuwa kama mabinti .. sema alimtishia labda, ktk kuamua ndio mkutano ukavunjika...!!! Midume mingine kama mijike tu...!!!
Yaani upigwe na gogo..? Unajua gogo ww..? Yaani hawa wagogo ni shida, watu waongo waongo sana.... gogo unajua ukubwa wake..?
I agree with you 100%Najiandaa kisaikolojia kusikia mengi.Huu ni mwaka wa furaha kwa wapenda maendeleo.
Gongo lake linamfariji!!!
Habari kama hii bila picha ni uzushi!
Ndio maana nakupendaga maana mimi na wewe hatupingani.I agree with you 100%
Uchaguzi mwaka uu si mchezo na ni mgumu kwa chama tawala, wananchi wameamka sana kwa kipindi hiki.Ndio maana nakupendaga maana mimi na wewe hatupingani.
Ni kweli hii habari. Picha hii hapa