Elections 2015 Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Ha ha ha! Umenikumbusha yule mtafiti wa pale Kibasila S.S. aliyekuwa anatunza vinyesi vyake kwenye sahani na vyombo vyake vya ndani. Nadhani hapo air freshener itagonga kisiki.

Kwa hiyo wataka kuniambia nini?Maana umeniacha njia panda kama CDM walivyoniacha upenuni mwa sebule yao.........:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
 
Mtu kama huyo hafai, ameshapoteza sifa ya kugombea.
......... Pole sana Dr.......................
 
Mkuu kuna mwingine Savimbi(mwigulu) nae naskia anawaletea wenzake mauzauza


Huyu yeye TAKUKURU imeshaanza kumpa vidonge vyake! Sasa ile skafu ataivaa wakati akichunga au kuuza karanga! mbona analo huyo
 
Ukizingatia walivyokuwa wana hasira sasa, hata nyumbani wakae chonjo maana kile kiti cha bungeni pale juu kwenye mimbari anaona tartiiiibu kinaanza kumkimbia, masikini wee huruma!!!!
 

Hakika ule mnara wa babeli umeashabomoka na hiki tunachokiona ni dhambi ya dhulma na ubadhirifu vinawatafuna.
 
Du kampiga mwenzake kwa ubunge. Tuweni waangalifu sote ni watanzania, tuna haki sawa. Hakuna alie juu ya sheria. Hapo ni lazima sheria ichukuwe mkondo wake na adhabu kali itolewe iwe ni fundisho kwa wenziwe.
 
Mkuu kuna mwingine Savimbi(mwigulu) nae naskia anawaletea wenzake mauzauza

Hii yote inasababishwa na uchu wa madaraka huku wakijivuna kwamba wao ndio wao. Huko bungeni walikuwa wanaleta nyodo dhidi ya upinzani kujifanya wanakubalika sasa wanaona watadondokea pua inabidi watumie njia haramu kupata ushindi. Kama walipata hela za bwerere wakashindwa kufungua miradi itakayowapa kula basi wajue imekula kwao kwani wao hawana hati miliki ya nchi hii. Kwa mfano Mwigulu Nchemba amekuwa na kiherehere akijifanya anazijua siasa kumbe ndio mabingwa wa hila, fitina na chuki. Sasa leo ile tabia yao ya uchu wa madaraka inazidi kudhihiri.
 
Reactions: G3T
ndugai alime karanga tu huko kongwa, alizania bunge la mama yake lile. Alikuwa na nyodo sana anapokalia kiti cha enzi pale mbele. Wana kongwa mnyoosheni mpuuzi huyu
 
Huyu yeye TAKUKURU imeshaanza kumpa vidonge vyake! Sasa ile skafu ataivaa wakati akichunga au kuuza karanga! mbona analo huyo

TAKUKURU awawezi kumfanya kitu.. kumbuka takukuru yenyewe ndyo ile taasisi isyokuwa na meno, na pia ni chombo dhaifu kilichotengenezwa na ccm kula kodi za wananchi bure tu. na ccmndyo walisema nchi ni yao na dola ni lao. kwa hyo nothing new hapo
 
Mtunga sheria, mwanasheria anakiuka sheria na jee yupo kwa maslahi ya nani? hovyooo kabisa Ndungai!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…