BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe huwa unakunywa maji kwa maelekezo ya Daktari?? Daah.Gereji gari ina chemsha
Ya kumezea dawa hayoKwahiyo wewe huwa unakunywa maji kwa maelekezo ya Daktari?? Daah.
Endeleeni kulisha watu maneno, ila mwisho wa siku maboksi ya kura yataongea tu, watanzania wana Imani na CCM na watamchagua Magufuli.
Watanzania tumejaaliwa kuhoji vitu visivyokuwa na mashiko, oooh..! Glasi moja ya maji...!Labda mambo ya gereji
Endeleeni kulisha watu maneno, ila mwisho wa siku maboksi ya kura yataongea tu, watanzania wana Imani na CCM na watamchagua Magufuli.
Wewe inaonekana ni BBC, gazeti la Agosti 1 unatuletea sasa hivi wakati ambao tushaiwasha taa karibia mikoa 25, wewe kweli umechelewa,halafu kumbuka hayo ni mawazo ya mwandishi wa gazeti tu.Watanzania wangekuwa na imani na maccm wasingetaka uwazi kwenye Uchaguzi na kura kuhesabiwa hadharani.
View attachment 1589416
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa kama unauliza upuuzi ulitegemea nini?
Hahahaha, tulia hivyo hivyo dawa ishaanza kukuingia tartiibu usitikisike, maana ukitikisika sindano itakuvunjikiaWe k siwezi kukujibu tena maana......
Glass ni moja tuu kwa sababu yawezekana wengine wamefunga wanaombea uchaguzi 😎Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji
View attachment 1589363
Shein si mashotoAcheni uzushi, maji ya Shein
Siwezi bishana na juhaHahahaha, tulia hivyo hivyo dawa ishaanza kukuingia tartiibu usitikisike, maana ukitikisika sindano itakuvunjikia
Mangula asingewaishwa hospital tungekua tunaongea mengine saa hii.Sumu haionjwi by Sumaye!