Uchaguzi 2020 Kampeni za CHADEMA Kikanda ni mbadala wa TV na redio, ujumbe unafika hadi vijijini kwa muda mmoja

Uchaguzi 2020 Kampeni za CHADEMA Kikanda ni mbadala wa TV na redio, ujumbe unafika hadi vijijini kwa muda mmoja

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Tulishuhudia kampeni za uchaguzi wa 2015 Lowassa akizunguka na timu nzima ya viongozi wakuu wa CHADEMA na karibu wabunge wote kila alipokuwa anakwenda kufanya kampeni.

Mwaka huu ni tofauti kidogo, tunaona kila Kanda ikijitegemea inatumia ratiba yake siyo kupangiwa na Makao Makuu, ndio maana ni nadra sana kumuona Mkiti wa chama Mh. Mbowe wala Katibu mkuu akiambatana na mgombea urais Tundu Lissu.

Kila mgombea ubunge anafanya kampeni kwenye jimbo lake na anajaza watu kama kawaida. Tumeona kampeni za Salim Mwalimu, John Heche, Sugu, Ester Bulaya, na wengine zikifanya vizuri bila kutegemea ujio wa mgombea urais ili wajaze watu, tofauti na wagombea ubunge wa CCM wanaosubiri ratiba ya Magufuli.

Hii imewafanya wagombea kujiamini kufikisha ujumbe hadi vijijini kwa wakati na haraka zaidi na pengine imejenga imani kwa wapiga kura kulinda kura kwenye maeneo yao, kwa sababu wanakuwa ni wapigakura wa maeneo hayo tofauti na kampeni za CCM zinazotembea na wasanii kibao na watu wasio wenyeji wa maeneo hayo.
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atapoteza muda kumsikiliza msaliti wa Nchi Lissu
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atapoteza muda kumsikiliza msaliti wa Nchi Lissu
88933832-09B4-454E-9F7A-BCC9DC005D34.jpeg
 
Lazima tuseme uozo wa msaliti wa Nchi Lissu

Sisi Watanzania Hatuwezi kuchagua kijakazi wa Mabeberu aliyeisaliti Nchi yake
Alimsaliti dada yako...? Sometimes sio lazima udandie threads za Tundu Lissu wakati za chama chenu zipo..
 
CCM inawahujumu wagombea wa CHADEMA majimboni kupita kiasi imebidi kila mgombea ubunge asalie jimboni kwake kulinda haki zake
 
Piga spana kwa wasaliti wa nchi Lissu atapigiwa kura na Robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera
Kichaa akisikia maneno yako anaweza akahisi anahafadhali maana kuna kichaa zaidi yake...
 
Back
Top Bottom