Uchaguzi 2020 Kampeni za CHADEMA Kikanda ni mbadala wa TV na redio, ujumbe unafika hadi vijijini kwa muda mmoja

Uchaguzi 2020 Kampeni za CHADEMA Kikanda ni mbadala wa TV na redio, ujumbe unafika hadi vijijini kwa muda mmoja

Dikteta ni lissu anayelazimisha tumpigie kura

Hatuwezi kupigia kura saliti

Amfuate Robert akampigie kura
We taahira vp mbona unaandika vitu vya ajabu ajabu tu visivyo na mashiko,
 
Tulishuhudia kampeni za uchaguzi wa 2015 Lowassa akizunguka na timu nzima ya viongozi wakuu wa CHADEMA na karibu wabunge wote kila alipokuwa anakwenda kufanya kampeni.

Mwaka huu ni tofauti kidogo, tunaona kila Kanda ikijitegemea inatumia ratiba yake siyo kupangiwa na Makao Makuu, ndio maana ni nadra sana kumuona Mkiti wa chama Mh. Mbowe wala Katibu mkuu akiambatana na mgombea urais Tundu Lissu.

Kila mgombea ubunge anafanya kampeni kwenye jimbo lake na anajaza watu kama kawaida. Tumeona kampeni za Salim Mwalimu, John Heche, Sugu, Ester Bulaya, na wengine zikifanya vizuri bila kutegemea ujio wa mgombea urais ili wajaze watu, tofauti na wagombea ubunge wa CCM wanaosubiri ratiba ya Magufuli.

Hii imewafanya wagombea kujiamini kufikisha ujumbe hadi vijijini kwa wakati na haraka zaidi na pengine imejenga imani kwa wapiga kura kulinda kura kwenye maeneo yao, kwa sababu wanakuwa ni wapigakura wa maeneo hayo tofauti na kampeni za CCM zinazotembea na wasanii kibao na watu wasio wenyeji wa maeneo hayo.
Mwaka huu ushindi Ni asubuhi kabla ya saa 4
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atapoteza muda kumsikiliza msaliti wa Nchi Lissu
Mhuu hizi ni siasa za enzi za kuomba uhuru wa Tanganyika. Ooh mabeberu, ooh wanyonyaji mara hili mara lile. Badilika
 
Sio mimi niliyemtuma lissu aisaliti Nchi apambane na laana zake sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yeye apigiwe na robert
Mhuu hizi ni siasa za enzi za kuomba uhuru wa Tanganyika. Ooh mabeberu, ooh wanyonyaji mara hili mara lile. Badilika
 
Sio mimi niliyemtuma lissu aisaliti Nchi apambane na laana zake sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yeye apigiwe na robert
Wewe una kura 1 tu unajionaje ukijinganisha na maelfu waliompokea leo Ikungi.
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atapoteza muda kumsikiliza msaliti wa Nchi Lissu

Ni bora mara 100 kuliko hicho chama kilichotawala miaka 60 na hakuna chochote zaidi watu kuzidi kuwa masikini kila uchao
 
Tanzania sisi ni matajiri, kama wewe ni maskini ujue msaliti wa Nchi Lissu ndio kakuletea umaskini
Ni bora mara 100 kuliko hicho chama kilichotawala miaka 60 na hakuna chochote zaidi watu kuzidi kuwa masikini kila uchao
 
Wewe una kura 1 tu unajionaje ukijinganisha na maelfu waliompokea leo Ikungi.
20201010_153231.jpg
Endeleeni kuleta picha za kuedit

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atapoteza muda kumsikiliza msaliti wa Nchi Lissu
Lisu ndio rais wako na hizo buku 7 zinaenda kukoma kwa sababu ccm inaenda kuzikwa rasmi
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Lisu ndio rais wako na hizo buku 7 zinaenda kukoma kwa sababu ccm inaenda kuzikwa rasmi
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema
Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Bora Msaliti kuliko Mr I can't reach you..aibu tupu
 
Piga spana kwa wasaliti wa nchi Lissu atapigiwa kura na Robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera
Via yetu a.k.a kawe alumin unatoa povu sana pumzika bhas.
 
Back
Top Bottom