Uchaguzi 2020 Kampeni za CHADEMA Kikanda ni mbadala wa TV na redio, ujumbe unafika hadi vijijini kwa muda mmoja

Uchaguzi 2020 Kampeni za CHADEMA Kikanda ni mbadala wa TV na redio, ujumbe unafika hadi vijijini kwa muda mmoja

Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, lakini CCM wanachukua pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi wanazitumia kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani hawataki kutoka madarakani kwa njia za sanduku la kura wameng’ang’ania uchakachuaji na wizi wa kura
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, lakini CCM wanachukua pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi wanazitumia kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani hawataki kutoka madarakani kwa njia za sanduku la kura wameng’ang’ania uchakachuaji na wizi wa kura
20201010_105555.jpg
 
Lisu ni debe tupu!

Baada ya oktoba ajiandae kwenda kwa beberu wake bwana Amsterdam
Debe tupu ni wewe na hao boss zako mnaohaha kumhujumu kumdhoofisha kutwa, hamtaki fair play mmevipora vyombo vya umma kuwa vyombo binafsi vya CCM wakati vinalipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi siyo pesa binafsi za CCM , si mnadai majengo SGR flyover mbona hamuachi wananchi waamue kwa uhuru wao?
 
Lissu ndiye msaliti wa Nchi alikuwa anatetea Mabeberu yaendelee kutuibia rasmali zetu

Asante Magufuli kwa kuwapigania Watanzania
Fikiri kabla ya kuongea kama unasema Lissu ni msaliti hivyo na maelfu wanaomfuata na kumsikiliza nao ni wasaliti??kama ndivyo hivyo wananchi nao ni wasaliti kisha nchi imejisaliti yenyewe teh,teh,teh,mawazo yako ni uchwala mtupu.
 
Maelfu gani wanaomfuata huyo msaliti wa Nchi na mropkaji ?

Unadanganywa wanatumia picha za Lowasa 2015,

Hata Wewe ukienda na maiki kariakoo au stend lazima watu wakusanyike ila hakuna wapiga kura wanaoweza kwenda kumsikia mropkaji na msaliti wa Nchi
Fikiri kabla ya kuongea kama unasema Lissu ni msaliti hivyo na maelfu wanaomfuata na kumsikiliza nao ni wasaliti??kama ndivyo hivyo wananchi nao ni wasaliti kisha nchi imejisaliti yenyewe teh,teh,teh,mawazo yako ni uchwala mtupu.
 
Magari ya CCM yakatiza katika Mkutano wa Kampeni wa CHADEMA 2020

 
Back
Top Bottom