Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, lakini CCM wanachukua pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi wanazitumia kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani hawataki kutoka madarakani kwa njia za sanduku la kura wameng’ang’ania uchakachuaji na wizi wa kura
Debe tupu ni wewe na hao boss zako mnaohaha kumhujumu kumdhoofisha kutwa, hamtaki fair play mmevipora vyombo vya umma kuwa vyombo binafsi vya CCM wakati vinalipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi siyo pesa binafsi za CCM , si mnadai majengo SGR flyover mbona hamuachi wananchi waamue kwa uhuru wao?Lisu ni debe tupu!
Baada ya oktoba ajiandae kwenda kwa beberu wake bwana Amsterdam
Bila wasanii bila fuso kusomba watu hapo kusingekuwa na mtu angebakia polepole na cyprian Musiba peke yake
Hao ni wanaccm, huoni kijani?Bila wasanii bila fuso kusomba watu hapo kusingekuwa na mtu angebakia polepole na cyprian Musiba peke yake
Fikiri kabla ya kuongea kama unasema Lissu ni msaliti hivyo na maelfu wanaomfuata na kumsikiliza nao ni wasaliti??kama ndivyo hivyo wananchi nao ni wasaliti kisha nchi imejisaliti yenyewe teh,teh,teh,mawazo yako ni uchwala mtupu.Lissu ndiye msaliti wa Nchi alikuwa anatetea Mabeberu yaendelee kutuibia rasmali zetu
Asante Magufuli kwa kuwapigania Watanzania
Mpigeni tena risasi.Hatuna huruma kwa msaliti wa Nchi Lissu
Aende akagombee ubeligiji
Fikiri kabla ya kuongea kama unasema Lissu ni msaliti hivyo na maelfu wanaomfuata na kumsikiliza nao ni wasaliti??kama ndivyo hivyo wananchi nao ni wasaliti kisha nchi imejisaliti yenyewe teh,teh,teh,mawazo yako ni uchwala mtupu.
Mpigeni tena risasi.
Tena vyeusi mangala wapo kibao hata pembeni yangu yupo cheusi katulia tuli, ataongoza majeshi.Wanawake weusi tutampa kura Lissu.
CCM si chama cha kufa - CCM ikifa taifa litayumba sanaCCM lazima ife
Alisaliti vipi?Lazima tuseme uozo wa msaliti wa Nchi Lissu
Sisi Watanzania Hatuwezi kuchagua kijakazi wa Mabeberu aliyeisaliti Nchi yake
Alisaliti vipi?
Bado nasubiri jibu linalotoa jibu la swali langu.Huyo ni msaliti wa Nchi kaa mbali naye laana inamwandama
Bado nasubiri jibu linalotoa jibu la swali langu.
Wewe ni wa kuonewa huruma.Majibu anayo msaliti wa Nchi Lissu
Kwani ni straight?Alimsaliti dada yako...? Sometimes sio lazima udandie threads za Tundu Lissu wakati za chama chenu zipo..